Baada ya kutoka jela, Emmanuel Mbasha azungumzia kuhusu Flora Mbasha

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mwandishi bure kabisa ana maswali ya kitoto sana. Mbasha kasema anamjua anayemtumia msg za vitisho kwanini asimuulize ni mchungaji wa kanisa ama? Shame on you.
 
Hata kama emma ni mkosaji ila flora si mke halali why asiende kumjulia hali mumewe uko keko...
 
Hata kama emma ni mkosaji ila flora si mke halali why asiende kumjulia hali mumewe uko keko...

Ye mwenyewe kasuka huo mpango wa kumpeleka mumewe police halafu aende kumuona., sababu Frola alikuwa anao uwezo wa kuzuia kesi isifike police
 

Wewe jamaa ni moja ya waafrika wachache waliobarikiwa akili za kufikiri.a word!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…