Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Mkuu mimi nakwambia jambo la mwaka jana hapa nilikuwa huko kwenye msiba na nimeshuhudia mabinti wa kihangaza walioletwa kuolewa kwa order.
Huyo aliyekataliwa alikuja na mtoto hivyo mwanaume akamkataa akaanza kulia anabembeleza baadaye akapewa kwa mwanaume mwingine.
Halafu wanaowaoa nao choka sasa sijui kwao wana shida zaidi maana naona kama wanajibebesha shida zaidi.
Yeah wengi wao maisha magumu sana.
 
Mkuu mimi nakwambia jambo la mwaka jana hapa nilikuwa huko kwenye msiba na nimeshuhudia mabinti wa kihangaza walioletwa kuolewa kwa order.
Huyo aliyekataliwa alikuja na mtoto hivyo mwanaume akamkataa akaanza kulia anabembeleza baadaye akapewa kwa mwanaume mwingine.
Halafu wanaowaoa nao choka sasa sijui kwao wana shida zaidi maana naona kama wanajibebesha shida zaidi.
Labda kule kwao chance ya kufanikiwa hamna. Wanakuja hoehae wanalima na kutunza nyumba mume akisomesha watoto wanafanikiwa uzeeni. Nadhani huwa wanafanikiwa kuvunja generation poverty
 
Labda kule kwao chance ya kufanikiwa hamna. Wanakuja hoehae wanalima na kutunza nyumba mume akisomesha watoto wanafanikiwa uzeeni. Nadhani huwa wanafanikiwa kuvunja generation poverty
Weee hicho kijiji mwanamke akiolewa ndiye anatunza nyumba na wakwe kwa kulima na kulimia watu mume yeye zake zake, au za kunywea pombe.
Yani niliwaonea huruma kwa kweli
 
Labda kule kwao chance ya kufanikiwa hamna. Wanakuja hoehae wanalima na kutunza nyumba mume akisomesha watoto wanafanikiwa uzeeni. Nadhani huwa wanafanikiwa kuvunja generation poverty
Hili ulilo ongea linaweza kuwa sahihi.
 
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Kweli kabisa

Nimemkumbuka demu mmoja mrembo mnoooo aliitwa Queen aliolewa na Ofisa mmoja wa serikali mlevi kupindukia

Sikuamini yule mwanamke aliwezaje kuishi na kumvumilia yule mwamba, kajamaa kenyewe kafupi halaf kalevi, chee!
 
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Bby wangu njoo usome hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Picha ni chache.
Wameumbika?
Ushakutana na mhangaza aliyekulia mjini kama dar?
Ndio mkuu mchepuko wa kwanza wa mzee machache na wa pili mke wake ambae anataka mali zote za mzee,waangaza ni jamii ya watusi.
 
Hata wafanyakazi wa ndani ukipata muhangaza huwa wanadumu sana.
Ni wazuri kwakweli

Duh! Acha usinikumbushe kuhusu Domina watoto 3 kawalea hadi leo hii wote wapo secondary
Ni kweli hilo kabila wametulia na uvumilivu ndo kwao hawana ujuaji na wakiolewa wameolewa Kabanga ndo kwao Domina kila akitoka likizo kwao anakuja na parachichi kubwa na karanga za nyakahula sijui toleo gani lile nalo kubwa balaa [emoji122][emoji122]
 
Duh! Acha usinikumbushe kuhusu Domina watoto 3 kawalea hadi leo hii wote wapo secondary
Ni kweli hilo kabila wametulia na uvumilivu ndo kwao hawana ujuaji na wakiolewa wameolewa Kabanga ndo kwao Domina kila akitoka likizo kwao anakuja na parachichi kubwa na karanga za nyakahula sijui toleo gani lile nalo kubwa balaa [emoji122][emoji122]
Ngoja na sisi tukajionee
 
Back
Top Bottom