Baada ya kutoka jela, Emmanuel Mbasha azungumzia kuhusu Flora Mbasha

Baada ya kutoka jela, Emmanuel Mbasha azungumzia kuhusu Flora Mbasha

.Haya ni matatizo ya wanaume kutofanya kazi na kutegemea mwanamke ,mimi siku zote nilikuwa namshangaa huyu kijana badala ya kufanya kazi anarukaruka jukwaani na mkewe ndio matokeo yake mke anaona vitu vyote kanunua kwa jasho lake, huyo Mbasha alikuwa anafanya shughuli gani akanunua hata shuka la sh 20000? Flora kachukua vitu sababu anajua kila kitu kimepatikana kwa jasho lake.
Mimi naamini haiwezekani Flora kufanya hivyo kuna kitu ambacho Mbasha amefanya kikubwa .Hakuna kitu kinachouma kama kumlea mwanaume miaka yote hiyo anakula,anavaa, na analala kwa jasho lako halafu anakutenda kwakuwa mzinzi.
Siamini kama Mbasha kabaka ila naamini alikuwa na mahusiano na hao wasichana ndio maana Flora kaamua kama kumkomoa na inawezekana hata nje alikuwa nao sasa ni revenge.

Huyu mbasha kuna kitu kikubwa kamtenda flora anamkomoa.ata hii ya kubaka perhaps katengenezewa tuu akili zimsogee.mwanamke hawez kukurupuka tuu kumuumbua mumewe hvyo.saizi yake
 
Jmn hii ss kali.jamaa kaumbuk mbaya wanaume ss ndo mda wa kutia nywel maji mana.....sura ht mbuzi anayo ukileta ujinga mbna hta pumbu zitaanikwa kwny kamba...yaaan kwl mwanamke akikasirika vitendo vya mbogo vinahusika
 
Ye mwenyewe kasuka huo mpango wa kumpeleka mumewe police halafu aende kumuona., sababu Frola alikuwa anao uwezo wa kuzuia kesi isifike police

Ndo apo nimeona kuwa flora naye anamatatizo... usilipe baya kwa baya kama alidai kamsamehe mumewe basi angeendeleza hizo huduma za keko huku akisubiri hukumu iishe... kama alimsamehe kweli yann asisahau.
 
Mwacheni tu ila ajue kuwa mwisho wa ubaya ni aibu!!! Sijui ataimba tena huyu mama????


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Ni kwamba huyu mama nahisi na mbasha watakuwa kwenye secret society, na kama mdau mmoja aliwahi kuanika hapa kuwa emma alikeuka masharti na ndipo matatizo yalianza. Maana yake Flora hajakiuka mashart ndiyo maana kaambiwa amtenge mume wake kwa kuachana naye ili anusuru uanachama wake na maisha yenye kuwa na hela! Kwa mtizamo tu inawezekana emma akafungwa maisha au wakamuua. Na kwa upande mwingine emma atakuwa na siri nzito ndiyo maana hizo msg za vitisho zinatumwa. Na iko siku atakuja kufunguka kwa jinsi walivyoupata huo utajiri wa haraka haraka.
 
kama kweli flora ameokoka, anauaibisha uokovu wake . haijarisha mbasha amemtenda ubaya kiasi ngani hakupaswa kufanya anayoyafanya kama kweli ameokoka , na si haki kusema mbasha alikuwa anamtegemea flora bali mbasha ndiye aliyemtoa flora na kumfanyia connection mpaka flora akafika hapo hivyo hizo mali wamechuma wote.

Kamtoa Flora kivipi? ye amfanyie mwanamke connection halafu yeye abaki kuwa marioo!!! kwanini hakujifanyia yeye kama ana akili? Yeye alifanya makosa kukaa bila kufanya kazi na kumtegemea mwanamke. Wanawake wenyewe siku hizi hawataki kuwa kula kulala sembuse mwanaume ndio matokeo yake hayo mwanamke anakuaibisha atakavyo maana mwanamke akikuchoka utalijua jiji.
 
Ye mwenyewe kasuka huo mpango wa kumpeleka mumewe police halafu aende kumuona., sababu Frola alikuwa anao uwezo wa kuzuia kesi isifike police

nashangaa kesi ilikuwa mikononi mwa florah, uwezo wa kesi kutokufika mahakamani na kufika mahakani ulikuwa mikononi mwake, yeye ndo mdogo wa aliyefanyiwa hilo tukio, so angeamua mkingia kifua mumeo amuondoe kwenye hii fedheha angeweza, yaan sijui kwa hili li florah hadi leo bado linaishi, yani unalimwagia risasi mwili mzima manina zake
 
Huyu mbasha kuna kitu kikubwa kamtenda flora anamkomoa.ata hii ya kubaka perhaps katengenezewa tuu akili zimsogee.mwanamke hawez kukurupuka tuu kumuumbua mumewe hvyo.saizi yake

Mwanaume atabaki kuwa mwanaume ata huko Utahudi. Suala la mwanaume kutembea nje ya ndoa ni uzembe wa mwanamke.

Mwanamke mwenye busara hawezi acha mumewe kwa kutia nje ya ndia
 
Mwanaume atabaki kuwa mwanaume ata huko Utahudi. Suala la mwanaume kutembea nje ya ndoa ni uzembe wa mwanamke.

Mwanamke mwenye busara hawezi acha mumewe kwa kutia nje ya ndia

Sa kama uzembe wa mke mbasha anahaha kumlamba miguu flora ya nini?si aendelee tuu kutunisha kifua kama dume kweli analialia kwwnye media nini?
 
Mwanaume atabaki kuwa mwanaume ata huko Utahudi. Suala la mwanaume kutembea nje ya ndoa ni uzembe wa mwanamke.

Mwanamke mwenye busara hawezi acha mumewe kwa kutia nje ya ndia

Hakuna kitu kama hicho, mwanamme kutoka nje ya ndoa ni uzembe wa mwanamke ni umalaya/uziinzi tu, na mwanamke akitoka je? ni uzembe wa mwanaume?
Wanaume ni wazinzi sawa lakini lazima mwanaume ufanye uzinzi wako kwa staha, sio kutongoza hadi wasichana ndani ya familia. Mwanaume akafanye uzinzi wake nje ya familia sio ndani japokuwa inabakia kuwa ni dhambi lakini inaimarisha heshima ndani ya familia.
 
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako

Umenitoa machoz Kwa kucheka uwii..samaki wamefkaje hapa jamani bora wewe unawaza kusaka pesa bwana ntakutafta maana tumekazila tuu kujadili mbasha na mkewe ngja wapatane yatushuke.
 
Wanawake siyo watu isipokuwa mama yako mzazi!
 
Aiseee hili swala gumu sn!

Pole sn Ndugu Emma! Mkabizi Mungu yote!
 
Hili jamaa nalemyewe halina akili,toka lin mwanaume ukawa mtu wa kilia kila hvo kwenye media, ndo maaanaa anagongewa


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Back
Top Bottom