Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Nilimpa kutokana na uwezo wangu ulipoishia.. nisingeweza kuiba ili nimridhishe
 
Grow up son.
 
Daaah aisee bado najiuliza hivi hao wanaoaga huwa inakuwaje aisee
Siku ukimpata yule uliyeumbiwa, hakutakuwa na zengwe. Utaona mambo yote ni kama mteremko wa Kitonga. Endelea kubonyeza bonyeza nyanya kisha nunua bilinganya. Hawa madem warembo ni shida. Ndio maana wanaume wengi huwa wanaoa wanawake wa kawaida na wakati walishadate na madem wakali kinoma.
 
Thanks so much broo.. maneno yako yamenijenga sana aisee
 
Nilimpa kutokana na uwezo wangu ulipoishia.. nisingeweza kuiba ili nimridhishe
Wengine sio wa kujibu kaa kimya fanya hivi usimpigie simu siku nzima wa kumtext nae akikaa kimya bila kukutext na siku ya pili hivyo hivyo jiongeze hapo huna chako wenda atakuwa kampata huyo wa kumtoa outing za maana kama ulivyoambiwa ila huwa wanarudi wenyewe utasikia wanasema ni shetani tu ndo kasababisha kuwa makini na kingine usipende kumpa mwanamke pesa nyingi wakti bado yuko kwao akikuacha ndo chanzo cha kujiua bila kukusudia be care acha aende kwa hao wenye hela utampata tu mwingine maumivu na mawazo ni ya muda tu focus kufanya na kutenda shughuli zako utaongeza kipato na kumpata sitahiki yako
 
Not getting a message is also a message mkuu jiongeze.. au unataka mpaka uitiwe band na matarumbeta ndo uamini kama upendwi tena.. na kwa situation kama hii yako njia au solution sahihi ni ku move on never beg any one to stay in your life.
 
Mkuu utakuwa ume invest sana kwa huyu demu, sidhani kama kilio chako ni cha mapenzi tu.

Kuwa muangalifu kwenye mapenzi, usitupe karata zako zote.
 
ukiwa bado huna mpango wa kuoa usijenge kibanda, ununua tembea..ushauri wa kiume...
 
Tatizo hayo mapenzi ya dhati ume invest kwa wanawake tofauti tofauti na hilo ndio mushkeli mkubwa.
Kwa ushauri wangu achana na fg bali oa kujipunguzia pressure za kila wakati.
Unapenda mtu ambae sio mke wako wala mama yako ni shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…