- Thread starter
- #41
Wamalila wakoje hao, ndiyo kwanza nawasikia.Ukifika Mbeya katika manispaa ya Mbalizi omba sana upelekwe wanapokaa watu wa kabila la wamalila alafu kampate mdada wa huko .
Ni imani yangu utakuja kutengua hizi habari zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamalila wakoje hao, ndiyo kwanza nawasikia.Ukifika Mbeya katika manispaa ya Mbalizi omba sana upelekwe wanapokaa watu wa kabila la wamalila alafu kampate mdada wa huko .
Ni imani yangu utakuja kutengua hizi habari zako
Picha ni chache.Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.
Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.
Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.
Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;
Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.
Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.
Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.
Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.
Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.
Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.
Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.
Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.
View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Sijakutana naye hebu share details zake hapa nifahamu.Picha ni chache.
Wameumbika?
Ushakutana na mhangaza aliyekulia mjini kama dar?
Research ni ndogo kuwapa sifa zote hizo mkuu.Sijakutana naye hebu share details zake hapa nifahamu.
Hao ni wale jamii ya mtangazaji wa mpira bwana Baraka mpenja .Wamalila wakoje hao, ndiyo kwanza nawasikia.
Bikra yenyewe ni adimu, ndiyo maana kukutana nayo ni kama kuokota dhahabu.Hizi habar za Bikra zimekuw nyingi mnooo
Safi sana. Hawa ni wife material pia.Hao ni wale jamii ya mtangazaji wa mpira bwana Baraka mpenja .
Wanawake wa kule wana sifa zote ulizotaja hapo juu ila la ziada ni wanawake wenye upendo uliopitiliza akipenda amependa hata uoe wanawake wengine hakuachi ataendelea na wewe .
Ila cha kustaajabisha ni kuwa ukimuoa mpe shamba atakutunza vizuri wewe na mtoto .
Hivyo wito wangu kwa vijana wote wanaopenda mserereko wa kutunzwa ni huku ila mind you muwe na mashamba sio uje na ndevu zako tu hautakubaliwa .
Mimi najua ni watanzania, habari za warundi hizo sijihi mkuu, labda unipe details hapa.Hao ni warundi tu Mkuu usizunguke mbuyu
Nilikuona nikiwa pale parking na Actros mdogo mdogo kumbe ulikuwa wewe mkuuHiyo tshet nilimpatia mimi pale Benaco
Eeeeh mkuu tuishi humoSafi sana. Hawa ni wife material pia.
Nimeishia kusoma heading tu sijasoma uzi lakini kama unamaanisha hao wadada wa kihangaza ambao asili yao ni Watusi wa Rwanda ni kweli ni wazuri sana pia wamebarikiwa kuwa na vivutio vya utalii(shepu)Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.
Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.
Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.
Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;
Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.
Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.
Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.
Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.
Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.
Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.
Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.
Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.
View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
KumbeNimeishia kusoma heading tu sijasoma uzi lakini kama unamaanisha hao wadada wa kihangaza ambao asili yao ni Watusi wa Rwanda ni kweli ni wazuri sana pia wamebarikiwa kuwa na vivutio vya utalii(shepu)
Ila kubwa zaidi hawa mabinti wa Kagame wamejaaliwa kuwa na moyo wa kutoa yaani hawanaga roho mbaya kabisa wana "roho nzuri" hawawezi kumyima kitu mtu mwenye uhitaji
Hata Wachagga ni Bantu, lakini sijawahi kukutana na asiye na miguu fito. Kwa hiyo siyo kila Bantu ni matende, wengine wana fito..Napendaga bantu girls wana miguu minene?
Wachaga shapelessHata Wachagga ni Bantu, lakini sijawahi kukutana na asiye na miguu fito. Kwa hiyo siyo kila Bantu ni matende, wengine wana fito..
Kuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.Hata wafanyakazi wa ndani ukipata muhangaza huwa wanadumu sana.
Ni wazuri kwakweli
Nimemkumbuka mfanakax wetu anaitwa teoHata wafanyakazi wa ndani ukipata muhangaza huwa wanadumu sana.
Ni wazuri kwakweli
HatariKuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.
Nimelishuhudia jambo hili mwaka jana na wakiletwa akakataliwa analia hataki kurudi kwao. Nilikuwa Ibwera kijiji fulani nikaonyeshwa nyumba kama 4 wameoa wanawake wa kuletewa na mmoja aliletwa akakataliwa akaanza kulia ila akaja kupata mwingne
UlifanyajweKatika harakati za maisha kuna kipindi niliwahi ishi kwa ndugu, mama mwenye nyumba alikuwa muhangaza cha moto nilikiona.
Sasa sijui ni wote au baadhi