Baada ya kutunisha misuli na kauli za mikwara, hatimaye Tanzania imekubali kuachia korosho kwa kampuni ya Kenya

Unaposema "TShs 3,300 kwa kila tani" una maanisha nini ? Una maanisha hii Tani moja ambayo ni sawa na kilo 1000 au siku hizi kuna ulingano mpya kati ya tani na kilo? Yaani tani moja ni sawa na kilo moja ? Ufafanuzi tafadhali ...!
Acha nikupe ufafanuzi, 'typing error'. Usipanick jombaa nimesharekebisha.
 
A Kenyan company called "Indo"; when did black Kenyans become Indians? 😅😱
 
Hapa ndio undezi wa wakenya huonekana.
 

Ahaaa haaa haaa
kichwa habari hakiendani na muktadha.
 
Tunanunua ila baada ya kukaushiwa kwa mikwara kwamba mtaenda wenyewe kutafuta soko nje, sasa hatimaye mumeachia tununue.
Nina ushahidi mkubwa kuna joint venture kati ya madalali wa ndani na huko Kenya kwenye hii deal, ujue Magufuli alipandwa na hasira sana kipindi kile alivyowaita wanunuzi wa ndani na kuongea nao na kukubaliana kwa kauli moja kwamba wanaenda kununua kwa bei elekezi matokeo yake hawakutimiza makubaliano

Hapo sasa ndio Magufuli alipandisha hasira na kukataa kabisa kurudi nyuma na kupiga marufuku wanunuzi wa "ndani" wasipewe hata korosho gram moja

Kwa hiyo tayari Magufuli na wanunuzi wa ndani walikua kwenye beef, huyu wa Kenya sio wa ndani kwa hiyo sio kama Magufuli ameshindwa bali ni kweli hajawauzia wanunuzi wa ndani kwa ile bei yao ya kipindi kile.

Kwa hiyo Magufuli hakuwahi kukataa kuwauzia nyinyi bali wale wanunuzi wa ndani.
 
A Kenyan company called "Indo"; when did black Kenyans become Indians? 😅😱
Wakenya hapa wamenishangaza kidogo sababu hapo wa kufurahia ni Tanzania, hiyo pesa ilitakiwa ibaki kwa wakulima wa korosho wa Kenya ndio inge make sense kwa wakenya lakini imewatoka na kuwanufaisha wakulima wa Tanzania na serikali yao, ni pesa nyingi sana ambayo nafikiri itapandisha margins za export value ya Tanzania to Kenya kwa horizons za juu sana kwa mwaka huu.

Pia nina mashaka na Odinga kuhusu hili suala, ujio wake wa hivi karibuni kumtembelea Magufuli na papo hapo hili deal linafanyika sio coincidence kabisa lazima kuna some connections zilizingatiwa.
 

And this you're pulling from your head.
Why don't you give sources to your stories.

I've given you a link to support my claim - https://www.thecitizen.co.tz/News/I...-800-per-/1840340-4892048-14khwocz/index.html

The fact is Magufuli gave farmers less than they were being offered by several private companies.
You have nothing to prove otherwise.
 
Tumeamua kudumisha ujirani mwema, kizuri kula na nduguyo.

Tatizo hampo consistent, mpo kama mke mjamzito, leo hivi kesho vile, mnaamua ujirani mwema leo, kesho mnakurupuka, maana kampuni yetu ilikua inanunua hizi hizi korosho hapo awali kabla hamjaibuka na maamuzi ya kushtukiza na kuanza kubangua wenyewe.
 
Tatizo hampo consistent, mpo kama mke mjamzito, leo hivi kesho vile, mnaamua ujirani mwema leo, kesho mnakurupuka, maana kampuni yetu ilikua inanunua hizi hizi korosho hapo awali kabla hamjaibuka na maamuzi ya kushtukiza na kuanza kubangua wenyewe.
Ndiye dereva tuliyenae akiamua twende bila lunch break sisi tunaufyata.
 
nyie wakenya jifunzeni kula na kipofu. msingekuwa ba vimaneno neno mngeifaido sana tz. ila mnachonga sana
 
nyie wakenya jifunzeni kula na kipofu. msingekuwa ba vimaneno neno mngeifaido sana tz. ila mnachonga sana
Tulieni, wakulima wenu watafaidi sana wakifanya ukulima biashara, unaoeleweka. Acheni kupenda kiki, visasi, ubabe wa peni mbili na siasa kwenye masuala simpo ya nipe nikupe.
 
Tulieni, wakulima wenu watafaidi sana wakifanya ukulima biashara, unaoeleweka. Acheni kupenda kiki, visasi, ubabe wa peni mbili na siasa kwenye masuala simpo ya nipe nikupe.
mnajisifu sana hadi mtu wanaweza badili mawazo. hamumujui eeh
 
mnajisifu sana hadi mtu wanaweza badili mawazo. hamumujui eeh
Hasara itakuwa ni kwa nani kama sio wakulima na watanzania kwa ujumla? Dah, hivi unadhani kama ni Kenya wakulima wangeketi kitako kama wanyonge kwa uoga wa miungu watu? Aisee, kweli hatufanani kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…