Endapo yatakuja kutokea mapinduzi Iran na kuifanya isitawalike, basi raia wake watajuta milele, sababu kuu ni historia ya hiyo nchi kabla ya Mapinduzi ya kiislamu,Yaani ni laana sana hadi wananchi wanakuchukia kiasi hicho Kuna raha Gani ya kuwatawala
Hii ni libya nyingine inatengenezwa na inaonyesha ni jinsi gani wavaa kobaz wa iran wanataka huyu jamaa afe ila hakuna namna wanaweza kumuua.Wakuu,
Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusu hali ya kiafya ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ambapo uvumi ulidai kuwa yuko katika hali ya koma, Khamenei ameonekana hadharani akikutana na Balozi wa Iran nchini Lebanon, Mojtaba Amani.
Soma pia: Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Khameneo alieka picha akiwa na Balozi wa Iran nchini Lebanon, mzima wa afya hana kovu hata moja.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Khameni yupo hoi kitandani, wananchi wa Iran walianza kuchoma mabango ya kiongozi huyo.
View attachment 3155118
Inaonekana huyu baba bado bado yupo sana sana.
Hata Bongo watu walikesha kwenye mabaa bedui mmoja alivyokufa.Yaani ni laana sana hadi wananchi wanakuchukia kiasi hicho Kuna raha Gani ya kuwatawala
Rubbish.Wewe siyo kafiri sheikh wewe ni mja wa mwenyezi MUNGU mola wako wako mlezi wewe ni mtu wa alah aliyekuteremshia kitabu chenye mongozo kamili na kisichokuwa na shaka ndani yake na wewe ni muumini wa dini ya khaki dini ya kiislamu
Makafiri ni sisi wakristo watu ambao Allah ameagiza mtuue kwa upanga sisi ambao tutaenda motoni moja kwa moja wakati wewe ukiwa unaburudika na zile bikira 72 akhera
Hongera kwa kujitambua kuwa ni kafiriWewe siyo kafiri sheikh wewe ni mja wa mwenyezi MUNGU mola wako wako mlezi wewe ni mtu wa alah aliyekuteremshia kitabu chenye mongozo kamili na kisichokuwa na shaka ndani yake na wewe ni muumini wa dini ya khaki dini ya kiislamu
Makafiri ni sisi wakristo watu ambao Allah ameagiza mtuue kwa upanga sisi ambao tutaenda motoni moja kwa moja wakati wewe ukiwa unaburudika na zile bikira 72 akhera
Wewe nyau hebu tueleze, hiyo picha yenye trh November 27 ninini!!! Maana leo ni November 18Wakuu,
Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusu hali ya kiafya ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ambapo uvumi ulidai kuwa yuko katika hali ya koma, Khamenei ameonekana hadharani akikutana na Balozi wa Iran nchini Lebanon, Mojtaba Amani.
Soma pia: Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Khameneo alieka picha akiwa na Balozi wa Iran nchini Lebanon, mzima wa afya hana kovu hata moja.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Khameni yupo hoi kitandani, wananchi wa Iran walianza kuchoma mabango ya kiongozi huyo.
View attachment 3155118
Inaonekana huyu baba bado bado yupo sana sana.
Mindyou ni mpumbavu na wengi wanao amin habari zake ni wapumbavu zaidi yake.Wewe nyau hebu tueleze, hiyo picha yenye trh November 27 ninini!!! Maana leo ni November 18
Halafu watu wanaongea kama vile Khamenei ndo alikuwa kiongozi baada ya hayo mapinduzi.....kumbe na yy alichaguliwa kwa kura baada ya aliyemtanguliq kung'oka...kwhyo wakae wakijua succession plan ipo nzuri sana tu....akitoka hyo Babu kinakuja chuma kingineNetanyahu hana amani analala kwenye mahandaki kwasababu ya Khamenei, kwahiyo lazima azushe taarifa za kipuuzi
Netanyahu hana amani analala kwenye mahandaki kwasababu ya Khamenei, kwahiyo lazima azushe taarifa za kipuuzi
Halafu watu wanaongea kama vile Khamenei ndo alikuwa kiongozi baada ya hayo mapinduzi.....kumbe na yy alichaguliwa kwa kura baada ya aliyemtanguliq kung'oka...kwhyo wakae wakijua succession plan ipo nzuri sana tu....akitoka hyo Babu kinakuja chuma kingine
Halafu hawa Iran ni Mashia, wanaamini mtume alioa makahaba na Quran imechakachúliwaSawa Muirani wa kiparang'anda. Ukiulizwa Tanzania Ina ndege ngapi hujui ila anapolala Nentanyahu unajua. Kweli akili ni Mali.
He is a dead worlk Israel special unity. Huyu hawatamani afe bila wao kumtoa roho trust me hiyo ndio siri kaliWakuu,
Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusu hali ya kiafya ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ambapo uvumi ulidai kuwa yuko katika hali ya koma, Khamenei ameonekana hadharani akikutana na Balozi wa Iran nchini Lebanon, Mojtaba Amani.
Soma pia: Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Khameneo alieka picha akiwa na Balozi wa Iran nchini Lebanon, mzima wa afya hana kovu hata moja.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Khameni yupo hoi kitandani, wananchi wa Iran walianza kuchoma mabango ya kiongozi huyo.
View attachment 3155118
Inaonekana huyu baba bado bado yupo sana sana.
Hii picha mbona ya novemba 27, huo ni mwaka gani?Wakuu,
Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusu hali ya kiafya ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ambapo uvumi ulidai kuwa yuko katika hali ya koma, Khamenei ameonekana hadharani akikutana na Balozi wa Iran nchini Lebanon, Mojtaba Amani.
Soma pia: Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Khameneo alieka picha akiwa na Balozi wa Iran nchini Lebanon, mzima wa afya hana kovu hata moja.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Khameni yupo hoi kitandani, wananchi wa Iran walianza kuchoma mabango ya kiongozi huyo.
View attachment 3155118
Inaonekana huyu baba bado bado yupo sana sana.
Acheni kusambaza Fake news.Wakuu,
Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusu hali ya kiafya ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ambapo uvumi ulidai kuwa yuko katika hali ya koma, Khamenei ameonekana hadharani akikutana na Balozi wa Iran nchini Lebanon, Mojtaba Amani.
Soma pia: Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Khameneo alieka picha akiwa na Balozi wa Iran nchini Lebanon, mzima wa afya hana kovu hata moja.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Khameni yupo hoi kitandani, wananchi wa Iran walianza kuchoma mabango ya kiongozi huyo.
View attachment 3155118
Inaonekana huyu baba bado bado yupo sana sana.