Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Nimeisoma ile barua ya Mkuu wa Majeshi nchini kukanusha ule uvumi lakini paragraph ya mwisho ameahidi Watamlinda mama kwa nguvu zote., Kwa kweli mama yuko huru nampenda sana alivyoweza kumtoa yule mtu pale nyumba ya watu wa ndioooo ndioooo ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…