Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Picha ni chache.
Wameumbika?
Ushakutana na mhangaza aliyekulia mjini kama dar?
 
Hizi habar za Bikra zimekuw nyingi mnooo
 
Wamalila wakoje hao, ndiyo kwanza nawasikia.
Hao ni wale jamii ya mtangazaji wa mpira bwana Baraka mpenja .

Wanawake wa kule wana sifa zote ulizotaja hapo juu ila la ziada ni wanawake wenye upendo uliopitiliza akipenda amependa hata uoe wanawake wengine hakuachi ataendelea na wewe .

Ila cha kustaajabisha ni kuwa ukimuoa mpe shamba atakutunza vizuri wewe na mtoto .

Hivyo wito wangu kwa vijana wote wanaopenda mserereko wa kutunzwa ni huku ila mind you muwe na mashamba sio uje na ndevu zako tu hautakubaliwa .
 
Hao ni wale jamii ya mtangazaji wa mpira bwana Baraka mpenja .

Wanawake wa kule wana sifa zote ulizotaja hapo juu ila la ziada ni wanawake wenye upendo uliopitiliza akipenda amependa hata uoe wanawake wengine hakuachi ataendelea na wewe .

Ila cha kustaajabisha ni kuwa ukimuoa mpe shamba atakutunza vizuri wewe na mtoto .

Hivyo wito wangu kwa vijana wote wanaopenda mserereko wa kutunzwa ni huku ila mind you muwe na mashamba sio uje na ndevu zako tu hautakubaliwa .
Safi sana. Hawa ni wife material pia.
 
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Nimeishia kusoma heading tu sijasoma uzi lakini kama unamaanisha hao wadada wa kihangaza ambao asili yao ni Watusi wa Rwanda ni kweli ni wazuri sana pia wamebarikiwa kuwa na vivutio vya utalii(shepu)
Ila kubwa zaidi hawa mabinti wa Kagame wamejaaliwa kuwa na moyo wa kutoa yaani hawanaga roho mbaya kabisa wana "roho nzuri" hawawezi kumyima kitu mtu mwenye uhitaji
 
Nimeishia kusoma heading tu sijasoma uzi lakini kama unamaanisha hao wadada wa kihangaza ambao asili yao ni Watusi wa Rwanda ni kweli ni wazuri sana pia wamebarikiwa kuwa na vivutio vya utalii(shepu)
Ila kubwa zaidi hawa mabinti wa Kagame wamejaaliwa kuwa na moyo wa kutoa yaani hawanaga roho mbaya kabisa wana "roho nzuri" hawawezi kumyima kitu mtu mwenye uhitaji
Kumbe
 
Hata wafanyakazi wa ndani ukipata muhangaza huwa wanadumu sana.
Ni wazuri kwakweli
Kuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.
Nimelishuhudia jambo hili mwaka jana na wakiletwa akakataliwa analia hataki kurudi kwao. Nilikuwa Ibwera kijiji fulani nikaonyeshwa nyumba kama 4 wameoa wanawake wa kuletewa na mmoja aliletwa akakataliwa akaanza kulia ila akaja kupata mwingne
 
Kuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.
Nimelishuhudia jambo hili mwaka jana na wakiletwa akakataliwa analia hataki kurudi kwao. Nilikuwa Ibwera kijiji fulani nikaonyeshwa nyumba kama 4 wameoa wanawake wa kuletewa na mmoja aliletwa akakataliwa akaanza kulia ila akaja kupata mwingne
Hatari
 
Back
Top Bottom