Baada ya Mahakama kusema Polisi hawajawashikilia akina Soka Malisa aandika haya

Nawaza kusema vijana waachane na siasa.

Ona sasa, watu wanapotea hii inaleta simanzi kwa wazazi, misiba isiyojulikana.

Akina Mbowe wao wapo tu .

Una lawama za kijinga kweli. Serikali wamteke soka ila lawama unawapa akina Mbowe. Kwa akili hizi ndio maana hata bunge halina huruma na wananchi hata watekwe wote. Maana wanajua wote vilaza.
 
Labda hao wavunja sheria kama wewe mbona watz tuko salama tu. Nenda SA au hapo Kenya tu uone hali ya usalama ilivyo mbaya. Acheni siasa zenu uchwara.

Siasa uchwara unazo wewe. Watu wanaongelea Tanzania wewe unaleta mifano ya Kenya. Halafu mtu useme hao watu mia moja waliopotea walifanya makosa gani?. Maana unaongea kana kwamba hao sio raia wa Tanzania.
 
Kuna siku wataingia mtaa ambao raia wake hawatakubali na ndipo watakapojitambulisha.
 
Kwani wanaingia kila mtaa?
Hawaji kama majini. Huwa wanashuhudiwa na majirani, ndugu na marafiki na wanaachwa tu waondoke na mhusika.
 
Story ya uongo hii
Zakaria hsjawahi kuvunja watu miguu kwa risasi
 
Labda hao wavunja sheria kama wewe mbona watz tuko salama tu. Nenda SA au hapo Kenya tu uone hali ya usalama ilivyo mbaya. Acheni siasa zenu uchwara.
Wamevunja sheria gani kima wewe
 
Ukweli ni huu ! kufanya siasa kwa africa kama haupati maslahi ni hatari sana kwa maisha yako , hasa nyie chipukizi .


Ukweli tutaendelea kusema kama hauna maslahi na watu wakubwa kukulinda tafuta dili nyingine .

Mnafanya siasa zenu kama sehemu za maslahi , mkitekwa mnajifanya anatafuta pulic sympathy hayo ndio maisha mliyochagua .
 
Walebmnaobsemabsiasa haziwahusu sasa ndio mjuwa kama haziwahusu mtatawaliwa na wajinga ambao ambao wataruhusu utekaji na kupoteza watu kuwa sehemu ya siasa. Nchi
Nchi yetu ipo mikononi mwa majambazi na washezi. Vitu serious kama uhai wa watu vinachukuliwa kimzaha mzaha. Halafu vitu vya kijinga vinaonekana vya maana . Raisi anaonekana kwenye tamasha za burudani . Ila kwenye issues za kitaifa anaziita ni drama.
 
Story ya uongo hii
Zakaria hsjawahi kuvunja watu miguu kwa risasi
Aisee
Story ya uongo hii
Zakaria hsjawahi kuvunja watu miguu kwa risasi
aisee muda mwingine uwe unajaribu kuficha upuuz wako mkuu, hii hapa nini

 
Naona harufu mbaya ya watu Fulani kujiteka Ili kupata mileage lawama kwa serikali!

Serikali haiwezi fanya kazi kiboyoboya hivyo.
 
This is tricky.

Wanaweza kukufungulia kesi ya uhaini kwa kushambulia serikali, adhabu yake nadhan ni kifo au maisha jela
Kama mahakama na bunge wanawakana huku polisi wakiruka moja kwa moja ni wahalifu.
Halafu wakishafanyiziwa Kila mtu atafute hifadhi yake vinginevyo tutabaki watu wa kulalamika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…