Baada ya kuuliwa watu shuleni, Saudi Arabia yavunja ukimya, yasema vita sasa visimame

Mauaji hayo ni Hali tupu ,

Maana oktoba saba mauaji yalifanyika Israel wapalestina na watoto wake walishangilia mchumba janga hula na WA kwao
 
Waarabu wanafiki sana Wenzao wanauwawa sana ila wanauzia Mafuta Israel na wanatumika kupeleka silaha huko wajinga sana kama sisi ngozi nyeusi tu....
 
Almnafiquuun
 
Wasaudia huwa ni wanafki sana hata utume waoo alikuwa janja janja mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…