warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
hahaha binamu una maneno....... eti mumewe kabaki na mapumbu tu lol atajuta kumfaham flora
Mh, mume wa marehemu UFOO SARO angekuwepo yote haya yasingetokea, rest in peace baba, tutakukumbuka daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha binamu una maneno....... eti mumewe kabaki na mapumbu tu lol atajuta kumfaham flora
Umeongea point mkuu hadi nakuogopa, wengi wanamponda sana florah, wanasahau kuwa florah sio chizi wala mwendawazimu anajua anachokifanya
Mie bado nipo kwenye maombolezo ya picha ya mama wema, yani nimeiona leo nimelia kiama, kutwa nzima
Mimi nina hakika hata hiyo nyumba na kadi ya gari zina majina ya Flora ndio maana jamaa analia tu mi bado nampenda mke wangu, Flora anajua anachokifanya kesho atakuja kumtoa ndani.
Kama rafiki yetu Warumi team cobra dj akileta mchezo tunamfanya kama Mbasha.
kwikwii wanawake tafuteni hela jamani. siyo kama shoga yangu ananyang'anywa gari barabarani.
Mkuu hapo kinachofuata ni nyumba inauzwa kimyakimya tu,, anakuja kutolewa ndani na mtu tofauti.. Mwanamke ni mtamu sana tu,, lakini anaweza kuwa mchungu zaid ya shubiri ukimboa akasema imetosha
'When a woman is fed uuup, there's nothin u can do bout it'...in R.Kelly voice
Kuna wanawake wana tamaa sana na wamekosa ubinadamu, njaa kitu kibaya sana hadi shuka kalamba hakuacha kitu, kapeti, vikombe n.k.
Mwanamke wa hivi anaweza kukuua ili azulumu mali, na ndio mana wanawake wa hivi hawakawii kusema tumechuma wote kwa njaa zao.
Ndio mana wakikutana na wale ambao wana maamuzi ya haraka wanaishia kumiminiwa risasi.
Ogopa jamaa wa hivi nampenda Flora, nampenda Flora. Huyu jamaa ana yake ya moyoni sema anatumia busara sana kwa waandishi wa habari na kwa uma kwa ujumla
Hapo sasa nimekuelewa mkuu asante sana kwa maelezo yako, kumbe Mama ndiye mwenye mali! Mimi nilijua mali za mzee mwanamke ameamua kuleta tamaaTatizo mwanaume aliishi kwa kumtegemea Frola kwa hiyo amechukua akijua ni vyake, kwanza katumia hekima kumwacha bado anaishi hapo ,sema Mbasha hana hekima na maamuzi huyo mwanamke amempa message tu kuwa hatoke humo ndani hana chake. Mali ya mwanaume ni ya wote lakini cha mwanamke ni chake.
Mwacheni tu ila ajue kuwa mwisho wa ubaya ni aibu!!! Sijui ataimba tena huyu mama????
Sent from my iPhone using JamiiForums app
amemiss kulelewa huyo si bure,..
amemiss kulelewa huyo si bure,..
Huyu Dem nae utashangaa anaendelea kuimba nyimbo za Gospel !
My Take
she have to pick Taarabu as her First priority !
hapo umemanisha nini mkuuMh, mume wa marehemu UFOO SARO angekuwepo yote haya yasingetokea, rest in peace baba, tutakukumbuka daima
haha atakuja kushtuka anatolewa tu mkuku kwenye nyumba
Si aende kwa muathirika mwenzie wa ndoa vicky kamata waoane