Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Kuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.
Nimelishuhudia jambo hili mwaka jana na wakiletwa akakataliwa analia hataki kurudi kwao. Nilikuwa Ibwera kijiji fulani nikaonyeshwa nyumba kama 4 wameoa wanawake wa kuletewa na mmoja aliletwa akakataliwa akaanza kulia ila akaja kupata mwingne
Yawezekana!
Maana watu wengi wanakimbilia sana Ngara na Kigoma kutafuta mabinti
 
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Niulize mimi bro
 
Hata Wachagga ni Bantu, lakini sijawahi kukutana na asiye na miguu fito. Kwa hiyo siyo kila Bantu ni matende, wengine wana fito..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu mfano wako unatafuta vita na wahusika mkuu
 
Hao ni wale jamii ya mtangazaji wa mpira bwana Baraka mpenja .

Wanawake wa kule wana sifa zote ulizotaja hapo juu ila la ziada ni wanawake wenye upendo uliopitiliza akipenda amependa hata uoe wanawake wengine hakuachi ataendelea na wewe .

Ila cha kustaajabisha ni kuwa ukimuoa mpe shamba atakutunza vizuri wewe na mtoto .

Hivyo wito wangu kwa vijana wote wanaopenda mserereko wa kutunzwa ni huku ila mind you muwe na mashamba sio uje na ndevu zako tu hautakubaliwa .
Wana makalio makubwa? Wapo curved?
 
Kuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.
Nimelishuhudia jambo hili mwaka jana na wakiletwa akakataliwa analia hataki kurudi kwao. Nilikuwa Ibwera kijiji fulani nikaonyeshwa nyumba kama 4 wameoa wanawake wa kuletewa na mmoja aliletwa akakataliwa akaanza kulia ila akaja kupata mwingne
Wanakuletea awe kama mke wako au kama malaya wa kumtumia muda mfupi tu?
 
Kuna human trafficking huko, watu wanatoa order ya mwanamke unayemtaka na vigezo wanakuletea kutoka ngara.
Nimelishuhudia jambo hili mwaka jana na wakiletwa akakataliwa analia hataki kurudi kwao. Nilikuwa Ibwera kijiji fulani nikaonyeshwa nyumba kama 4 wameoa wanawake wa kuletewa na mmoja aliletwa akakataliwa akaanza kulia ila akaja kupata mwingne
Hii ni kweli ila nadhani ni ya zamani. Kwa bibi yangu kuna jirani yake aliolewa kwa namna hiyo, wanatolewa uko kwao Ngara wakiambiwa wanaenda kuolewa wanakubali kabisa kisha wanakuja kuoelewa na mtu hawajawahi muona. They are loyal to the death, upendo wanaanza kabla hata hawajafika kwa mume.

Ilikuwa zamani sijui utandawazi wa sasa na elimu imefanya mabadiliko ila natarajia upendo wao, uvumilivu na kudumu kwenye ndoa wawe na uwezekano mkubwa kuliko jamii nyingi ninazojua. Tatizo lao elimu hawana.

Waangaza na Wasubi huwa nawaona na tabia za wanawake wa Burundi wala siwaoni kama Rwandese
 
Hii ni kweli ila nadhani ni ya zamani. Kwa bibi yangu kuna jirani yake aliolewa kwa namna hiyo, wanatolewa uko kwao Ngara wakiambiwa wanaenda kuolewa wanakubali kabisa kisha wanakuja kuoelewa na mtu hawajawahi muona. They are loyal to the death, upendo wanaanza kabla hata hawajafika kwa mume.

Ilikuwa zamani sijui utandawazi wa sasa na elimu imefanya mabadiliko ila natarajia upendo wao, uvumilivu na kudumu kwenye ndoa wawe na uwezekano mkubwa kuliko jamii nyingi ninazojua. Tatizo lao elimu hawana.

Waangaza na Wasubi huwa nawaona na tabia za wanawake wa Burundi wala siwaoni kama Rwandese
Mkuu mimi nakwambia jambo la mwaka jana hapa nilikuwa huko kwenye msiba na nimeshuhudia mabinti wa kihangaza walioletwa kuolewa kwa order.
Huyo aliyekataliwa alikuja na mtoto hivyo mwanaume akamkataa akaanza kulia anabembeleza baadaye akapewa kwa mwanaume mwingine.
Halafu wanaowaoa nao choka sasa sijui kwao wana shida zaidi maana naona kama wanajibebesha shida zaidi.
 
Hii ni kweli ila nadhani ni ya zamani. Kwa bibi yangu kuna jirani yake aliolewa kwa namna hiyo, wanatolewa uko kwao Ngara wakiambiwa wanaenda kuolewa wanakubali kabisa kisha wanakuja kuoelewa na mtu hawajawahi muona. They are loyal to the death, upendo wanaanza kabla hata hawajafika kwa mume.

Ilikuwa zamani sijui utandawazi wa sasa na elimu imefanya mabadiliko ila natarajia upendo wao, uvumilivu na kudumu kwenye ndoa wawe na uwezekano mkubwa kuliko jamii nyingi ninazojua. Tatizo lao elimu hawana.

Waangaza na Wasubi huwa nawaona na tabia za wanawake wa Burundi wala siwaoni kama Rwandese
Upo sahihi elimu hawana kabisa. Na hawapendi kusoma.
 
Back
Top Bottom