Igayo jr
Member
- Jun 25, 2020
- 97
- 98
Tatizo lake huwa hachelewi kugeuka, akiacha marathon za kutafuta teuzi ni genius haswaPaskali Ni genius..sema wengi wanachelewa kumuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lake huwa hachelewi kugeuka, akiacha marathon za kutafuta teuzi ni genius haswaPaskali Ni genius..sema wengi wanachelewa kumuelewa
Mkuu, kuna Aya moja nimesoma katika hili bandiko ina kipengere kinachogusia mtu mwenye mamalaka anapotaka kufanya maamuzi magumu kuna kitu anatakiwa kuapply, ila umekificha kwa kukiita nanulii, nifungue hapo kwenye nanulii mkuu.Wanabodi,
Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama.
Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila mwanamke kuitwa mama ni heshima kubwa zaidi kwa mwanamke yoyote kuliko kuitwa tuu jina lake, hivyo Tanzania tulipobahatika kupata rais wa kwanza mwanamke, aliyepatikana kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, tunamuita kwa utangulizi wa jina Mama.
Sasa kwa vile amekuwa daktari, mnaonaje sasa kama officially, tutaachana na kumuita Mama, na badala yake, officially aitwe Dr, halafu ofisini kwake na nyumbani kwake, ndio aendelee kuitwa Mama?.
Lengo la kutoa pendekezo hili, ni kufuatia zile mada zangu za powers, majina yana impact kubwa kwa mhusika, hivyo kuna mambo ya metaphysical, na numerology yanayohusiana na majina na matamshi, kwenye words vibrations, kuna maneno fulani ukitamka, hayo maneno yanatoa powerful vibrations kama kwenye kitu kinachoitwa chanting kwenye dini, Hinduism na Budhism ndio wanatumia sana, ila hata Wakristu kwenye Rozari na Waislamu kwenye Tasbihi, wanatumia chanting.
Jina la Mama likitangulizwa, na kurudiwa rudiwa kunamfanya muhusika kufanya mambo ki mama mama, ki softi softi, kuwa na huruma iliyopitiza hivyo kuna maamuzi magumu atashindwa kabisa kuyatekeleza!. Mfano mtu akiisha itwa mama, ataweza kusaini death warrant?. Wakati wale "jamaa zetu" kuna maamuzi fulani hilazimika kuyachukua, na maamuzi hayo, "ukikosa tuu mara mbili, utatakiwa kuandika maelezo, kwanini umekosa".
Hao jamaa kwenye hizo operesheni maalum za kutokosa mara mbili, kabla hazijatekelezwa lazima mkuu aridhie kwa kuidhinisha kwa maandishi, naniliu zitumike!, sasa mtu akiitwa mama, ataweza kweli kusaini zile nanilii kama za Dodoma, kwenye makazi ya wale naniliu, zitumike?.
Maadam sasa huyu ni dakitari, mnaonaje sasa tukaachana kuitana mama kwenye mambo ya kazkaz halafu akaendelea kuitwa mama na watu wake wa karibu, ofisini na nyumbani kwake, lakini sisi tumuite Dr, ili hata ikibidi kumkoma nyani giladi, unamkoma tuu bila kumuangalia usoni!.
Mnalionaje hili wanabodi, jee tuendelee kumuita mama na yeye kutuita wanangu, hilo mkaliangalie, au sasa tumuite Dr, mambo ya huruma za ki mama mama aziache nyumbani na kwenye familia yake, hapa iwe kazi kazi tuu!.
NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta mada humu bila kutaja majina, hata mada hii Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Jumapili Njema.
Paskali
Aongeze na moya ya kuzimuaPata supu ya kutosha na maji ya baridi kukata hangover
Sahihi kabisaSasa kwa vile amekuwa daktari, mnaonaje sasa kama officially, tutaachana na kumuita Mama, na badala yake, officially aitwe Dr, halafu ofisini kwake na nyumbani kwake, ndio aendelee kuitwa Mama?
Mkuu Igayo jr kwenye hili la kutafuta teuzi, karibu mitaa hii Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!Tatizo lake huwa hachelewi kugeuka, akiacha marathon za kutafuta teuzi ni genius haswa
Mtu mzima HOVYOO andika mambo yenye tija kwa Taifa jina linaathiri niniWanabodi,
Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama.
Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila mwanamke kuitwa mama ni heshima kubwa zaidi kwa mwanamke yoyote kuliko kuitwa tuu jina lake, hivyo Tanzania tulipobahatika kupata rais wa kwanza mwanamke, aliyepatikana kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, tunamuita kwa utangulizi wa jina Mama.
Sasa kwa vile amekuwa daktari, mnaonaje sasa kama officially, tutaachana na kumuita Mama, na badala yake, officially aitwe Dr, halafu ofisini kwake na nyumbani kwake, ndio aendelee kuitwa Mama?.
Lengo la kutoa pendekezo hili, ni kufuatia zile mada zangu za powers, majina yana impact kubwa kwa mhusika, hivyo kuna mambo ya metaphysical, na numerology yanayohusiana na majina na matamshi, kwenye words vibrations, kuna maneno fulani ukitamka, hayo maneno yanatoa powerful vibrations kama kwenye kitu kinachoitwa chanting kwenye dini, Hinduism na Budhism ndio wanatumia sana, ila hata Wakristu kwenye Rozari na Waislamu kwenye Tasbihi, wanatumia chanting.
Jina la Mama likitangulizwa, na kurudiwa rudiwa kunamfanya muhusika kufanya mambo ki mama mama, ki softi softi, kuwa na huruma iliyopitiza hivyo kuna maamuzi magumu atashindwa kabisa kuyatekeleza!. Mfano mtu akiisha itwa mama, ataweza kusaini death warrant?. Wakati wale "jamaa zetu" kuna maamuzi fulani hilazimika kuyachukua, na maamuzi hayo, "ukikosa tuu mara mbili, utatakiwa kuandika maelezo, kwanini umekosa".
Hao jamaa kwenye hizo operesheni maalum za kutokosa mara mbili, kabla hazijatekelezwa lazima mkuu aridhie kwa kuidhinisha kwa maandishi, naniliu zitumike!, sasa mtu akiitwa mama, ataweza kweli kusaini zile nanilii kama za Dodoma, kwenye makazi ya wale naniliu, zitumike?.
Maadam sasa huyu ni dakitari, mnaonaje sasa tukaachana kuitana mama kwenye mambo ya kazkaz halafu akaendelea kuitwa mama na watu wake wa karibu, ofisini na nyumbani kwake, lakini sisi tumuite Dr, ili hata ikibidi kumkoma nyani giladi, unamkoma tuu bila kumuangalia usoni!.
Mnalionaje hili wanabodi, jee tuendelee kumuita mama na yeye kutuita wanangu, hilo mkaliangalie, au sasa tumuite Dr, mambo ya huruma za ki mama mama aziache nyumbani na kwenye familia yake, hapa iwe kazi kazi tuu!.
NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta mada humu bila kutaja majina, hata mada hii Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Jumapili Njema.
Paskali
Lakini Mleta mada, huyu sina analo jina la Uchifu, yaani Chifu deshi deshi (umesema tusitaje majina). Yaani jina Chifu nalo ni la kimama mama, kweli?Jina la Mama likitangulizwa, na kurudiwa rudiwa kunamfanya muhusika kufanya mambo ki mama mama, ki softi softi, kuwa na huruma iliyopitiza hivyo kuna maamuzi magumu atashindwa kabisa kuyatekeleza!. Mfano mtu akiisha itwa mama, ataweza kusaini death warrant?. Wakati wale "jamaa zetu" kuna maamuzi fulani hilazimika kuyachukua, na maamuzi hayo, "ukikosa tuu mara mbili, utatakiwa kuandika maelezo, kwanini umekosa".
Mkuu Elpaul, humu ndani kuna mabandiko ya aina tatu,Mkuu, kuna Aya moja nimesoma katika hili bandiko ina kipengere kinachogusia mtu mwenye mamalaka anapotaka kufanya maamuzi magumu kuna kitu anatakiwa kuapply, ila umekificha kwa kukiita nanulii, nifungue hapo kwenye nanulii mkuu.
Hii nchi ina imejaa watu wajinga sn, sasahi hivi kila mtu anajitahidi kupongeza PhD hewa ni mambo ya kijinga kabisa badala ya kujadili umeme, maji, bando n.kUnapatana na nani kwenye mambo ya kipuuzi hivi?
Huyu unakuta amemka anaaga familia kuwa anaenda kazini kumbe anaenda kuandika upuuzi kama huu badala ajadili mambo ya msingi, ukute ana mastersMtu mzima HOVYOO andika mambo yenye tija kwa Taifa jina linaathiri nini