Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
HAPANA.Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Nashangaa wanasema cDm ni saccos mara chama kimekufa halafu wanatumia majeshi kuwakamata. Kama siyo kuwaogopa tusemejeKila ubaya utalipwa
Imenilazimu nirudi haraka kwenye mada hii, kwani akili iliendelea kuganda tu hapa baada ya kuondoka.Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Samia ni shetani kama alivyokuwa Magufuli, laana inamsubiri hapa hapaWakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Hawatajaribu, maana atakuwa amefia mikononi mwao na hilo litaliwa doa lingine ambalo litachafua serikaliNafikiria baada ya vipigo Lissu na yale mavyuma mwilini si watakuwa wamemuua kabisa masikini.
Aliyechukua hela ya Abdul kaungana na Abdul ccmImenilazimu nirudi haraka kwenye mada hii, kwani akili iliendelea kuganda tu hapa baada ya kuondoka.
Nampa pole sana Sugu kama kaumizwa, na Mungu amponye hayo maumivu; kwani kazi iliyo mbele ndiyo kwanza imeanza hii.
Nimerudi kwa sababu bado nilikuwa na mashaka juu yake na haya maswala ya kuvurugwa na akina Abdul, na hawa wanaojipachika "Uchungaji".
Naamini maumivu haya ndilo tanuri la moto mkali litakalo imarisha azma ya kuyaondoa haya katika jamii ya waTanzania.
Sasa, kama kuna kazi kuanza, hiki ndiyo kipenga cha ishara ya kazi hiyo kufanyika bila kupumzika hadi ukombozi upatikane.
Kusiwepo na visababu au lelemama tena ndani ya CHADEMA. Mkanganyiko umekwisha!
Hao wanakuwa wajanja wakiwa kwenye uniform, after service huwa wanatia hurumaHii nchi watu hawaheshimiani kabisa, yaani askari anae kula laki 3 baada ya makato kwa mwezi anampa kipondo cha mbwa koko bilionea Jongwe mmiliki wa mahotel nyanda za juu kusini.
We si umesema bionea huyuWakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Hawa ni lazima waelezwe na watambue waziwazi tokea sasa na kwenda mbele, kila mmoja wao atahukumiwa kwa matendo aliyo fanya kama yeye, hata kama anafanya hivyo kwa kuamrishwa.Hao wanakuwa wajanja wakiwa kwenye uniform, after service huwa wanatia huruma
Nashangaa wanasema cDm ni saccos mara chama kimekufa halafu wanatumia majeshi kuwakamata. Kama siyo kuwaogopa tusemejehKila ubaya utalipwa
Hivi ni mchungaji wa kanisa gani? Mbona mnafiki vile?Aliyechukua hela ya Abdul kaungana na Abdul ccm
Mr. MotochiniDuuuu jogwe kazechezea kipondo na watoto wadogo
Yes, ili akukomboe wewe na bwana wako kwenye utumwa wa fikra.Duuuu jogwe kazechezea kipondo na watoto wadogo