ibrah0102
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 384
- 642
Ndo points iliyosahaulika lakn usiuweSiku polisi wakiuawa kwa kukamata mtu kienyeji labda ndio watachukua hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo points iliyosahaulika lakn usiuweSiku polisi wakiuawa kwa kukamata mtu kienyeji labda ndio watachukua hatua
Nawaza kusema vijana waachane na siasa.
Ona sasa, watu wanapotea hii inaleta simanzi kwa wazazi, misiba isiyojulikana.
Akina Mbowe wao wapo tu .
Labda hao wavunja sheria kama wewe mbona watz tuko salama tu. Nenda SA au hapo Kenya tu uone hali ya usalama ilivyo mbaya. Acheni siasa zenu uchwara.
Ukwelii mchunguu huu.Nawaza kusema vijana waachane na siasa.
Ona sasa, watu wanapotea hii inaleta simanzi kwa wazazi, misiba isiyojulikana.
Akina Mbowe wao wapo tu .
Kwani wanaingia kila mtaa?Kuna siku wataingia mtaa ambao raia wake hawatakubali na ndipo watakapojitambulisha.
This is tricky.Siku polisi wakiuawa kwa kukamata mtu kienyeji labda ndio watachukua hatua
Hawaji kama majini. Huwa wanashuhudiwa na majirani, ndugu na marafiki na wanaachwa tu waondoke na mhusika.Kwani wanaingia kila mtaa?
Story ya uongo hiiYule tajiri wa mwanza Zakaria aliwavunja miguu kwa risasi ndio baadae inakuja kujulikana ni askari kanzu, watu tembeeni na mapanga, kuna video inasambaa mtandaoni jamaa kenya huko alikamatwa kienyeji akapiga kelele watu wakajaa watekaji(ambao ni askari) wakawa hawana la kufanya, USIKUBALI KWENDA POPOTE BILA KUONA KITAMBULISHO WALA NGUO ZA POLICE
Wamevunja sheria gani kima weweLabda hao wavunja sheria kama wewe mbona watz tuko salama tu. Nenda SA au hapo Kenya tu uone hali ya usalama ilivyo mbaya. Acheni siasa zenu uchwara.
Yule jamaa wa Mara mfanyabiashara Zakaria, aliishawahi kufanya hiki kitu! Na kesi yake sijui iliishia wapi? Aliwatungua watu wanne wasiojulikana kwa kutumia bastola yake, baada tu ya hao watu kutaka kumkamata kienyeji.Siku polisi wakiuawa kwa kukamata mtu kienyeji labda ndio watachukua hatua
Walebmnaobsemabsiasa haziwahusu sasa ndio mjuwa kama haziwahusu mtatawaliwa na wajinga ambao ambao wataruhusu utekaji na kupoteza watu kuwa sehemu ya siasa. NchiJana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama imejiridhisha kuwa vijana hao watatu hawapo Polisi na hivyo kutaka Polisi iwatafute.
Hukumu hii imeleta simanzi kubwa kwa ndugu wa vijana hawa, na wapenda haki wote nchini. Lakini pia imeset "precedence" kwa matukio ya utekwaji na watu kupotea;
1. Hukumu hii inamaanisha ukifuatwa mtaani na watu wasio na sare za Polisi, vitambulisho na arrest warranty usikubali kwenda. Pambania uhai wako, bora wakuulie hapo ulipo kuliko wakupeleke huko wanakotaka. Kwa lugha rahisi bora ufie nyumbani ndugu zako watakuzika, kuliko ukafie pasipojulikana na ndugu zako wasione hata maiti yako.
2. Hukumu hii inamaanisha baadhi ya Polisi wenye "nia ovu" wanaweza kukukamata na baadae wakakanusha sio wao na usiwe na la kufanya. Na mahakama itakosa ushahidi wa kuwatia hatiani.
Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea
3. Hukumu hii inamaanisha kwamba Tanzania kuna genge la kuteka watu ambalo sio sehemu ya jeshi la Polisi. Kama Mahakama inakubali kuwa akina Soka "walitekwa" lakini sio na polisi, it means mahakama inakubali genge la utekaji lipo. Je genge hilo limeundwa na nani? Linamtumikia nani? Kwa maslai gani?
4. Hukumu hii inamaanisha kuwa vyombo rasmi vya ulinzi vipo dhaifu kiasi kwamba raia wanaweza kutekwa kwenye nchi yao na "genge la watu wasiojulikana" na Polisi wasiweze kuzuia.
5. Hukumu hii inamaanisha usalama wa wakosoaji wa serikali upo mashakani. Hivyo basi usitembee peke yako. Kama wewe ni mkosoaji wa serikali hakikisha hukai kifala.
NB: Ni bahati mbaya haya yote yanafanyika katika nchi inayojinasibu kuheshimu uhuru wa maoni na utawala wa sheria. Ni bahati mbaya zaidi kuwa Waziri wa mambo ya ndani anajisifia kuwa nchi ipo salama wakati kuna watu wanadaiwa kutekwa na kupotezwa na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa kukomesha vitendo hivi!
Nchi yetu ipo mikononi mwa majambazi na washezi. Vitu serious kama uhai wa watu vinachukuliwa kimzaha mzaha. Halafu vitu vya kijinga vinaonekana vya maana . Raisi anaonekana kwenye tamasha za burudani . Ila kwenye issues za kitaifa anaziita ni drama.Jana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama imejiridhisha kuwa vijana hao watatu hawapo Polisi na hivyo kutaka Polisi iwatafute.
Hukumu hii imeleta simanzi kubwa kwa ndugu wa vijana hawa, na wapenda haki wote nchini. Lakini pia imeset "precedence" kwa matukio ya utekwaji na watu kupotea;
1. Hukumu hii inamaanisha ukifuatwa mtaani na watu wasio na sare za Polisi, vitambulisho na arrest warranty usikubali kwenda. Pambania uhai wako, bora wakuulie hapo ulipo kuliko wakupeleke huko wanakotaka. Kwa lugha rahisi bora ufie nyumbani ndugu zako watakuzika, kuliko ukafie pasipojulikana na ndugu zako wasione hata maiti yako.
2. Hukumu hii inamaanisha baadhi ya Polisi wenye "nia ovu" wanaweza kukukamata na baadae wakakanusha sio wao na usiwe na la kufanya. Na mahakama itakosa ushahidi wa kuwatia hatiani.
Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea
3. Hukumu hii inamaanisha kwamba Tanzania kuna genge la kuteka watu ambalo sio sehemu ya jeshi la Polisi. Kama Mahakama inakubali kuwa akina Soka "walitekwa" lakini sio na polisi, it means mahakama inakubali genge la utekaji lipo. Je genge hilo limeundwa na nani? Linamtumikia nani? Kwa maslai gani?
4. Hukumu hii inamaanisha kuwa vyombo rasmi vya ulinzi vipo dhaifu kiasi kwamba raia wanaweza kutekwa kwenye nchi yao na "genge la watu wasiojulikana" na Polisi wasiweze kuzuia.
5. Hukumu hii inamaanisha usalama wa wakosoaji wa serikali upo mashakani. Hivyo basi usitembee peke yako. Kama wewe ni mkosoaji wa serikali hakikisha hukai kifala.
NB: Ni bahati mbaya haya yote yanafanyika katika nchi inayojinasibu kuheshimu uhuru wa maoni na utawala wa sheria. Ni bahati mbaya zaidi kuwa Waziri wa mambo ya ndani anajisifia kuwa nchi ipo salama wakati kuna watu wanadaiwa kutekwa na kupotezwa na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa kukomesha vitendo hivi!
AiseeStory ya uongo hii
Zakaria hsjawahi kuvunja watu miguu kwa risasi
aisee muda mwingine uwe unajaribu kuficha upuuz wako mkuu, hii hapa niniStory ya uongo hii
Zakaria hsjawahi kuvunja watu miguu kwa risasi
Kama mahakama na bunge wanawakana huku polisi wakiruka moja kwa moja ni wahalifu.This is tricky.
Wanaweza kukufungulia kesi ya uhaini kwa kushambulia serikali, adhabu yake nadhan ni kifo au maisha jela
Bado sijaona walipovunjwa miguu kwa risasi, na ndio hiko nilichopingaAisee
aisee muda mwingine uwe unajaribu kuficha upuuz wako mkuu, hii hapa nini
![]()
Tajiri wa mabasi ya Zakaria ahojiwa kwa tuhuma za kuwapiga risasi maofisa usalama
Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Zakaria, Peter Zakaria anashikiliwa na polisi kwa mahojiano kwa tuhuma za kuwajeruhi kwa risasi watu wawili wanaodaiwa kuwa ni maofisa usalama wa Taifa.www.mwananchi.co.tz
Umewah kuona wound ya risasi ilopita katikati ya mguu ?Bado sijaona walipovunjwa miguu kwa risasi, na ndio hiko nilichopinga
Hapa sasa tunaanza kujadili matamanioUmewah kuona wound ya risasi ilopita katikati ya mguu ?