Tetesi: Baada ya kuteua Raia wa UGANDA,Waziri Jenista Mhagama anamuandaa Lawrence Mafuru kuwa bosi mpya NSSF

Tetesi: Baada ya kuteua Raia wa UGANDA,Waziri Jenista Mhagama anamuandaa Lawrence Mafuru kuwa bosi mpya NSSF

Status
Not open for further replies.
Kwani whats so special with NSSF ......ilikuwa inafadhili nini hadi kelele zote hizi ..
kazi ya msajili wa hazina by defacto ni KUBWA KULIKO YA MKURUGENZI WA SHIRIKA MOJA .....Msajili wa hazina ndio bosi wa makampuni yote ambayo serikali ina iterest ......sasa kutoka kuangalia makampuni yote hadi kuangalia kampuni au shirika moja au taasisi moja .....hamuoni kuwa LAWRENCE MAFURU itakuwa na maana kashushwa cheo??...ni kama kumchukua gavana akawe mkurugenzi wa bank
NSSF iligeuzwa kama branch ya Bakwata, sasa wanufaika wanahaha akiingia mtu ambaye anaongozwa na professionalism basi misuli itaanguka pale, kuna waliopata ajila kwa CV ya sigida tu na kuhiji makka ndio wanatokwa na mapovu hapa, watu clean huwa hawana presha na mabadiliko ya kiutawala sehemu yoyote ile walipo.
 
....Agriii@#$&%/...
KWANINI LISITOLEWE TANGAZO LA NAFASI YA KAZI?(qualification hitajika?)
HUKU KUCHAGUANA KIMYA KIMYA MATOKEO YAKE NDIPO TULIPODONDOKEA HAYA BANA.
[HASHTAG]#MAGUFULI[/HASHTAG] LIONE HILI BANA.!!
 
Hivi unajua kazi ya mafuru FBME kwa sasa kama ujafanya cha maana dau akiwa apo sahau kabisa kufanya cha maana naona unamtetea dau kuliko mkewe una uzi nyingi zote dau au nssf maisha yanabadilika kubali matokeo lazima wengine wakose wengine wapate awawezi kupata wote
 
....Agriii@#$&%/...
KWANINI LISITOLEWE TANGAZO LA NAFASI YA KAZI?(qualification hitajika?)
HUKU KUCHAGUANA KIMYA KIMYA MATOKEO YAKE NDIPO TULIPODONDOKEA HAYA BANA.
[HASHTAG]#MAGUFULI[/HASHTAG] LIONE HILI BANA.!!


HAPO UMENENA ...MAGUFULI AITISHE TANGAZO WATU WAOMBE KAZI .....NA HAYA YALIKUWA NDIO MATAKWA YA KATIBA ....INASIKITISHA SANA MTU KUONDOLEWA KWENYE SHIRIKA MOJA TU INAKUWA HABARI KULIKO WATU KUONDOLEWA UWAZIRI .....KAONDOLEWA KAMISHNA WA TRA RASHEED BADE ...WATU WALIKUWA WAPI KUMTETEA???? AU KWA AJILI TUNAPIGA NAYE WHISKY NA NYAMA NA NGISI??
MNAONAJE RASHEED BADE AKAPELEKWA NSSF ???????
 
....Agriii@#$&%/...
KWANINI LISITOLEWE TANGAZO LA NAFASI YA KAZI?(qualification hitajika?)
HUKU KUCHAGUANA KIMYA KIMYA MATOKEO YAKE NDIPO TULIPODONDOKEA HAYA BANA.
[HASHTAG]#MAGUFULI[/HASHTAG] LIONE HILI BANA.!!
CCM ni ileile na Magufuri ni walewale, ukakasi kama huu huwa unarekebiswa kwenye katiba, nashangaa wengi mnaweka matumaini kwa mtu ambaye bado anatumia msahafu uleule wa ccm halafu mnategemea mabadiliko, poleni sana Wadanganyika.

Mimi nimeshamuelewa Magufuli ni mtu wa aina gani alipozidiwa nguvu na wahafidhina kuhusu Zanzibar na kina Mkapa na Mkwere kila kukicha kiguu na njia ikulu, msitegemee jipya, majipu ni rylics za kuwapumbaza wajinga.

Mpaka sasa mimi huu utawala nitaupa credit siku nitakayoanza kununuwa umeme bila kukatwa service charge. hayo mengine mbwembwe tu.
 
honestly jamaa mtoa mada kaongea point ya muhimu kama mtanzania mwenzetu,,,!! kutoa waazo kuhsu taasisi fulan sio mpka et nae awe na taaluma hyo wakuu, kikubwa kama unahc mawazo yake yapo tofauti bs fanya kumwelewesha na sio vinginevyo.
 
Sisi yetu macho tu... ili mradi hela zetu ziwe salama

Bro, kwa fraudster kila kinachofanana na hela kwao hakiko salama. Watu hawa wanafahamu raha ya kuwa na pesa, ni watu mabao wanpenda maisha mazuri na starehe. wanapenda kumuliki vilivyo vizuri, kutembelea magari mazuri, kuwa na mademu wazuri, kuwa na nyumba nzuri sehemu nzuri na mengine yanayofanana na hayo.
Hawana tofauti na wale ambao JK Nyerere aliwaita wala nyama za watu, kuacha kwao ni ni nadra sana.
Ngoja nikukumbushe mifano michache:-
1. Kuna mmoja aliwahi kuwa CEO wa TOL(Tz Oxygen Ltd) alitutengenezea fraudulent Financial stmt, ilionyesha kuwa TOL ainapata faida sana kwenye biashara yake gass jambo ambalo halikuwa kweli. Watu wakaingia mkenge wakanunua hisa za TOL, angalia mpaka leo hii bei za hisa za TOL zikoje. Ilikuwa 300/= ikashuka mpaka 200/= na hakuna aliyetaka kuzinunua.
2. The same person akapewa Uwaziri wa mabo ya Ndani, akavurunda akatoswa. Ila jamaa wa SAUT wanamtambu, ilikuwa kila W end yuko pale Villa anakula raha na mademu wa SAUT. Na ilikuwa akimpenda demu wako umekwisha. Atamchukua hata kama kwa nguvu.

Na wote ambao aliwapenda na kupitia kwenye ofisi yake ya kutenda haki, walipoondoka wakawa mabingwa kweli wa Fraud.

Though, to others fraud does not pay, to them it pays alot. Na ndio maana kila siku wapo kwenye siasa wakifukizia ubunge ili waje wapate uwaziri na kisha wawafundishe adabu waTZ.

Kama watu wememtaja taja Mafuru kuhusika kwenye Fraud Schemes, basi tuwe nae makini vinginevyo ataja tuliza.
 
NSSF iligeuzwa kama branch ya Bakwata, sasa wanufaika wanahaha akiingia mtu ambaye anaongozwa na professionalism basi misuli itaanguka pale, kuna waliopata ajila kwa CV ya sigida tu na kuhiji makka ndio wanatokwa na mapovu hapa, watu clean huwa hawana presha na mabadiliko ya kiutawala sehemu yoyote ile walipo.
Nimewekea Org. Structures hapo ujiridhishe. Acha kuendekeza Udini Kafiri. Wote hao ni waislamu?

National Social Security Fund - Management
 
HAPO UMENENA ...MAGUFULI AITISHE TANGAZO WATU WAOMBE KAZI .....NA HAYA YALIKUWA NDIO MATAKWA YA KATIBA ....INASIKITISHA SANA MTU KUONDOLEWA KWENYE SHIRIKA MOJA TU INAKUWA HABARI KULIKO WATU KUONDOLEWA UWAZIRI .....KAONDOLEWA KAMISHNA WA TRA RASHEED BADE ...WATU WALIKUWA WAPI KUMTETEA???? AU KWA AJILI TUNAPIGA NAYE WHISKY NA NYAMA NA NGISI??
MNAONAJE RASHEED BADE AKAPELEKWA NSSF ???????



Hahahaha..Mkuu hapo utataka wakufungulie thread yako bure sasa mzee wa whisky akipelekwa pale na wao wanataka mwenye msimamo mkali wataelewana kweli au kutafuta majanga wenyewe wanaona lile shirika la bakwata wanapiga kelele sababu wanataka kubadilishiwa mfumo
 
Bro, kwa fraudster kila kinachofanana na hela kwao hakiko salama. Watu hawa wanafahamu raha ya kuwa na pesa, ni watu mabao wanpenda maisha mazuri na starehe. wanapenda kumuliki vilivyo vizuri, kutembelea magari mazuri, kuwa na mademu wazuri, kuwa na nyumba nzuri sehemu nzuri na mengine yanayofanana na hayo.
Hawana tofauti na wale ambao JK Nyerere aliwaita wala nyama za watu, kuacha kwao ni ni nadra sana.
Ngoja nikukumbushe mifano michache:-
1. Kuna mmoja aliwahi kuwa CEO wa TOL(Tz Oxygen Ltd) alitutengenezea fraudulent Financial stmt, ilionyesha kuwa TOL ainapata faida sana kwenye biashara yake gass jambo ambalo halikuwa kweli. Watu wakaingia mkenge wakanunua hisa za TOL, angalia mpaka leo hii bei za hisa za TOL zikoje. Ilikuwa 300/= ikashuka mpaka 200/= na hakuna aliyetaka kuzinunua.
2. The sama person akapewa Uwaziri wa mabo ya Ndani, akavurunda akatoswa. Ila jamaa wa SAUT wanamtambu, ilikuwa kila W end yuko pale Villa anakula raha na mademu wa SAUT. Na ilikuwa akimpenda demu wako umekwisha. Atamchukua hata kama kwa nguvu.

Na wote ambao aliwapenda na kupitia kwenye ofisi yake ya kutenda haki, walipoondoka wakawa mabingwa kweli wa Fraud.

Though, to others fraud does not pay, to the it pays. Na ndio maana kila siku wapo kwenye siasa wakifukizia ubunge ili waje wapate uwaziri na kisha wawafundishe adabu waTZ.

Kama watu wememtaja taja Mafuru kuhusika kwenye Fraud Schemes, basi tuwe nae makini vinginevyo ataja tuliza.
Hii ya tol unamjua muasisi wake lakini kabla ya huyo wa Saut?? Kama humjui tafuta habari zake .huyo wa saut alikuwa corporation secretary wakati muhusika mkuu ni General manager
 
Mkuu Mbona unahangaika sana? Basi wakitangaza hii nafasi na wewe OMBA! I told you the era of DR. Dau is over. Live with it. Hakuna namna. Kuwa na chuki kwa Kitu ambacho huwezi Hata kuomba in kupoteza mda.
Je, Hayo Aliyosema Ni Kweli Au Si Kweli!!! Hoja Iwe Hapo, Ili Sisi Wengine Tupate Kujua Kama Tuhuma Hizo Si Za Kweli Au Kweli!!!
 
Hahaaa, hivi akiteuliwa tena mvaa kanzu mwingine kuwa DG wa NSSF, patakalika kweli hapa JF?.
Wataandamana. tatizo lao hawaamini kama Muslims wanaweza na waaminifu pia. Kibaya zaidi wamepandikizwa chuki na ma-padri wao kuwa chochote chenye kuhusu uislamu na waislamu si lolote si chochote.
Kama mtu anaweza hifadhi Quran yote, itamshinda ni ni kuhifadhi visomo vyenu hivi vya miezi sita sita vya kidhungu?
 
Udini hauepukiki.Mkiristo atasali kanisani na Muislam ataswali msikitini."nb..angalia neno atasali na ataswali."udini
unaanzia hapo.tukubali udini upo na tuendelee na maisha.
 
Mi

Mizizi aliyoiweka dau kung'oka itachukua miaka na miaka, haya mmemchagua mgalatia mwenzenu mbona hata nusu saa haijapita mmemfukuza?
Tunaandaa mgalatia mwingine...
Si unaona leo imefanyikasafisha safisha pale NSSF na tayari lile eneo lililokua mmeliguza msikiti tushasafisha saa hiz tunakua tunatunza maboxi ??
 
Mleta mada umejaa wivu wa Muya binadamu kwa uongo. Huna taarifa sahihi kuhusu Lawrence Mafuru acha wivu wako. Jua yafuatayo:
1. Taja jina sahihi la hilo Baraza. Kama wewe hufahamu taasisi za nchi yako huna tofauti na huyo mganda na mkenya asiyejua Olduvai iko nchi gani.

2. Lawrence Mafuru hakuwahi kuwa boss wa FMBE bali alipewa bank kuisimamia wakati iluposimamishwa kufanya shughuli zake nchini. Lengo likiwa ni kuhakikisha haki za Wateja hazipotei.

3. Lawrence Mafuru hakufanya kosa la jinai NBC na ndiyo maana Yuko huru. Makosa yaliyofanyika NBC yalimuwajibisha Mafuru na kama kiongozi aliyekomaa alisimama kazi ili kupisha uchunguzi. Alikutwa hana kosa akarejea kazini NBC. Baadaye aliamua mwenyewe kujiuzulu.

4. Presidential Delivery Bureau walimwajiri na alifanya Kazi vizuri sana huku mashirika mengi yakitaka kumuajiri akawa anapima maamuzi yake.

5. Serikali kwa kuangalia utendaji wake mzuri ikamteua kuwa Treasury Registrar Kazi ambayo anaifanya kwa ubora wake. Anaiendesha Treasury kiufundi na ki modern kabisa. Ameiwezesha serikali kubana matumizi makubwa na ushauri wake unazingatiwa mno. Keep it up Mafuru.

5. Tena nimuombe Mh. Rais asimuondoe Mafuru TR ili aendelee kuzibana taasisi za umma na mapato.

6. Mleta mada kajipange upya. Wakitangaza omba. Ila kwa mtizamo hutakuwa na sifa zaidi ya wivu.
 
Mtoa mada wewe unataka Nani apewe hiyo NSSF??
 
RASHEED BADE FOR NSSF...
Mleta mada umejaa wivu wa Muya binadamu kwa uongo. Huna taarifa sahihi kuhusu Lawrence Mafuru acha wivu wako. Jua yafuatayo:
1. Taja jina sahihi la hilo Baraza. Kama wewe hufahamu taasisi za nchi yako huna tofauti na huyo mganda na mkenya asiyejua Olduvai iko nchi gani.

2. Lawrence Mafuru hakuwahi kuwa boss wa FMBE bali alipewa bank kuisimamia wakati iluposimamishwa kufanya shughuli zake nchini. Lengo likiwa ni kuhakikisha haki za Wateja hazipotei.

3. Lawrence Mafuru hakufanya kosa la jinai NBC na ndiyo maana Yuko huru. Makosa yaliyofanyika NBC yalimuwajibisha Mafuru na kama kiongozi aliyekomaa alisimama kazi ili kupisha uchunguzi. Alikutwa hana kosa akarejea kazini NBC. Baadaye aliamua mwenyewe kujiuzulu.

4. Presidential Delivery Bureau walimwajiri na alifanya Kazi vizuri sana huku mashirika mengi yakitaka kumuajiri akawa anapima maamuzi yake.

5. Serikali kwa kuangalia utendaji wake mzuri ikamteua kuwa Treasury Registrar Kazi ambayo anaifanya kwa ubora wake. Anaiendesha Treasury kiufundi na ki modern kabisa. Ameiwezesha serikali kubana matumizi makubwa na ushauri wake unazingatiwa mno. Keep it up Mafuru.

5. Tena nimuombe Mh. Rais asimuondoe Mafuru TR ili aendelee kuzibana taasisi za umma na mapato.

6. Mleta mada kajipange upya. Wakitangaza omba. Ila kwa mtizamo hutakuwa na sifa zaidi ya wivu.
tressurer register ni bosi wa makampuni yote ambayo serikali ina hisa .....hadi yale ya jamaa zetu ambayo yana foster names anayajua yeye ..
 
Mleta mada umejaa wivu wa Muya binadamu kwa uongo. Huna taarifa sahihi kuhusu Lawrence Mafuru acha wivu wako. Jua yafuatayo:
1. Taja jina sahihi la hilo Baraza. Kama wewe hufahamu taasisi za nchi yako huna tofauti na huyo mganda na mkenya asiyejua Olduvai iko nchi gani.

2. Lawrence Mafuru hakuwahi kuwa boss wa FMBE bali alipewa bank kuisimamia wakati iluposimamishwa kufanya shughuli zake nchini. Lengo likiwa ni kuhakikisha haki za Wateja hazipotei.

3. Lawrence Mafuru hakufanya kosa la jinai NBC na ndiyo maana Yuko huru. Makosa yaliyofanyika NBC yalimuwajibisha Mafuru na kama kiongozi aliyekomaa alisimama kazi ili kupisha uchunguzi. Alikutwa hana kosa akarejea kazini NBC. Baadaye aliamua mwenyewe kujiuzulu.

4. Presidential Delivery Bureau walimwajiri na alifanya Kazi vizuri sana huku mashirika mengi yakitaka kumuajiri akawa anapima maamuzi yake.

5. Serikali kwa kuangalia utendaji wake mzuri ikamteua kuwa Treasury Registrar Kazi ambayo anaifanya kwa ubora wake. Anaiendesha Treasury kiufundi na ki modern kabisa. Ameiwezesha serikali kubana matumizi makubwa na ushauri wake unazingatiwa mno. Keep it up Mafuru.

5. Tena nimuombe Mh. Rais asimuondoe Mafuru TR ili aendelee kuzibana taasisi za umma na mapato.

6. Mleta mada kajipange upya. Wakitangaza omba. Ila kwa mtizamo hutakuwa na sifa zaidi ya wivu.
Kumbe tatizo la mleta mada ni hili jina la Laurence!? Astaghafirurahhi hawa watu!
 
....Agriii@#$&%/...
KWANINI LISITOLEWE TANGAZO LA NAFASI YA KAZI?(qualification hitajika?)
HUKU KUCHAGUANA KIMYA KIMYA MATOKEO YAKE NDIPO TULIPODONDOKEA HAYA BANA.
[HASHTAG]#MAGUFULI[/HASHTAG] LIONE HILI BANA.!!
Naona mnamtarajia JPM afanye mambo ambayo yako juu ya mtazamo na fikira zake. MAGUFULI hawezi kuliona kwa sababu ni wale wale Magambas wasiokubali Katiba Mpya iliyojikita katika rasimu ya Warioba. Ile rasimu ilikuwa ina-address haya yote ikiwa ni pamoja nafasi kama hizi kutangazwa na kushindanishwa kwa watu wenye sifa na wanaojitokeza kuziomba. Lakini CCM hawataki kwa sababu ndio njia ya kupeana vyeo na kuimarisha madaraka ya urais lakini bila kujali ufanisi katika mashirika na kampuni kama hizi. Tuendelee kupigania Katiba Mpya iliyoegemea Rasimu ya Warioba hata kama itakuja baada ya kizazi hiki kutoweka. Itanufaisha wajukuu na vitukuu vyetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom