Baada ya Mahakama kusema Polisi hawajawashikilia akina Soka Malisa aandika haya

Hapa sasa tunaanza kujadili matamanio
Sio hvyo una logic za kitoto ulitaka nije na picha ya watu wamevunjika miguu ndio uamini, nimekupa linnk usome hutaki. Nifanyaje sasa ? Wewe unataka proof ipi ? Ulitaka hii ishue ni ipresent vipi mkuu ?
 
Sio hvyo una logic za kitoto ulitaka nije na picha ya watu wamevunjika miguu ndio uamini, nimekupa linnk usome hutaki. Nifanyaje sasa ? Wewe unataka proof ipi ? Ulitaka hii ishue ni ipresent vipi mkuu ?
Nimesoma yote hiyo link wapi wamesema wamevunjwa miguu kwa risasi?
 
kufa kwa serikali nyingi zilianza hivi.sui uwa watanzania wanasoma vitabu au wachambuzi
Vikundi vya watekaji raia “”visivyojulikana” vinapozuka katika nchi maana yake nchi hiyo haina utawala wa sheria! Na nchi kama hakuna kuheshimu sheria maana yake ni fujo na vurugu katika jamii! Kwa mtindo huo nchi haiwezi kuwa stable.
 
Nachomkubali tajiri Rostam. Kuna wakati anasemaga ukweli
 
Matamko ya upinzani hayana impact yoyotee,tujifunze kudai haki kwa nguvu badala ya kutoa matamko yasiyo na tija kila siku.. Tujifunze hata kwa wamasai wa ngorongoro.
 
Vijana wa daslamu munajikuta wajanja kuwadhulumu watu hya sasa onjeni malipo yenu
 
hiyo ndiyo bongo
Na bado wasiaminike hata wakionesha vitambulisho.Wanaweza kughushi tu na kufanyia uhalifu wao.Trust nobody!
Sahihi mkuu ,,mana Tanzania kwa kughushi tupo juu
 
Wanahubiri Amani, huku wameficha mapanga. Kama polisi haihusiki, serikali haihusiki na watu kutekwa. Je ni nani anayeteka watu ndani ya nchi, yenye vyombo lukuki vya usalama?

Tuseme kuna kikundi cha watu, je si kazi ya Serikali na vyombo vyake vya usalama kulinda kila raia? Mpaka hapa imeshindwa jukumu lake.

Nilisema mwanzoni, tupazeni sauti, leo unaona ni wao. Itakuja atekwe mtu wako wa karibu, ndiyo mtaanza piga kelele. Yametokea vilevile nilivyosema.

Kwakuwa si vyombo vya Usalama vinavyoteka. Na haipewi uzito, ni jukumu la kila mtu kujilinda na kumlinda mwenzake. Huna mguu wa kuku, kuwa na kakisu ka kukunja, unatekwa ondoka na koromeo la mmoja, utaenda kufa ila unaenda na mwenzao.
 
Cha kuongezea wewe kama mkosoaji wa serikali hakikisha unamiliki silaha yaani wakija bora muuane kuliko kukubali kuchukuliwa. Ila inasikitisha sana. Unajua tuendako unaweza kukuta majaji na mahakimu wataanza kutekwa na wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…