Boay Hotay
Senior Member
- Jul 8, 2023
- 103
- 142
Huyu Kagame angekuwa Rais wa Tanzania Marekani ingetuheshimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna uwezo huo utakalia kubweka tu humuHata akiwa hapo kijijini Rwanda anapangiwa vizuri tu,ye ni panya tu kama mapanya wengine
Haina shida namfuata hukohuko kijijini kigaliKelele za nini kidume kashaongea kama vipi kamguse yupi kigali sio kupiga kelele humu
Nenda kama hujarudi na chupi kichwaniHaina shida namfuata hukohuko kijijini kigali
NtamnyooshaHuna uwezo huo utakalia kubweka tu humu
Msimpe kichwa.... kama wakulu wakiamua ni suala la dakika tu anapotea ulimwenguniBaada ya Mkutano wa usuluhishi kukamilika Dar es salaam Rais Kagame wa Rwanda amesema " hakuna wa Kutupangia" linapokuja swala la ulinzi na ustawi wa Rwanda
Watoto wa Kagame Wote ni Wanajeshi
Credit: Citizen TV
Ndo naenda hiviNenda kama hujarudi na chupi kichwani
Unauhakika hao ni waasi kweli, au wanalinda ardhi yao isiporwe na wanyang'anyiCongo ni mteja wetu mkubwa bila ya congo banadari yetu itayumba, huwezi kupeleka mizigo kama kuna vita, na ukirihusu hwa waasi wawe na nguvu kupambana na jeshi la serikali ina maana hata wewe hapa nchini kwako wanaweza kuja kukuvamia na kusema geita ni mali yao wakaanza kukusumbua hawa waasi sio wa kuchekewa
Kale kazee kajeuri sana.Baada ya Mkutano wa usuluhishi kukamilika Dar es salaam Rais Kagame wa Rwanda amesema " hakuna wa Kutupangia" linapokuja swala la ulinzi na ustawi wa Rwanda
Watoto wa Kagame Wote ni Wanajeshi
Credit: Citizen TV
Sasa hatq angefanya hivyo kwa sa100 wewe unafikiri sa100 angefanya kitu gani, angemfunga pingu?Kama ye ni mwamba si angesema mkutanoni kwamba hakuna wa kutupangia,huku akiwanyooshea vidole marais wenzie hususan samia
Tatizo hakufanya,angefanya ungeona angefanywajeSasa hatq angefanya hivyo kwa sa100 wewe unafikiri sa100 angefanya kitu gani, angemfunga pingu?
Bado hujafikaNdo naenda hivi
Wewe unahisi angefanyaje bi sa100 kwa kagame mkuu?Tatizo hakufanya,angefanya ungeona angefanywaje
Soon I'll be thereBado hujafika
AngemchambaWewe unahisi angefanyaje bi sa100 kwa kagame mkuu?
Yaani raisi wa nchi nyingine umletee vurugu kwakua upo kwako ndani ya dakika 10 nchi ishazingirwa na wananchi wako wanalambwa risasi tu nafikiri uwajui wanyarwanda vizuriTatizo hakufanya,angefanya ungeona angefanywaje
Unachelewa nini sasaSoon I'll be there
Kwa jeshi gani walilokuwa nalo hicho kijijiYaani raisi wa nchi nyingine umletee vurugu kwakua upo kwako ndani ya dakika 10 nchi ishazingirwa na wananchi wako wanalambwa risasi tu nafikiri uwajui wanyarwanda vizuri
Baada ya Mkutano wa usuluhishi kukamilika Dar es salaam Rais Kagame wa Rwanda amesema " hakuna wa Kutupangia" linapokuja swala la ulinzi na ustawi wa Rwanda
Watoto wa Kagame Wote ni Wanajeshi
Credit: Citizen