Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Amemsamehe , au bado mkuuKaka unaweza ukafanya yote hayo lakini ndani ya ndoa akakutibua hadi ukabaki unashangaa.
Rafiki yangu anampenda sana mkewe, wamebarikiwa watoto wawili. Jamaa kasafiri nje ya nchi mwaka mmoja na nusu karudi mkewe ana mimba kuuuuubwa ya karibia kujifungua na hivi tunavyoongea alishajifungua yupo kwao kwa wazazi wake anaomba msamaha kwa mumewe arudi maisha yaendelee.
Ni kuomba Mungu tu
Hujaeleweka hapa.jamaa watoto wa kike
Kwani mwanaume anakupenda wewe au mtoto.Mimi ukinikuta na mtoto usipompenda mwanangu basi niache na mimi.
Afu masingle mother wengi anapenda kuolewa na wanaume ambao hawana watoto.Na wao wasiolewe tu.
Unaanzaje mechi moja bila!?
Aafu mnasema, nataka mume wangu peke yangu.
Pumbafu!! Wakati yeye tayari anakuwa nao wawili!!
Singo maza aolewage mke wa pili au wa tatu!!
Hapo inabalance.
Daaa hii kweli kabisaAsante sana kwa maelezo mazuri ndugu.
Nadhani atakua ameelewa.
Amblock tu, hakuna haja ya kumtamkiaHuyo mwambie wazi NDOA BASI !! Kama alikuficha la mtoto, atakuficha mangapi?
PIGA CHINI !!
Sijui kwannAfu masingle mother wengi anapenda kuolewa na wanaume ambao hawana watoto.
Wanatafuta mtu WA kumpelekesha kiboyaSijui kwann
Walitengana ,jamaa Kawa mlevi wa pombe na wanawake hadi anasikitishaAmemsamehe , au bado mkuu
Na mkewe sasa yupo na mwingine au yupoyupo tuu.Walitengana ,jamaa Kawa mlevi wa pombe na wanawake hadi anasikitisha
Hivyo ndio alivyokudanganya? Una uhakika Ni mlevi? Je akiacha pombe si watakumbushana.Walitengana ,jamaa Kawa mlevi wa pombe na wanawake hadi anasikitisha