Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mim nataka Barcelona tuchukueHuo umasikini wako wa makombe ya UEFA ndo unafanya uwe na roho ya kichawi hivyo?
Hata kama Real Madrid wakitolewa Leo ndo watafanana na timu yako? Kwa hizi lamli kama vp anzisha tu kilinge tujue moja.
Nenda ukapakatweHuo umasikini wako wa makombe ya UEFA ndo unafanya uwe na roho ya kichawi hivyo?
Hata kama Real Madrid wakitolewa Leo ndo watafanana na timu yako? Kwa hizi lamli kama vp anzisha tu kilinge tujue moja.
rodrygo,vini,mbappe...hiyo defence yako itatia huruma leo usikuBila hisia ukitizama mpira vizuri utajua kuwa Atletico wana defense nzuri na wanahold mpira na attacking threat yao ni kubwa.
Niko na Atletico leo.
Sikupingi mkuu naheshimu maoni yakorodrygo,vini,mbappe...hiyo defence yako itatia huruma leo usiku
asipocheza madrid inashinda goli nyingi , bado hakuna balance nzuri kati ya Vini , rodrigo na mbape , ni either kati ya mbape na vini asicheze mmoja ndo matokeo yanaonekana ,Kuna uwezekano mkubwa Mbape kutocheza game ya leo.
Yaap na kubaliana wewe hata mimi nilikiona hiki kitu,Mbape anapata tabu sana kishazoea kutokea kushoto.asipocheza madrid inashinda goli nyingi , bado hakuna balance nzuri kati ya Vini , rodrigo na mbape , ni either kati ya mbape na vini asicheze mmoja ndo matokeo yanaonekana ,