Nyamufanco
Member
- Oct 14, 2020
- 22
- 27
TCRA, Dr. Ndungulile mnatufanya malofa, bei bado ni ile ile waliyoongeza...natumia TTCL na Vodacom hawajashusha bei ya data! Shame!
Achana na iyo kuna hiyo ya gb 2nikajua TSH.500 kwa 500MB KIMERUDI TENA..SEMA AFADHALI KDG
Kwa wenye lain za chuo tuu ndo wana hiyo offerMbona nikifuata huo mtililiko sipati hiyo un offer au nikwabaadhi ya lain tu?
Wewe ni Ndugulile niniMsipoteze muda
Huyu jamaa akipigwa chini kutakua na furaha kwa watu wengi sana. Na itaweka heshima kwa wale viongozi wote wenye kufanya maamuzi yasiyo na maslahi kwa wale waliowapa dhamana.We jamaa usisubiri mpaka utumbuliwe ;jitokeze hadharani chap achia ngazi...
Wakuda hawa walishauhamisha hukuHuu uzi unafutwa/hamishwa sasa hivi. [emoji4]
Kweli mkuuHakuna utatuzi walioufanya hapo zaidi ya kurudisha tatizo la mwanzo lililokuwa linalalamikiwa.
Mh. Dr Faustine Ndugulile hajawahi kufanya jambo lolote la kuonekana katika Wizara yoyote aliyokuwa. Akiwa Wizara ya Afya huduma zilikuwa mbovu, watoa huduma ni miungu watu na wizi wa dawa kila mahali. Alikuwepo tu. Hana hata kimoja cha kuonesha alichosimamia.
Hata hii wizara mpya hatofanya lolote la maana zaidi ya kuharibu tu.
Nilijua tu mkuu ndio imekua hivyo.Wakuda hawa walishauhamisha huku
Linafanyiwa kaziHabari haina ukweli wowote ipuuzwe.
Hadi muda huu tigo sh 1500 unapata mb 300
Tokea Mwinyi ajiuzulu Uwaziri uliwahi kusikia Waziri mwingine kama sio kutumbuliwaWewe ni Ndugulile nini