Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anajifanyaga mtemi, acha aonje jiwe
 
 
Nani kasema kuwa kapigwa sana, ni huo ujumbe ndio umetumia na kuaminisha watu kuwa kapigwa sana..!! Hivi unajua kupigwa sanaa?
 
Mkuu, Naona kuna upungufu mkubwa katika namna CHADEMA inavyotumia majukwaa ya kidijitali, hasa katika utoaji wa matangazo ya moja kwa moja (live streaming) ya matukio muhimu. Matangazo haya yamekuwa adimu sana, jambo ambalo linafanya ionekane kama CHADEMA kinategemea zaidi vyombo vingine vya habari ili kufikisha ajenda zake kwa wananchi. Yule Mrema hana jipya tena.
 
Tutaufanyia kazi ushauri wako
 
huyu ni TULIA ACSON ndio anacheza michezo yote hii! homera anatumika kukamilisha mipango ya Tulia! Jongwe apime uskute wamemuwekea sumu pia!

hii tabia hata Jenista Mhagama anaifanya huko Peramiho
Hilo la sumu hatutalipuuza, Jenista huwa anatumia pia ndumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…