Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Na watu watamkubali tu mbona watanzania ni wasahalifu sana
we ni mkenya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na watu watamkubali tu mbona watanzania ni wasahalifu sana
we ni mkenya nini
Kwa wale waliozia kuhusu picha za mama wema, nitai post soon kwenye thread mpya, so kama atakayewah kui copy na kuiona ndo itakuwa hivyo, kuhusu dhambi nadhani atapata yule aliyeitengeneza na kuisambaza, mimi ni wakala tu wa tigo pesa
Heaven on Earth, princess sayuni, Dinazarde, geniveros, snipa, zavi, leme, mamakibunju, honeyfaith, lusungo, qn of sheba, @
Hapana ni Mtanzania halisi
Daaah kweli umenikumbusha, ilitakiwa wabdilishane, yule mtaka ndoa Vicky aende kwa Mbasha na huyo Flora aende kwa Charleshana interest labda binamu.... hivi Charles alishaonekanaga
Kwa wale waliozia kuhusu picha za mama wema, nitai post soon kwenye thread mpya, so kama atakayewah kui copy na kuiona ndo itakuwa hivyo, kuhusu dhambi nadhani atapata yule aliyeitengeneza na kuisambaza, mimi ni wakala tu wa tigo pesa
Heaven on Earth, princess sayuni, Dinazarde, geniveros, snipa, zavi, leme, mamakibunju, honeyfaith, lusungo, qn of sheba, @
mi itakua marudio
Hapana ni Mtanzania halisi
Ngoja niweke watu wajionee wataalamu wa IT
Ngoja niweke watu wajionee wataalamu wa IT
Nakusihi mdogo wangu acha, usishiriki dhambi yao.
hahahaha keshashiriki tayari
Mh, mume wa marehemu UFOO SARO angekuwepo yote haya yasingetokea, rest in peace baba, tutakukumbuka daima
Kwan mbasha jaman anafanyia kampuni gani?? yani wanaume ma handsome wanapenda umarioo kiama, ndo atafute jimama lingine la kumlea
Hata kama emma ni mkosaji ila flora si mke halali why asiende kumjulia hali mumewe uko keko...
hapo umemanisha nini mkuu
.Haya ni matatizo ya wanaume kutofanya kazi na kutegemea mwanamke ,mimi siku zote nilikuwa namshangaa huyu kijana badala ya kufanya kazi anarukaruka jukwaani na mkewe ndio matokeo yake mke anaona vitu vyote kanunua kwa jasho lake, huyo Mbasha alikuwa anafanya shughuli gani akanunua hata shuka la sh 20000? Flora kachukua vitu sababu anajua kila kitu kimepatikana kwa jasho lake.
Mimi naamini haiwezekani Flora kufanya hivyo kuna kitu ambacho Mbasha amefanya kikubwa .Hakuna kitu kinachouma kama kumlea mwanaume miaka yote hiyo anakula,anavaa, na analala kwa jasho lako halafu anakutenda kwakuwa mzinzi.
Siamini kama Mbasha kabaka ila naamini alikuwa na mahusiano na hao wasichana ndio maana Flora kaamua kama kumkomoa na inawezekana hata nje alikuwa nao sasa ni revenge.