Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Jana kulikuwa na mechi nzuri sana kati ya Liverpool dhidi ya PSG katika usiku wa Ulaya.
Mechi ikaisha kwa PSG kushinda kwa matuta huku wakiubonda sana mpira mwingi.
Ikawashtua mashabiki wengi wa soka ambao hawakutarajia kama Liverpool ingeondolewa hasa katika uwanja wake wa nyumbani.
Leo ni zamu ya kuondolewa mashindanoni kwa mabingwa wa kihistoria, Real Madrid.
Leo pale katika dimba la Wanda Metropolitano kuna bonge la mbungi.
Atletico Madrid watakuwa wanawakakaribisha majirani zao Real Madrid.
Naona kabisa leo Diego Simione akiiongoza Atletico kwenda hatua ya robo fainali. Tutakuwepo
Mechi ikaisha kwa PSG kushinda kwa matuta huku wakiubonda sana mpira mwingi.
Ikawashtua mashabiki wengi wa soka ambao hawakutarajia kama Liverpool ingeondolewa hasa katika uwanja wake wa nyumbani.
Leo ni zamu ya kuondolewa mashindanoni kwa mabingwa wa kihistoria, Real Madrid.
Leo pale katika dimba la Wanda Metropolitano kuna bonge la mbungi.
Atletico Madrid watakuwa wanawakakaribisha majirani zao Real Madrid.
Naona kabisa leo Diego Simione akiiongoza Atletico kwenda hatua ya robo fainali. Tutakuwepo