Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Ibwera? Ndio chimbo la kupata housemaids kwa kule, sijawahi fika ila nadhani ni mojawapo ya maeneo maskini sana ukanda ule
Yes Ibwera na izimbya ndo maeneo maskini zaidi Bukoba....huwezi linganisha Ibwera na kamachumu, kiziba, bugabo, muleba nk nk...

Kule bado kidogo....
 
Mkuu Nafaka
Huko Libwera Bila Shaka Ni Kyerwa Kama Unakwenda Mlongo
 
Nitalifanyia kazi hili Imani yangu bajeti itakuwa mdogo tuh kukuita Kambi apo
 
Kweli kabisa

Nimemkumbuka demu mmoja mrembo mnoooo aliitwa Queen aliolewa na Ofisa mmoja wa serikali mlevi kupindukia

Sikuamini yule mwanamke aliwezaje kuishi na kumvumilia yule mwamba, kajamaa kenyewe kafupi halaf kalevi, chee!
Wavumilivu sana aisee ni kama wasukuma.
 
Back
Top Bottom