Baada ya mahojiano ya Chief Odemba na Tundu Lissu leo nimeelewa kwa nini dereva yuko Ubeligiji

Baada ya mahojiano ya Chief Odemba na Tundu Lissu leo nimeelewa kwa nini dereva yuko Ubeligiji

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Mtailalamikia polisi mpaka Yesu arudi.
Usitegemee polisi watende haki kwa wapinzani ikiwa hakuna katiba mpya.

Hii katiba imelilink moja kwa moja jeshi la polisi na wanasiasa, CPF (IGP) anateuliwa na mwanasiasa, CPF anawateua ma-RPC, upandaji vyeo wa jeshi la polisi unategemea mwanasiasa huyo huyo mteuzi (kuanzia ngazi ya ACP kupanda juu) hawa ma-ACP ndo ma-RPC, unategemea nini kama sio kufuata maelekezo na matakwa ya mwanasiasa ili wapande cheo?

Rejea sheria ya jeshi la polisi na polisi wasaidizi, waziri anatoa maelekezo kwa polisi kwa mujibu wa hiyo sheria, polisi wataenda kinyume?

Katiba mpya kwanza, jeshi liwe huru ili wasiingiliwe na wanasiasa
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Hakuna propaganda yoyote ile ambayo itafanikiwa katika kufanya spinning kuhusu suala hili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu. Hakuna.
Suala hili limekaa vibaya Sana kwa Serikali, limekuwa kaa la moto, kila mtu hataki kuligusa.
 
Mtailalamikia polisi mpaka Yesu arudi.
Usitegemee polisi watende haki kwa wapinzani ikiwa hakuna katiba mpya.

Hii katiba imelilink moja kwa moja jeshi la polisi na wanasiasa, CPF (IGP) anateuliwa na mwanasiasa, CPF anawateua ma-RPC, upandaji vyeo wa jeshi la polisi unategemea mwanasiasa huyo huyo mteuzi (kuanzia ngazi ya ACP kupanda juu) hawa ma-ACP ndo ma-RPC, unategemea nini kama sio kufuata maelekezo na matakwa ya mwanasiasa ili wapande cheo?

Rejea sheria ya jeshi la polisi na polisi wasaidizi, waziri anatoa maelekezo kwa polisi kwa mujibu wa hiyo sheria, polisi wataenda kinyume?

Katiba mpya kwanza, jeshi liwe huru ili wasiingiliwe na wanasiasa
Ndio maana Kesi imefunguliwa Nje ya Nchi
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Mtailalamikia polisi mpaka Yesu arudi.
Usitegemee polisi watende haki kwa wapinzani ikiwa hakuna katiba mpya.

Hii katiba imelilink moja kwa moja jeshi la polisi na wanasiasa, CPF (IGP) anateuliwa na mwanasiasa, CPF anawateua ma-RPC, upandaji vyeo wa jeshi la polisi unategemea mwanasiasa huyo huyo mteuzi (kuanzia ngazi ya ACP kupanda juu) hawa ma-ACP ndo ma-RPC, unategemea nini kama sio kufuata maelekezo na matakwa ya mwanasiasa ili wapande cheo?

Rejea sheria ya jeshi la polisi na polisi wasaidizi, waziri anatoa maelekezo kwa polisi kwa mujibu wa hiyo sheria, polisi wataenda kinyume?

Katiba mpya kwanza, jeshi liwe huru ili wasiingiliwe na wanasiasa

Ukifanya uchunguzi wa kina Sana kuhusu suala hili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, na pia ukichunguza reaction ya Vyombo vya Dola katika juhudi za kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Watuhumiwa au watu ambao waliohusika na tukio hilo (ukifanya tathmini ya kiintelijensia), utabaini pasipo kuacha Shaka kwamba 'watuhumiwa wahusika walipewa kibali cha kuweza kutekeleza tukio hilo,' that's why mpaka Sasa hakuna hatua zozote zile za kisheria ambazo zimewahi kuchukuliwa dhidi ya tukio hilo. Ndiyo, wahusika walipata kibali cha kumuua Tundu Lissu, Sasa kwa nini uanzishe uchunguzi wa kijinai wakati watenda jinai wenyewe wameruhusiwa kutekeleza hiyo jinai ambayo wanatuhumiwa nayo???

Yes, perpetrators were granted by their sponsor the licence to kill TAL that considered as the biggest threat to the sponsor.
 
Waliomkosakosa nao wajinga sana

Over!
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."

Reverend Dr. Martin Luther King Jr.


Je, wewe binafsi ungejisikiaje endapo kama zile risasi za moto alizopigwa Tundu Lissu kule Dodoma angepigwa nazo mama yako mzazi?? Je, ungefurahi au ungehuzunika kutokana na tukio hilo???
 
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."

Reverend Dr. Martin Luther King Jr.


Je, wewe binafsi ungejisikiaje endapo kama zile risasi za moto alizopigwa Tundu Lissu kule Dodoma angepigwa nazo mama yako mzazi?? Je, ungefurahi au ungehuzunika kutokana na tukio hilo???
Achana na kopo hilo
 
Mtailalamikia polisi mpaka Yesu arudi.
Usitegemee polisi watende haki kwa wapinzani ikiwa hakuna katiba mpya.

Hii katiba imelilink moja kwa moja jeshi la polisi na wanasiasa, CPF (IGP) anateuliwa na mwanasiasa, CPF anawateua ma-RPC, upandaji vyeo wa jeshi la polisi unategemea mwanasiasa huyo huyo mteuzi (kuanzia ngazi ya ACP kupanda juu) hawa ma-ACP ndo ma-RPC, unategemea nini kama sio kufuata maelekezo na matakwa ya mwanasiasa ili wapande cheo?

Rejea sheria ya jeshi la polisi na polisi wasaidizi, waziri anatoa maelekezo kwa polisi kwa mujibu wa hiyo sheria, polisi wataenda kinyume?

Katiba mpya kwanza, jeshi liwe huru ili wasiingiliwe na wanasiasa
Wasipoingiliwa atawatuma nani kumkamata mtu??
Wataanza kuvimba.
Refer case ya Dr.Dorothy Gwajima VS Askofu Gwajima.
 
Wasipoingiliwa atawatuma nani kumkamata mtu??
Wataanza kuvimba.
Refer case ya Dr.Dorothy Gwajima VS Askofu Gwajima.
Taasisi ya kutekeleza sheria hautakiwi kutumwa na mtu, wewe ni msimamizi wa sheria sio msimamizi wa maelekezo ya mtu, taasisi ya usimamizi wa sheria inasimamia utekelezaji wa sheria, zikivunjwa ichukue hatua sio maelekezo ya watu, polisi sio taasisi ya kutekeleza maelekezo ya mtu, ni sheria.

Jeshi la polisi litenganishwe mbali na wanasiasa, liwe huru kusimamia sheria
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!

..kwa mahakama za Tz atagonga mwamba.

..yeye abanane na Tigo nje ya nchi na ikiwezekana awafilisi.
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Jeshi last polisi linajua kwa hakika nini kilitokea siku ile.. Mengine yote ni figisu na mbwembwe tuu
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Watu wanawaza uchaguzi na kujipanga,, yeye busy na nonsense huku akitumbua pesa tulimchangia
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Tundu Lissu siku zote yuko Ahead of Time.

Nadhani imeeleweka
 
Ukifanya uchunguzi wa kina Sana kuhusu suala hili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, na pia ukichunguza reaction ya Vyombo vya Dola katika juhudi za kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Watuhumiwa au watu ambao waliohusika na tukio hilo (ukifanya tathmini ya kiintelijensia), utabaini pasipo kuacha Shaka kwamba 'watuhumiwa wahusika walipewa kibali cha kuweza kutekeleza tukio hilo,' that's why mpaka Sasa hakuna hatua zozote zile za kisheria ambazo zimewahi kuchukuliwa dhidi ya tukio hilo. Ndiyo, wahusika walipata kibali cha kumuua Tundu Lissu, Sasa kwa nini uanzishe uchunguzi wa kijinai wakati watenda jinai wenyewe wameruhusiwa kutekeleza hiyo jinai ambayo wanatuhumiwa nayo???

Yes, perpetrators were granted by their sponsor the licence to kill TAL that considered as the biggest threat to the sponsor.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom