Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislamu wa madhehebu ya Sunni ni wakati muafaka wa kukubali uislamu wa Shia, mafundisho ya Shia na Kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S. ili amani ya kudumu ipatikane palestina.Watu zaidi ya 100 waliokuwa wamejihifadhi kwenye shule ya Tabin pamoja na wale waliokuwa wamejikushanya kwa ajili ya sala ya Alfajiri kuamkia leo wamekufa huku maiti zao zikitapakaa vipande vipande baada ya kudondoshewa mabomu mazito kutoka angani na jeshi la Israel.
Japo yametokea mashambulio mengi kama hayo tangu vita vianze,tukio la leo limeifanya Saudi Arabia ikasirike na kusema vita sasa ni lazima visimamishwe,
Wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo imesema Israel imekuwa ikipuuza maazimio yote ya kimataifa na kwamba wapalestina wamekuwa wakiangamizwa vibaya.Akaongeza kwa kusema mauwaji ya halaiki kuanzia sasa ni lazima yakomeshwe.
Saudi Arabia is the latest country to speak out against the Israeli military attack on Gaza City’s al-Tabin school.
In a statement, the country’s Ministry of Foreign Affairs said it denounced the attack in the “strongest terms” and stressed that “mass massacres” in the enclave “need to stop”.
Gaza is “experiencing an unprecedented humanitarian catastrophe due to the ongoing violations of international law”, the ministry said.
source:Aljazeera.
Hao wanafiki wakubwa wangekuwa wanamsimamo Israel asinge subutu hata kugusa nchi moja ya warabu.Watu zaidi ya 100 waliokuwa wamejihifadhi kwenye shule ya Tabin pamoja na wale waliokuwa wamejikushanya kwa ajili ya sala ya Alfajiri kuamkia leo wamekufa huku maiti zao zikitapakaa vipande vipande baada ya kudondoshewa mabomu mazito kutoka angani na jeshi la Israel.
Japo yametokea mashambulio mengi kama hayo tangu vita vianze,tukio la leo limeifanya Saudi Arabia ikasirike na kusema vita sasa ni lazima visimamishwe,
Wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo imesema Israel imekuwa ikipuuza maazimio yote ya kimataifa na kwamba wapalestina wamekuwa wakiangamizwa vibaya.Akaongeza kwa kusema mauwaji ya halaiki kuanzia sasa ni lazima yakomeshwe.
Saudi Arabia is the latest country to speak out against the Israeli military attack on Gaza City’s al-Tabin school.
In a statement, the country’s Ministry of Foreign Affairs said it denounced the attack in the “strongest terms” and stressed that “mass massacres” in the enclave “need to stop”.
Gaza is “experiencing an unprecedented humanitarian catastrophe due to the ongoing violations of international law”, the ministry said.
source:Aljazeera.
Wasaudi wangelikua kama waOman safi sanaNi kwamba tumekatishwa tamaa sana na ukimya wao muda uliopita,Lakini ikiwa imesema basi mabadiliko yatapatikana.
Saudia ina uwezo wa kutoa ukelele mmoja tu kwa ulimwengu wa kiislamu na ikasikika na wote.Ndio maana Marekani na Israel huwa wanainyemelea sana waweke watu wapuuzi wa kulinda kufru na unyama wao.
Sio hivyo tu, anakuja mtu hapa na tamper zake anafurahia na kuhuzunishwa na wale watanzania wawili. Kuna watu wanaroho ngumu hii nchi!Halafu kuna zezeta mmoja anaongea kuhusu ugaidi , kuna ugaidi zaidi ya huu ushenzi wa hawa mazayuni ?
Hamas wakiendelea ni sawa kabisa, wanatetea nchi yao, sio hayo makafiri Laana za Allah ziwe juu yaoHivi Islael akiacha kushambulia na Hamas wataacha?
Kama Iran tuSaudia sio Taifa la kuliamini
Kwa hio Hamas ishambule Israel, lakini Israel ikae kimya, ndio maana YAHWE aliwaahidi " Atalaaniwa kila akayewalaani (Israel)'Hamas wakiendelea ni sawa kabisa, wanatetea nchi yao, sio hayo makafiri Laana za Allah ziwe juu yao
Israhell imeshindwa kupambana na hamas inapambana na watoto wamama na majengo ndio uwezo wake mkubwa tulioaminishwa umeishia hapoShida Hamasi hawajulikani huenda walijificha hapo shuleni kweli maana wao hawajulikani wanafanya shambulio Kisha wanakimbilia kwa watu na kusema wameua askari wa Israel ila mwaka uliopita na huu Gaza haitasahau hii itaishi sana kizazi na kizazi itaishi sana
Maelfu ya familia mpya zitaanza zikiwa hazina yeyote zaidi ya huyo mmoja aliyepo
Haya ngoja tuendelee kuwa watazamajiIsrahell imeshindwa kupambana na hamas inapambana na watoto wamama na majengo ndio uwezo wake mkubwa tulioaminishwa umeishia hapo
Wapalestina hawakuanza kufa mara hii na wala haitaisha mara hii wataendelea kufa sana
Ila watazaliwa tena na tena na wataendelea kupambania haki yao ya msingi ya taifa lao mpaka lipatikanwe
Ule unyama wa Oct 07 umeusahau?!Unyama ukizidi kila mtu anaamka alikolala
Ndio uwezo wake ulipoishia hapo hata mukimtetea vipiSana na ndipo Israel anapochukulia point hadi mataifa makubwa yanashindwa kumtetea Hamas as wanajua kabisa shule misikiti hospital ndio military base zao
Ndio maana tangu vita inaanza huwezi ku spot military base ya hamas au askari wao kirahisi
Vita ikiwa Kali wanajichanganya na raia fasta
Myahudi nae anaona isiwe tabu chukueni wote hiyo kitu
Ndio ufikiri wenu ulipoishia hapa😀Kwa hio Hamas ishambule Israel, lakini Israel ikae kimya, ndio maana YAHWE aliwaahidi " Atalaaniwa kila akayewalaani (Israel)'