- Thread starter
- #121
Wale wanaridhika na kila hali ya maisha.Sawa nendeni huko ngara. Pisi kali huna kibunda utakula kwa macho kwangu[emoji28][emoji23][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanaridhika na kila hali ya maisha.Sawa nendeni huko ngara. Pisi kali huna kibunda utakula kwa macho kwangu[emoji28][emoji23][emoji28]
Hawa wa Mjini hamna mtasumbuana sana.Hizi pisi za town hatari wapite hivi kwanza
Nimefika huko na nimeobserve jinsi walivyo wavumilivu kwenye familia zao.ulitumia njia gan kufanya tafiti ofsaa
Mwanamke anapiga Kazi, hadi unaweza kumuonea huruma.Wanapiga kazi hatari nilikuwa benako mwaka 2019 very true
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Kumbe unamjuwa mkuu huyu si anauzaga uji kwenye maroli mara ya mwisho aliniagiza nimletee zawadi ya Kijora na viatu vya Masai.
Unamaanisha nini kusema hakuna tofauti na Rwanda mkuu.Hapo Ngara Nikanyaga Hayo Maeneo Oops Hakuna Tofauti Na Rwanda,
Hawana nyodoMwanamke anapiga Kazi, hadi unaweza kumuonea huruma.
Mkuu naomba nikuulize, hivi ni kwa nini Wahaya mnawadharau sana hao Wahangaza mnawaitaga Warundi na manamba wa mashamba yenu, kiasi kwamba Muhaya akikuita 'mrundi' inasemekana ni amekudharau sana na ni tusi kubwa sana.Yes Ibwera na izimbya ndo maeneo maskini zaidi Bukoba....huwezi linganisha Ibwera na kamachumu, kiziba, bugabo, muleba nk nk...
Kule bado kidogo....
Hao ni Kazi Kazi ni kama wasukuma.Hawana nyodo
Elimu haina kipaumbele kwao!Kwa hiyo wife material lazima awe mjinga?
Kumbe sio watu wa filter na scrubMtoa mada hujadanganya, nimeishi nao, wallahi ni wachapakazi, wavumilivu pia.
Mimi na gubu langu lakini nimeishi na wahangaza mwaka mzima sikumbuki siku niliyofoka.....I miss them.
Ile black beauty Sasa, na nywele nzuri, adabu usiseme tena sio ya maigizo......
Uliishi maeneo ganiMtoa mada hujadanganya, nimeishi nao, wallahi ni wachapakazi, wavumilivu pia.
Mimi na gubu langu lakini nimeishi na wahangaza mwaka mzima sikumbuki siku niliyofoka.....I miss them.
Ile black beauty Sasa, na nywele nzuri, adabu usiseme tena sio ya maigizo......
Kumbe sio watu wa filter na scrub
Sura nyembamba ?Yani Wana ule weusi wa kung'aa na kuteleza......visura vizuri, wasafi.....!
Ngara🤣🤣🤣Uliishi maeneo gani
Hakuna mkamilifu🤣🤣🤣Yawezekana ni kweli kwa zaidi ya 80% asilimia 20 nazitunza kwa sababu za kibinadamu.
Ntaendako one day ngara sehemu gani wamejaa au poteNgara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee wewe unawafahamu vizuri.Mtoa mada hujadanganya, nimeishi nao, wallahi ni wachapakazi, wavumilivu pia.
Mimi na gubu langu lakini nimeishi na wahangaza mwaka mzima sikumbuki siku niliyofoka.....I miss them.
Ile black beauty Sasa, na nywele nzuri, adabu usiseme tena sio ya maigizo......