Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.

Usioe! ILA najua hautasikia, wanaume tumeumbwa mateso, mateso, kuhangaika!
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Never say never
 
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.

Hujuelewi
 
Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?

Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?

Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.

Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
kwan aliezaa anakuwaje?
 
Sikiliza aman ya moyo wako ndio ufanye maamuz. Ndoa sio kukurupuka. Moyo ukisema muache usihitaji ushaur wala hurum yake
 
Kosa lake ni kwamba hakukuweka wazi mapema alipaswa angekwambia very early at the beginning.

Kuhusu single mothers kutoachana na wazazi wenzao sio kweli bhana hiyo ni tabia ya mtu tu anaweza asiwe single mother na akawa na msurulu wa ma x ambao wanamtafuna tu kwa only single call.

Uamuzi ni wako kumuoa au kumuacha,,ila unaweza Kuta single mother ametulia kuliko hata huyo mtu sealed unaemtaka. All the best mkuu
 
Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?

Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?

Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.

Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Sio wote ni wataalam wa kujua hayo mkuu na pia wanawake Wana maumbile tofauti mwingine huwez mjua kirahisi mkuu hata akivua nguo
 
Dah tukisema wanawake mashetani wanatupiga mawe humu ndani kumbe ukweli wenyewe ndio kama hivi.
Aisee pole sana mkuu hapo ni kuhesabu hasara tuu hamna namna.
Kwa kweli suala la kumtambulisha single maza kwa wazazi wako wakati wanawake wamejaa kibao ni kuwakosea adabu wazazi wako. Hiyo piga chini fasta mwanawane
Kwamba nyie wanaume ni malaika acheni kujipaisha bhana nyie wenyewe ndo wa hovyo kabisaa
 
Dah tukisema wanawake mashetani wanatupiga mawe humu ndani kumbe ukweli wenyewe ndio kama hivi.
Aisee pole sana mkuu hapo ni kuhesabu hasara tuu hamna namna.
Kwa kweli suala la kumtambulisha single maza kwa wazazi wako wakati wanawake wamejaa kibao ni kuwakosea adabu wazazi wako. Hiyo piga chini fasta mwanawane

Kabisa hata mzazi lazima amaid sana
 
Umenena!!
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
 
Kwamba nyie wanaume ni malaika acheni kujipaisha bhana nyie wenyewe ndo wa hovyo kabisaa
Hatujasema malaika. Tambua ya kwamba hamna mzazi angependa mtoto wake abebe mimba nje ya ndoa wala kuoa single maza. Huo ndio ukweli.
Ata wewe siku ukija kuwa mzazi upate mtoto wa kiume alete single maza kwako utafura kweli kweli
 
Furaha ya mama ni ajumuike na mwanae pia huo ndio ukweli unless labda ni mkubwa na anaishi na Baba yake...lkn kama anaishi na mama yake hlf asiishi na mwanae kisa Mume hataki tarajia stress Kwa huyo mama mtoto...ukiwa a family Man mtoto sio tatizo kabisa
Asee wanaume wote wangekua na positive mind namna hii single mothers wangeisha
 
Back
Top Bottom