Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Hapo nilipobold hapo, hebu tujadili namna ya kuset hizo plans maana hakuna kitu kibaya uzeeni kama upweke
Mkuu,

Kama mwanaume unatakiwa kuwa na Akaunti yako ya Siri ya benki ambayo unaweka fedha za emergency kwa maisha yako wewe mwenyewe tu.

Hii inakuwa ni special for you.

Hata wife, watoto, wazazi wako wasifahamu.

Yani kiasi kwamba hata ikatokea mka achana, kwenye mgao wa mali Akaunti yako hii isifamike na yeyote yule.

Maana siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumsapoti.

Mwanaume lazima uwe na fungu lako la kujisapoti mwenyewe wakati wowote ule wa dharura.
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Ni hivi mwanaume unatakiwa Kuwa mguu ndani mguu Nje,usiweke Nguvu kubwa Kwa mwanamke na Kwa jinsi Baadhi Yao walivyo maana pia huwezi wajua ,ni Bora ujiwekee akiba ya peke yako Ili kuja Kukabiliana na mambo kama haya huko uzeeni.

Mali zinashukiliwa na nani Kwa Sasa? Hapo pia najifunza kwamba ni Bora kuwa na mahusiano mema na ndugu zako woote lazima Kuna mmja atakusaidia.

Mwisho kwenye hao Watoto kama Kuna Wanaume basi wajiandae the same Destiny na watakuwa ni wapumbavu wa Haki ya Juu ila kama ni Wanawake tupu basi sio kesi.
 
Mkuu,

Kama mwanaume unatakiwa kuwa na Akaunti yako ya Siri ya benki ambayo unaweka fedha za emergency kwa maisha yako wewe mwenyewe tu.

Hii inakuwa ni special for you.

Hata wife, watoto, wazazi wako wasifahamu.

Yani kiasi kwamba hata ikatokea mka achana, kwenye mgao wa mali Akaunti yako hii isifamike na yeyote yule.

Maana siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumsapoti.

Mwanaume lazima uwe na fungu lako la kujisapoti mwenyewe wakati wowote ule wa dharura.
Ukifa je?🤔
 
Yule mzee na familia yake nimeishi nao jirani sana mzee alikua mtu poa na watoto wake walisoma shule nzuri sana ila ndo hivyo wamemtelekeza. Kuna wakati alikua anahudumiwa na binti yake kama kumpikia na kumchotea maji mke wake alisepa sijui alienda kudanga wapi.
Sasa kama Mali ipo kama hizo nyumba hilo la kudanga inakuaje?
 
Ni hivi mwanaume unatakiwa Kuwa mguu ndani mguu Nje,usiweke Nguvu kubwa Kwa mwanamke na Kwa jinsi Baadhi Yao walivyo maana pia huwezi wajua ,ni Bora ujiwekee akiba ya peke yako Ili kuja Kukabiliana na mambo kama haya huko uzeeni.

Mali zinashukiliwa na nani Kwa Sasa? Hapo pia najifunza kwamba ni Bora kuwa na mahusiano mema na ndugu zako woote lazima Kuna mmja atakusaidia.

Mwisho kwenye hao Watoto kama Kuna Wanaume basi wajiandae the same Destiny na watakuwa ni wapumbavu wa Haki ya Juu ila kama ni Wanawake tupu basi sio kesi.
Wanaume wapo watatu na binti mmoja. Hawa wanaume wawili wametokomea , huyu mmoja ambaye ni wa mwisho kawa mwizi kibaka hatari huyu binti yeye kidogo alionesha msaada kwa babake wakati anaugua ila baada ya muda binti nae kasepa na anatembea na umeme so ameenda kusambaza mbele ya safari huko

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Ishini nao kwa akili
Unamuoa kwa gharama, u atumia gharama kulisha na kusomesha familia
Unamfungulia mradi kwa gharama zako,

Mwisho wa siku unastaafu ukiamini ile miradi uliomfungulia atakumbuka wema wako na kuendeleza familia lakini laah wapi, wanawake wana moyo wa ubinafsi sana, akitoa kidogo tuu kwa ajili yako anaanza kujiona na yeye ni mwanaume,

Unaambiwa hawa watu hata wakitumia pesa zao pia huwa inawauma,

Wanaume tuwe makini sana, kila unapopiga hatua hakikisha unajiwekea akiba yako ya uzeeni, kamwe usije ukadhania miradi unayomfungulia mkeo itakusaidia, utakuja kujihisi unaishi na shetani bure, utajisikia kuzunguzungu na kuona ndoa kama jehanamu ndogo,

Wapo tayari wafe hela zao zinakie Bank huko hawa viumbe
Jengine kuwa na mazoea ya mawasiliano na kusalimia ndugu,hawatakutupa wote walau Ukiwa na kitu ila sio kutegemea hao mashetani
 
Wanaume wapo watatu na binti mmoja. Hawa wanaume wawili wametokomea , huyu mmoja ambaye ni wa mwisho kawa mwizi kibaka hatari huyu binti yeye kidogo alionesha msaada kwa babake wakati anaugua ila baada ya muda binti nae kasepa na anatembea na umeme so ameenda kusambaza mbele ya safari huko

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Sasa hao wanaoitwa wanaume ni matakataka.

Omba uhai yatawakuta vile vile maana wataoa wanawake harafu tuone.

Wanaume wanaoweza kutelekeza wazee Huwa nawaona ni matakataka,unaiga nyendo za mwanamke wakati na wewe ni mwanaume? Yaani uko kwenye mtegeo huo huo unategemea Simba atakuokoa? Niko palee utakuja kuona majibu.

Achana na huyo kibaka ila hao wengine si Wana uwezo wa kumleta Mzee wao?
 
Ukifa je?🤔
Kufa kupo tu.

Ukifa umekufa, Na hutajua chochote kile kinacho endelea.

Kwanza Haupo tena,hizo hela hata zikipotelea huko hujui.

Kwani wangapi wanakufa na Hela zao wana enjoy wengine?

Cha msingi hapa ni kwamba mwanaume jitengee fungu lako
binafsi la emergency.

Watoto siku zote wapo upande wa Mama.
 
Hivi visa mbona mnatuogopesha sisi vijana tunaotaka kuoa au n story za Kutunga Ili kuendeleza Campaign ya kukataa ndoa
Unaogopa kwani Kwa wazazi wako huoni kinachoendelea kati ya Baba na Mama? Na Kwa taarifa Yako tuu walau familia maskini Huwa zinaishi vizuri Hadi mwisho kuliko Zenye Mali.

Iko hivi mwanamke Yuko radhi mwanaume asiwe na Mali akiamini ndio atapendwa yaani awe na hela ndogo za jasho zaidi.

Akipata pesa nyingi anaamini mwanaume atakuwa anahonga wanawake wengine hivyo yeye Yuko kwenye threat na

Mwisho kwake Kuna ma 2 Bora mkose wote au akumalize abakie na Mali na Watoto wake.

Kinyume na hapo ni Neema tuu kulingana na Moyo wake but wao ni wepesi wa kubadilika Kwa influence ya jamii(wenzie).
 
Kuna vikundi vinalipwa kabisa kueneza huu uongo, mashoga wasagaji wanakuja kivingine.

Tuwe makini sana.
 
Back
Top Bottom