Tetesi: Baada ya kuteua Raia wa UGANDA,Waziri Jenista Mhagama anamuandaa Lawrence Mafuru kuwa bosi mpya NSSF

Tetesi: Baada ya kuteua Raia wa UGANDA,Waziri Jenista Mhagama anamuandaa Lawrence Mafuru kuwa bosi mpya NSSF

Status
Not open for further replies.
Huyu Mafuru hafai,Bora yule mafuru aliekuwa vodacom
 
Haaa haaa Dau alikua mrija mkuu sasa umekatwa naona wanaokosa huduma wanalialia tu huku,kubalini matokeo Dau regime is over na nyinyi anzeni kuisoma namba tu hakuna namna ndio HAKI ilivyo inachomachoma.
 
naomba mtupakulie CV ya Lawrence Mafuru ili tujue tunaanzia wapi kuchangia habar hii.
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?
Chuki Binafsi, basi uteuliwe wewe sasa au waje malaika toka mbinguni !
 
Hawa watu wa Dr. Dau wanahaha sana.... Inaonekana jamaa kaumia sana kwa Dau kuondoka..... No more misikiti tena ndani ya NSSF

Usikubali kuingia kwny Mtego wa kuwa Mdini, Athari yake usipovuna wewe hata wajukuu zetu wataikuta. Usitengeneze Mazingira ionekane Dau kaondolewa kwa kuwa ni Swala tano,nakushauri achana na suala la Imani ya mtu ni hatare sana sana kwa mustaqbal wa Taifa na Jamii yetu.
 
Hawa watu wa Dr. Dau wanahaha sana.... Inaonekana jamaa kaumia sana kwa Dau kuondoka..... No more misikiti tena ndani ya NSSF
Kijana mbona issue ya Dau imeisha, keshaachia nafasi. mbona ni wewe tuu ndiye unayefuatilia na kuandama habari za Dau?

Hivi sasa vita ni nani ashike nafasi yake na wanaogombea na kutajwa sio jamaa zake Dau, Bali ni watanzania wengine, na kila atajwaye hamuishi kuwajengea majungu.
 
Hapa JF naona panaharibiwa sana. Anapitajwa mtu kusikia wadhifa wowote, basi tunaona kashfa sizizo na Ushahidi na kuharibian majina. Kwa mwendo huu sidhani kama kuna mtanzania atakayepata nafuu ha JF. Linazidi kuwa jukwaa la udaku
 
'Kati ya watanzania Milioni 50' unamaanisha watoto wachanga, under 18, uneducated, wastaafu wotw hao wana sifa kwa hiyo nafasi ya DG wa NSSF?
Ukiacha nafasi hiyo moja pekee unayodai kila mtanzania ana sifa ya kuteuliwa kuitwaa, umewahi jaribu kuchukua ajira zote za serikali kwa wingi wake jalafu ukatafuta watanzania wenye sifa ya ajira hizo ni wangapi?
mkuu umewaza nini????
doh
 
kwa tabia hizi ndio maana Donard Trump anatutukana waafrika yaani tunachoweza majungu ,umbea na ngono
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?
Abas acha kudanganya watu jenista siyo MAMLAKA ya uteuzi wa hyo post,yeye anaweza tu kumteua wa kukaimu,hata hivyo una maslahi na dau ambaye amefikisha Nssf kuwa matapeli kwa kuwa hawawezi tena hata kukopesha Saccos kama walivyojitutumua,mfano huko moshi wanachama wa Saccos wametapeliwa na ukweli ni kuwa cash flow ya shirika ni mbaya sana,kusema shirika ni kubwa hata NIC walokuwa giant lakini ukishindwa kulipa madeni wafwa ndiko Nssf ulikuwa inaelekea ndani ya kiongozi ULIOTUKUKA WA DOKTA DAU!!!!!
 
Hawa watu wa Dr. Dau wanahaha sana.... Inaonekana jamaa kaumia sana kwa Dau kuondoka..... No more misikiti tena ndani ya NSSF

Kama misikiti inakuumiza sana basi anza kubomoa makanisa pia yaliyojaa ofs za umma..

Si Mlikua kila msimu wa krismas na noel mnaweka masanamu mle kwenye ofis za umma?
 
NSSF iligeuzwa kama branch ya Bakwata, sasa wanufaika wanahaha akiingia mtu ambaye anaongozwa na professionalism basi misuli itaanguka pale, kuna waliopata ajila kwa CV ya sigida tu na kuhiji makka ndio wanatokwa na mapovu hapa, watu clean huwa hawana presha na mabadiliko ya kiutawala sehemu yoyote ile walipo.
Chuki zako dhidi ya Imaan za watu wengine si jambo lenye kupendeza,jifunze kujadili hoja
 
Kama misikiti inakuumiza sana basi anza kubomoa makanisa pia yaliyojaa ofs za umma..

Si Mlikua kila msimu wa krismas na noel mnaweka masanamu mle kwenye ofis za umma?
hahaha mkuu kinachowakera wao ni huu uislam wetu.
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?

Naona unahangaika sana ila utambue tu liwe jua ama mvua 'wenyewe' wameamua Dau hatorudi tena NSSF....
Binafsi nilimpenda Dau coz amelifanya NSSF kuwa na vitegauchumi vingi na mtaji wa uhakika kuliko mifuko mingine....
 
Kiukweli tungekuwa na Rais wa maana, huyu Jenister hadi wakati huu angekuwa anazungumza akiwa Peramiho anafungia kuku zizini, hana kazi serikalini.

Ova
 
Hii katiba mpya ya Warioba itaanza lini ili nafasi kama hizi watu waombe na kufanyiwa usaili. Ni aibu kubwa sana karne ya 21 watu bado tunatumia njia za kishirikina na kubahatisha kuchagua viongozi wa mashirika makubwa hapa nchini

Such posts should be advertised and applicants vetted by a panel of experts and the successful applicant be appointed by the president.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom