Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ushahidi wa kupigwa na kuumizwa yeye uko wapi ?!!!Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Hawajapelekwa Arusha?Lazima wengi wameuliwa na kutupwa hifadhi ya Katavi
Uchawa ndiyo shidaPolisi Tz wangeli simama kama polisi halafu CCM isimame kama CCM then Chadema pia isimame kama Chadema hapo tungelishuhudia siasa zakweli na ushidani ungelikua mkubwa mnoo nchi ingelikua na maendeleo pia kutokana na ukiwa madarakani ukiharibu ujue msimu wa uchaguzi haurudi tena kuwa kiongozi. Kama nchi tungelipiga hatua.
Maridhiano na mbowe no longer an issue aliacha msitutoe kwenye reli wenye chuki na mbowe. Tuzungumzie currentNani alaumiwe kwa hili?. Ni Mbowe na sera zake mbovu za maridhiano.
Hoja yako ni ipi?Hata Mbeya hukuenda wenzako wanapata kipigo cha mbwa koko wewe umejificha kwenye social media tu!
Tulia Akson MwansasuWakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Wachawi wengi hawaamini mamboUshahidi wa kupigwa na kuumizwa yeye uko wapi ?!!!
Msemaji ni wewe...
Muaminishaji ni wewe...
Mtendaji ni wewe....
Hakimu ni wewe....
Uzwazwa huu
Kwa nguvu za Yehova atakuwa Mzima. Najua kila akiyeinua Kofi, teke, bunduki kuwaelekezea watu wale 520 Roho wa Mungu anawasuta. Na kama ni wakristo najua wanajitahidi kutubu halafu Mungu kaziba masikio mpaka watubu hadharani.Nafikiria baada ya vipigo Lissu na yale mavyuma mwilini si watakuwa wamemuua kabisa masikini.
Atavuna anachopandaTulia Akson Mwansasu
MSIGWA + TULIA = MAUMIVU Kwa watu wasio na hatiaImenilazimu nirudi haraka kwenye mada hii, kwani akili iliendelea kuganda tu hapa baada ya kuondoka.
Nampa pole sana Sugu kama kaumizwa, na Mungu amponye hayo maumivu; kwani kazi iliyo mbele ndiyo kwanza imeanza hii.
Nimerudi kwa sababu bado nilikuwa na mashaka juu yake na haya maswala ya kuvurugwa na akina Abdul, na hawa wanaojipachika "Uchungaji".
Naamini maumivu haya ndilo tanuri la moto mkali litakalo imarisha azma ya kuyaondoa haya katika jamii ya waTanzania.
Sasa, kama kuna kazi kuanza, hiki ndiyo kipenga cha ishara ya kazi hiyo kufanyika bila kupumzika hadi ukombozi upatikane.
Kusiwepo na visababu au lelemama tena ndani ya CHADEMA. Mkanganyiko umekwisha!
Mengi yatasemwa kufuatia tukio hili, na ukweli utajipambanua wenyewe.MSIGWA + TULIA = MAUMIVU Kwa watu wasio na hatia
Watavuna wanachopanda wao na vizazi vyao. Wanaowatumikia wanalipwa mamilioni wanaotesa watu zikizidi laki 4. Wanamtesa Mtanganyika mwenzao. Hivi ni polisi wa Tanganyika au wametoka sehemu nyingine?Yes, ili akukomboe wewe na bwana wako kwenye utumwa wa fikra.
Sijawahi kujua kuwaWakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA