Baada ya kutoka jela, Emmanuel Mbasha azungumzia kuhusu Flora Mbasha

Itabidi yule binti aondoke pale home maana Flora atakuwa anaishi na mkubwa mwenzie
 
Mijitu mingine bwana dah...................................
 
Unabebaje mali za familia kama zako peke yako? Kisheria kama Mbasha angetaka kulipeleka kisheria Flora ana kesi ya kujibu.........mali wamechuma wote....hakuna mwenye haki kuliko mwingine........

Flora alishamchoka huyu jamaa atakuwa alikuwa anasubiri sababu ya kumtema........
 
.Haya ni matatizo ya wanaume kutofanya kazi na kutegemea mwanamke ,mimi siku zote nilikuwa namshangaa huyu kijana badala ya kufanya kazi anarukaruka jukwaani na mkewe ndio matokeo yake mke anaona vitu vyote kanunua kwa jasho lake, huyo Mbasha alikuwa anafanya shughuli gani akanunua hata shuka la sh 20000? Flora kachukua vitu sababu anajua kila kitu kimepatikana kwa jasho lake.
Mimi naamini haiwezekani Flora kufanya hivyo kuna kitu ambacho Mbasha amefanya kikubwa .Hakuna kitu kinachouma kama kumlea mwanaume miaka yote hiyo anakula,anavaa, na analala kwa jasho lako halafu anakutenda kwakuwa mzinzi.
Siamini kama Mbasha kabaka ila naamini alikuwa na mahusiano na hao wasichana ndio maana Flora kaamua kama kumkomoa na inawezekana hata nje alikuwa nao sasa ni revenge.
 

Umeongea point mkuu hadi nakuogopa, wengi wanamponda sana florah, wanasahau kuwa florah sio chizi wala mwendawazimu anajua anachokifanya

Mie bado nipo kwenye maombolezo ya picha ya mama wema, yani nimeiona leo nimelia kiama, kutwa nzima
 
Umeongea point mkuu hadi nakuogopa, wengi wanamponda sana florah, wanasahau kuwa florah sio chizi wala mwendawazimu anajua anachokifanya

Mie bado nipo kwenye maombolezo ya picha ya mama wema, yani nimeiona leo nimelia kiama, kutwa nzima

Warumi umeanza, yule mama mwacheni atakufa siku si zake maana mwanae amemuingiza chaka. Wakati mwingine kuzaa sio kupata ni kuondoa maradhi.
 
Umeongea point mkuu hadi nakuogopa, wengi wanamponda sana florah, wanasahau kuwa florah sio chizi wala mwendawazimu anajua anachokifanya

Mie bado nipo kwenye maombolezo ya picha ya mama wema, yani nimeiona leo nimelia kiama, kutwa nzima

Mkuu fanya unitumie PM hako ka picha as sijakaona.
 
Warumi umeanza, yule mama mwacheni atakufa siku si zake maana mwanae amemuingiza chaka. Wakati mwingine kuzaa sio kupata ni kuondoa maradhi.

Binamu nimecheka leo kiama, nimeona watu wame edit eti wametoa kwenye gazeti picha za uchi za mama wema na wema, eti mtu na mama yake wanashindana kupiga picha za uchi, yan nimecheka sana, na hizo picha ukiziona dah, kweli umaarufu ni mzigo wa mwiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…