Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Mjomba wako wa nchi gani? Wewe ni Mkenya wa mchongo?

Kenya inaingilia wapi kwenye mada husika, tatizo mpo bado kwenye utumwa wa ukoloni hadi kila kitu mnawaza kwa misingi ya mipaka ya mkoloni.
Fahamu hamna kitu kinaitwa Tanzania au Kenya, vyote hivi vilibuniwa na mkoloni kisha akaondoka na kuacha maagizo mbaki ndani ya hiyo mipaka aliyoacha.
 
Ni kujisumbua tu ndugu. Unadhani watoto watayajali hayo?
 
Kama ni kweli basi watoto na mke watayalipa hapa hapa duniani.
😒😒😒😒😒
 
Changanya mbegu za watoto,kuzaa na mwanamke mmoja eti kisa wazungu wameandika hivyo kwenye riwaya ziitwazo biblia matokeo yake ndiyo hayo.
 
Hela ya kustaafu IPO WAPI
 
ukikutana na hao watoto waambie mae ya ya huyo mama yao.

Tukirudi kwenye hiyi ndoa, hufikia kipindia wanandoa kumuona mwingine kama just the other scam or just the other guy. Kuna gap huyo mzee alitengeneza kipindi ana fight kutafuta uwezo wa kuweza kuipatia familia yake access to better education, health na liivelihood. Bahati mbaya kwake, hakuwa na aina ya mke wa kuweza kui bridge hiyo gap, bali alikuwa na aina ya mke ambaye alitishwa na struggles za mume wake, akanyong'onyezwa na success zake hivyo mke huyo kutafuta faraja katika kuongeza gap kwa kumchinganisha baba na watotobwake...amefanikiwa
Deep down, mzee alikua na high expectations kwamba, kupitia strugles hizo, familia yake ita prevail (big mistake, kwa kuwa huwa hatushei kile tunakiamini au why are we doing).
Kwa jinsi ul8vyoiongelea mental status ya huyo mzee, si sahihi kuongea naye chochote kile kwa sadaa, inasikitisha to be true, ila wa kuongea naye ni mama na watoto wake. Huo ndiyo ushauri wangu mimi mlevi wenu wakati huu nikijiandaa kulala.
 
Jamani mimi niwape ushuhuda kidogo,si kwamba naunga mkono watu wasioe,hapana
bali ukioa usijisahau.Kama unafanya kazi,jitahidi weka akiba na kuiheshimu pensheni,
Nimejifunza kwangu mimi mwenyewe,hivyo sishangai kwa yaliyompata huyo mzee.

Mimi kufuatana na shughuli zangu kuwa mbali,nilikuwa nikipata kipato
namkabidhi mke wangu pesa ya matumizi ili kutunza familia,hata karo za watoto naendelea na mishe ya kusaka pesa. Nilifikia hatua ya kuacha na kadi ya benki ili kuondoa usumbufu,
Akilini nikijua mambo yote yako poa.Kumbe haikuwa hivyo
Nadhani kuna shetani alipitia. Karo zikawa halipwi ila muda ukifika anakopa anawapa watoto wanaenda shule.
Tena mikopo ya liba hivyo inaendelea kuzaa deni linaongezeka mimi sina habari.

Baada ya madeni kuwa makubwa,mtu mmoja rafiki yangu ambaye alisikia habari hizo
akanifuata,na kunishauri kuwa pamoja na mishe zangu za kusafiri nijitahidi kumsaidia
mke wangu kulipa ada za watoto anapata sana shida kutafuta pesa.
Niliposikia hivyo nilistuka nadhani naye alijua.lkn nikamwambia sawa nitajitahidi,maana niliona nikionyesha kukerwa
naye atashangaa sana kwa jinsi alivyotujua tunavyoishi na mke wangu.

Nilipoenda kumwuliza akakana,akasema humna kitu kama hicho.hivyo nikaanza utafiti binafsi
Niliyoyakuta ilikuwa story ndefu.Namshukuru Mungu tulifanikiwa kuyamaliza,na nilifanikiwa kulipa hayo madeni,
kuanzia hapo nikaanza kulipa karo kwa mkono wangu mwenyewe
na kufuata ushauri wa mchungaji mgogo kwamba unapotoa matumizi,hakikisha unatoa sebureni siyo chumbani
ili watoto waone jitihada zako za uwajibikaji.

Baada ya kubadilisha mfumo wa maisha tunaendelea vizuri na maisha.
Hivyo vijana msiogope kuoa,kama unamcha Mungu hakuna ubaya utakaofanyika chini ya kapeti usijue.

Tunaolaumu kwamba wanaume hawawajibiki japo sikatai lakini tujitafakari.Hata kama hawawajibiki ni kwa nini tunasubiri wazeeke ndo tuwanyanyase? kwanini msiwakimbie mapema mkaolewe au mkaanzishe maisha nje ya hao wanaowanyanuyasa?

Mi nadhani vijana chukueni ushauri huu,wazazi wako ni wazazi wako.Asiwepo hata mmoja wa kukuambia ubaya wa mwenzake maana walipokutana hukuwepo na wewe
usijifanye bingwa wa kulipa kisasi itakughalimu.Baba asingempa mimba mama yako,usingezaliwa.
Na baba bila mama mimba yako isingetungwa na usingekuja duniani.
Hata kama hukutunzwa. Watunze wazazi wako kwa kadri ya uwezo ulio nao
maana wamekuleta duniani.
Na Mungu atakubariki.
 
Kwani anashundwa Nini kuanza kutafuna hayo majumba aliyojenga?

Kwa mtazami wangu huyo Mzee kastaaafu Hana kitu na pension kahonga. Full stop
Hawatamruhusu. Wataweka kipingamizi kuwa hana utimamu wa akili kutokana na umri wake na maradhi alionayo ambayo mleta mada ametueleza
 
sijui kama nitakuja kuoa aisee....

sioni faida ya ndoa kwasababu kuna umri ukifika watoto wataanza kukudharau na mkeo atakuombea ufe au hatakujaribu kukuua kabisa.

kuoa ni kitendo cha kujitaftia matatio uzeeni.
 
sio tu Kama mnavyojifariji, akifanyiwa ubaya furani mnazani wote, Tena KATAA NDOA hiwe endelevuu milele.
 
Huyo mzee itakuwa hela za pension kala mwenyewe hajampa bi mkubwa kosa linaanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…