EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Huu haukuhusu sister ni wa wavulana tu na sio sisi wanaume😄😄Asante kwa ushauri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu haukuhusu sister ni wa wavulana tu na sio sisi wanaume😄😄Asante kwa ushauri!
Sawasawa kaka kikao chema.Huu haukuhusu sister ni wa wavulana tu na sio sisi wanaume😄😄
Hebu simama na utusomee namba 8 na 9Thubutu!😂😂
Atarudi kwao usiku huohuo
Acha kabisaa taikon, ndo maana tukifikiria kuhonga michepuko siku hizi tunapata ukakasiKwema wakuu,
Nianze kwa kusalimia wanaume wenzangu wote mliooa. Shikamooni!
Taikon wikiendi nilitembelewa na hsemeji yenu. Safari hii akaniambia kuwa amekuja moja kwa moja, yaani anataka tufanye maisha. Nilifurahi sana si unajua tena. Basi jana tulienda kuhemea vitu vya ndani. Nilichokutana nacho huko sio mchezo.
Na hivi ndivyo ilivyokuwa;
1. Mchele. 1kg 3000
2. Sukari 1kg 2800
3. Sabuni mche 3500
4. Tambi 1pct. 2000
5. Mafuta ya kula 1ltr 5500
6. Unga wa sembe 1700
7. Unga wa dona 1600
8. Kubadilisha sas mtungi mdogo 25000
9. Kubadilisha gas mtungi mdogo 52000
10. Mahindi ya makande 1700
11. Maharage 1kg. 3000
12. Dagaa 1kg 10,000
13. Nyama 1kg 8500
14. Kuku wa kienyeji 20,000
15. Majani ya chai 500
16. Mafuta ya kupaka low quality 3000
17. Mafuta ya kupaka normal quality 25,000
18. Mafuta ya kupaka high quality 120,000
19. Dawa ya Mswaki low quality 3000, normal 15,000 high quality 70,000
20. Nauli Daladala 500-8500 per 1route
21. Maziwa fresh 1ltr 2300
22. Maziwa mgando 1Ltr 2700
23. Chapati 1pc 400
Kama hujajipanga kuishi na mwanamke unashauriwa upige kwanza hesabu zako vizuri sana, usije ukaumbuka.
Ujue kwa siku na mwezi unakula kiasi gani? Ujue wka mwezi unatumia mafuta na dawa ya mswaki kiasi gani?
Nisije kukaa mwaka mzima sijamlisha mtoto wa watu kuku bure!
Nduki!
Taikon wa Fasihi,
Muuza Genge.
Kuoa sio kugumu kiivyo,
Vijana acheni kutishana[emoji4]
Tatizo tozoKwema wakuu,
Nianze kwa kusalimia wanaume wenzangu wote mliooa. Shikamooni!
Taikon wikiendi nilitembelewa na hsemeji yenu. Safari hii akaniambia kuwa amekuja moja kwa moja, yaani anataka tufanye maisha. Nilifurahi sana si unajua tena. Basi jana tulienda kuhemea vitu vya ndani. Nilichokutana nacho huko sio mchezo.
Na hivi ndivyo ilivyokuwa;
1. Mchele. 1kg 3000
2. Sukari 1kg 2800
3. Sabuni mche 3500
4. Tambi 1pct. 2000
5. Mafuta ya kula 1ltr 5500
6. Unga wa sembe 1700
7. Unga wa dona 1600
8. Kubadilisha sas mtungi mdogo 25000
9. Kubadilisha gas mtungi mdogo 52000
10. Mahindi ya makande 1700
11. Maharage 1kg. 3000
12. Dagaa 1kg 10,000
13. Nyama 1kg 8500
14. Kuku wa kienyeji 20,000
15. Majani ya chai 500
16. Mafuta ya kupaka low quality 3000
17. Mafuta ya kupaka normal quality 25,000
18. Mafuta ya kupaka high quality 120,000
19. Dawa ya Mswaki low quality 3000, normal 15,000 high quality 70,000
20. Nauli Daladala 500-8500 per 1route
21. Maziwa fresh 1ltr 2300
22. Maziwa mgando 1Ltr 2700
23. Chapati 1pc 400
Kama hujajipanga kuishi na mwanamke unashauriwa upige kwanza hesabu zako vizuri sana, usije ukaumbuka.
Ujue kwa siku na mwezi unakula kiasi gani? Ujue wka mwezi unatumia mafuta na dawa ya mswaki kiasi gani?
Nisije kukaa mwaka mzima sijamlisha mtoto wa watu kuku bure!
Nduki!
Taikon wa Fasihi,
Muuza Genge.
Anatutisha tusiwowe. Mbona hapa mtaani watu wanakula mchicha na kabichi tu.Sikia, acha woga.
Wewe ukiwa mwenyewe unapika au unanunua chakula? Kama unanunua chakula una uwezo wa kuishi na mke.
Kama unapika vile vile una uwezo wa kuishi na mke.
Cha msingi chukua mwanamke anayoendana na hali yako ya maisha. Kula kuku sio lazima.
Mafuta ya kujipaka sio lazima yazidi elfu 10.
Hata hizo dagaa kilo ni nyingi sana sio lazima.
Vitu vingi hapo sio lazima.
Nunueni mahindi mkayasage mpate unga ni rahisi kuliko kununua kwa kilo.
Mchele kanunue sokoni ni cheap.
Kwa sisi wanaume tuliokamilika,huyo mwanamke yuko reasonable...sio mapaka ya mjini huyo,huyo anajielewa sana...hayo ndio yanakufanya uwe mwanaume na bado mengine ya ugonjwa,misiba,harusi,vicoba,malipo ya taka,umeme,maji,uzazi,watoto yataongezeka. Manunuzi hayo mtakula kwa muda mrefu hapo ndani. Hakuna cha kutisha hapo labda kwenye hizo sijui 'low/high quality' ndio sijaelewa.Kwema wakuu,
Nianze kwa kusalimia wanaume wenzangu wote mliooa. Shikamooni!
Taikon wikiendi nilitembelewa na hsemeji yenu. Safari hii akaniambia kuwa amekuja moja kwa moja, yaani anataka tufanye maisha. Nilifurahi sana si unajua tena. Basi jana tulienda kuhemea vitu vya ndani. Nilichokutana nacho huko sio mchezo.
Na hivi ndivyo ilivyokuwa;
1. Mchele. 1kg 3000
2. Sukari 1kg 2800
3. Sabuni mche 3500
4. Tambi 1pct. 2000
5. Mafuta ya kula 1ltr 5500
6. Unga wa sembe 1700
7. Unga wa dona 1600
8. Kubadilisha sas mtungi mdogo 25000
9. Kubadilisha gas mtungi mdogo 52000
10. Mahindi ya makande 1700
11. Maharage 1kg. 3000
12. Dagaa 1kg 10,000
13. Nyama 1kg 8500
14. Kuku wa kienyeji 20,000
15. Majani ya chai 500
16. Mafuta ya kupaka low quality 3000
17. Mafuta ya kupaka normal quality 25,000
18. Mafuta ya kupaka high quality 120,000
19. Dawa ya Mswaki low quality 3000, normal 15,000 high quality 70,000
20. Nauli Daladala 500-8500 per 1route
21. Maziwa fresh 1ltr 2300
22. Maziwa mgando 1Ltr 2700
23. Chapati 1pc 400
Kama hujajipanga kuishi na mwanamke unashauriwa upige kwanza hesabu zako vizuri sana, usije ukaumbuka.
Ujue kwa siku na mwezi unakula kiasi gani? Ujue wka mwezi unatumia mafuta na dawa ya mswaki kiasi gani?
Nisije kukaa mwaka mzima sijamlisha mtoto wa watu kuku bure!
Nduki!
Taikon wa Fasihi,
Muuza Genge.
Sikia, acha woga.
Wewe ukiwa mwenyewe unapika au unanunua chakula? Kama unanunua chakula una uwezo wa kuishi na mke.
Kama unapika vile vile una uwezo wa kuishi na mke.
Cha msingi chukua mwanamke anayoendana na hali yako ya maisha. Kula kuku sio lazima.
Mafuta ya kujipaka sio lazima yazidi elfu 10.
Hata hizo dagaa kilo ni nyingi sana sio lazima.
Vitu vingi hapo sio lazima.
Nunueni mahindi mkayasage mpate unga ni rahisi kuliko kununua kwa kilo.
Mchele kanunue sokoni ni cheap.
Kwa sisi wanaume tuliokamilika,huyo mwanamke yuko reasonable...sio mapaka ya mjini huyo,huyo anajielewa sana...hayo ndio yanakufanya uwe mwanaume na bado mengine ya ugonjwa,misiba,harusi,vicoba,malipo ya taka,umeme,maji,uzazi,watoto yataongezeka. Manunuzi hayo mtakula kwa muda mrefu hapo ndani. Hakuna cha kutisha hapo labda kwenye hizo sijui 'low/high quality' ndio sijaelewa.