Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Hiyo siyo kataa ndoa tu, tusizae knisa, sababu huyo mzee shahawa zake mwenyewe zimemdhuru... Watoto wamemtenda dingi, watoto tunawapata kwenye ndoa ama bila ya ndoa.

iwe ni kampeni ya
KATAA KUKOJOLEA NDANI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo siyo kataa ndoa tu, tusizae knisa, sababu huyo mzee shahawa zake mwenyewe zimemdhuru... Watoto wamemtenda dingi, watoto tunawapata kwenye ndoa ama bila ya ndoa.

iwe ni kampeni ya
KATAA KUKOJOLEA NDANI.
Mwendo wa kukojoa nje sio
 
Sign of maturity. Mkuu unaonekana kuwa na busara sana. Yaani wewe una uwezo wa kum console mtu aliyefika terminal kwa mawazo na akarudi upya. Hongera sana mkuu
 
Na watoto wake aliwasomesha English Medium.

Alipoteza hela zake bure masikini
 
Inatisha na kusikitisha!
Mwanamke katika ubora wake hapo!
 
Mwanaume hakikisha unajiandalia plan b ya maisha ya uzeeni nje ya familia
 
Wakati mwingine angalia maisha Yako wakati ukiwa na nguvu ulikuwa unaishi vipi na huyo mwanamke, kama ulikuwa unamtesa na watoto wanajua uzeeni utapata shida sana. Mtunze mkeo na watoto wajifunze kwenu jinsi mnavyopendana hata uzeeni hawatakutenga baba yao
 
Ukioa Mtunze mkeo na usimnyanyase, ukimnyanyasa mkeo watoto watakuwa upande wa mama. Hivyo uzeeni watakuwa hawana muda na wewe. Pia kama huyo Mzee alikuwa anafanya kazi Tena mashirika makubwa SI analipwa pension Kila mwezi hawezi kushindwa kuishi . Pia ana uwezo wakuajili MTU wa kumtunza
 
Kuna jambo baya alilifanya mzee si bure au hao watoto sio wake kibaiyolojia
 
Ndoa haikataliwi Bali jua Kuna kuachwa na mke/Mme, au watoto, ndugu na marafiki Cha muhimu baba ataendelea kuwa baba hata akiwa na miaka mia hivyo, usipoteze kipato yaani umeweka vitega uchumi hakikisha hiviachii mpaka kifo na kama Kuna anayekuunga mkono huyo Kaa naye karibu haijalishi ni mtoto ndugu au mtu Baki, usipoteze uwezo wa kifedha
 
Wengine fanya ufanyavyo wanakusubiria uchoke ndo uone majanga, na kutomnyanyasa mke watoto na ndugu ni wajibu, linguine oa mke mwenye kufanya ibada na maadili mema pia fundisha watoto ibada na maadili mema
 
Nawaasa vijana. Ukioa unakuwa mtawala mpaka miaka 55. Baada ya kufikisha umri huo mama anachukua mamlaka. Kumbuka alikuwa msaidizi wako, akishachukua mamlaka utawala wake utategemea ulivyokuwa mamlakan uliishije nae. Kama alikuwa very close na rafiki utaishi kama mfalme kama ulikuwa unawapitisha rafu road ujue ndio zamu yake. Kumbuka daima maisha yanakupa kile ulichoipa. Mama akishachukua mamlaka nae utawala wake mwisho ni miaka 75. Baada ya hapo watoto wanachukua mamlaka nao itategemea ulivyowalea. Ndio pale Biblia inakuambia ulipokuwa kijana ulikuwa unaenda utakapo ila ukiwa mzee watakupeleka usipopataka na huwez kuzuia. Kingine usidhulumu usiwe mchawi au kuiba maana utalipia gharama no matter what. Wewe au wanao.
 
Kuna mzee jirani yangu alikuwa anafanya lazi katika sekta ya ulinzi huko. Alipo staafu akawehuka na mafao. Akamtelekeza mke na watoto .Akawa anajishughulisha na Viruka njia . Pesa hazikudumu zikamwishia. Akarudi kwa mkewe tena akiwa mkali balaaa.Mke alichoamua akamwachia mjengo .akaenda kupanga uswahilini. Hivi sasa Mzee anateseka vibaya hana msaada hata jirani.
WANAUME TUKUMBUKE FAINAL UZEENI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…