Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Mkuu, kuna Aya moja nimesoma katika hili bandiko ina kipengere kinachogusia mtu mwenye mamalaka anapotaka kufanya maamuzi magumu kuna kitu anatakiwa kuapply, ila umekificha kwa kukiita nanulii, nifungue hapo kwenye nanulii mkuu.
 
Hao jamaa kwenye hizo operesheni maalum za kutokosa mara mbili, kabla hazijatekelezwa lazima mkuu aridhie kwa kuidhinisha kwa maandishi, naniliu zitumike!, sasa mtu akiitwa mama, ataweza kweli kusaini zile nanilii kama za Dodoma, kwenye makazi ya wale naniliu, zitumike?.
 
Mtu mzima HOVYOO andika mambo yenye tija kwa Taifa jina linaathiri nini
 
Mleta Mada, nakumbuka u Mwanasheria. Nina imani Unazijua sheria na miongozo inayoelekeza namna ya kutumia Cheo cha Udaktari wa Heshima. Sheria ya vyuo vikuu (Cap 346 of Law of Tanzania), na Regulation 62 (1) (d) of the University (General) regulations, G.N No. 226 of 2013 and Standard 4.33 of the Standards and Guidelines of University Education in Tanzania, 2019 kwa Pamoja vinaelekeza matumizi ya Udaktari wa Heshima na namna aliyeupata Udaktari huo anavyotakiwa kuitwa.

Kwa ufafanuzi zaidi, na shauri ukajisomee makala ya Prof . J. Kironde yenye kichwa cha habari "A reflection on honorary doctorate (Honoris Causa) award in Tanzania" iliyochapishwa ukurasa wa 10 kwenye TCU Magazine, January -June, 2020.

Tufuate Taratibu zilizopo, vinginevyo tuzibadili taratibu ili zikidhi hitaji la Sasa. Ni hilo tu mleta mada.
 
Lakini Mleta mada, huyu sina analo jina la Uchifu, yaani Chifu deshi deshi (umesema tusitaje majina). Yaani jina Chifu nalo ni la kimama mama, kweli?

Kwamba Chifu hawezi kusaini, ☠️ warrant? Tafadhali,Mkuu ebu ipange hoja vizuri, kwa namna ilivyo hii hoja "inatetemeka". Ha ha hahahaha AAA!
 
Mkuu, kuna Aya moja nimesoma katika hili bandiko ina kipengere kinachogusia mtu mwenye mamalaka anapotaka kufanya maamuzi magumu kuna kitu anatakiwa kuapply, ila umekificha kwa kukiita nanulii, nifungue hapo kwenye nanulii mkuu.
Mkuu Elpaul, humu ndani kuna mabandiko ya aina tatu,
1. kuna mabandiko yayozungumzia watu, people, ambayo ni ya simple minds ambao kazi yao ni wana discuss watu, nani, kafanya nini na kutaja taja majina, haya mimi nayaita mabandiko ya kitoto. Kwenye haya mabandiko ya kitoto, mtu ni unapikiwa chakula, unapakuliwa, unatafuniwa, unalishwa, kazi yako ni kumeza tuu kama mtoto anavyo lishwa kwa spoon fed.
2. Kuna mabandiko yanayozungumzia matukio, events, haya ni mabandiko ya watu wa kawaida, wanajadili matukio, kimetokea nini, wapi na ikawaje. Hapa unapikiwa, kupakuliwa na kutafuniwa, ila inatakiwa ule mwenyewe na sio kulishwa kama mtoto.
3. Kuna mabandiko ya kujadili ideas, wazo, haya ni ya GT, mabandiko haya, kwanza hatutaji taji majina ya watu, ni unapikiwa na kupakuliwa tuu, lazima ule mwenyewe, utafune mwenyewe ndipo umeze, kwenye mabandiko haya, hakuna mtu wa kukutafunia wewe kazi yako ibaki ni kumeza, bandiko hili ni unatafuna mwenyewe, kama huwezi kutafuna, maana yake hili ni bandiko la kikubwa kuliko kimo chako!, nenda tuu kwenye mabandiko ya saizi yako.
Pole.
P
 
What's in a name...In Africa wonders never cease!

His Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji, Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.

Her Excellency, Chief, Mama, Rais, Doctor...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…