Kundi lenyewe linajulikana lote A-Z, kundi hili halikutaka Samia aapishwe, kundi hili anakosekana Dr. Mpango tu lambda Na Mwigulu.Mtaelewa tu. Unadhani Ndungai hajui kuhusiana na mkopo?? Kulikuwa na haja gani ya kujiropokea kama mwehu??
Jino kwa jino.
Tena kabla hata ya 2023 hilo kundi litakuwa limeparaganyika lote
Ni Mwenyekiti wakeUnakosea sana unaposema Rais ni boss wa Spika! Unbelievable!
Kabisa, anatakiwa amuwahi mwenzake kabla hawajammaliza. Nachojua Mama kategwa na kategeka.Ndugai anachelewa alitakiwa sasa hivi awe ameshatangaza bunge la dharuara wabunge wapige kura ya kutokuwa na imani
Walimtangulizwa Polepole akadunda ikawabidi wajitokeze wenyewe.Kwahiyo ndungai katangulizwa tu akajiendea kama beberu??
Mkuu,Relief Mirzska nguvu ya rais inatokana na uungwaji mkono na wenye nchi. Mama mpaka sasa wenye nchi keshawauzi (kuonesha furaha yake kwa kifo cha Dkt Magufuli na uchu wa urais).
Ukikosa sapoti ya wenye nchi hata ufanyeje. Na hii inajidhihirisha kwenye changuzi za ndani za wagombea wa urais CCM. Unakumbuka Dkt Magufuli alivyopita?? Unadhani alipita kwa matakwa ya JK? Wenye nchi walifanya yao mpaka JK kajikuta hana jinsi. So ujue rais kama hana sapoti ya wenye nchi hana nguvu. Na kumbuka wenye nchi bado wana machungu ya kufiwa na rais wao.
Tena huyu ndio mtupuuuuuuuuuWalishindwa Lowassa, Sumaye Na kingunge kuivuruga ccm sembuse ndugai?
Na ndio wenye nchi wakasema msituletee ujinga wenu.Kundi lenyewe linajulikana lote A-Z, kundi hili halikutaka Samia aapishwe, kundi hili anakosekana Dr. Mpango tu lambda Na Mwigulu.
HahaahKabisa, anatakiwa amuwahi mwenzake kabla hawajammaliza. Nachojua Mama kategwa na kategeka.
Mama yupo hapo kwa huruma tu za watu...Na ndio wenye nchi wakasema msituletee ujinga wenu.
Mama ataapishwa na ataongoza hii nchi.
Tunawakumbusha tu, Mama Samia Suluhu Hassan ni Rasi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amir jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.
Sure, but a a glaring anomaly. Mihimili inatakiwa kuwa huru. Lakini wanaCCM hawana stahili ya kuhoji hili.Nimemshangaa sana Jasmoni Tegga kujifanya hajui kwamba Executive ndio mhimili mkuu na unaowawezesha Judiciary na parliament.
Hahahah siyo hivyo, yaani hapo wote hao wanaviziana. Atakaye muwahi mwenzakeHahaah
Kumbe unaongelea ushabiki na sio uhalisia
Wewe wasema.Mama yupo hapo kwa huruma tu za watu...
Sio kwa ujanja wake.
Hakika awaheshimishe wagogo japo dakika za nyongeza.Ajiuzuru kwakweli maana kavuliwa nguo! Tatizo labda ni uoga wa mafao lakini kubakiza japo heshima ndogo kabisa aondoke zake.
Tunajua mkuu.Sure, but a a glaring anomaly. Mihimili inatakiwa kuwa huru. Lakini wanaCCM hawana stahili ya kuhoji hili.
Huo uwezo ungekuwepo tungekuwa kama dubai.Wewe wasema.
Hahahaahahahahahahaahahah!
Tanzania ni one of the great country in Africa and the world. Na TISS ni taasisi imara sana na uwezo wao ni mkubwa sana
Atarudiaje msimamo wa awali wakati ameikana ile clip ni ya kutungwa na hakusema hivyo?"it is dangerous to be right when the government is wrong" Voltaire
kiufupi huyu mwanadishi wa kifaransa anajaribu kuonyeasha kuwa ni hatari pale mtu anapokua sahihi halafu serikali inakosea.
Mimi nadhani mtu wetu yuko sahihi inatakiwa akomae nao tu, kwa nafasi yake au kama mwananchi wa kawaida anayo haki ya kuhoji anapoona mambo meusi na ingekua tamu sana kama angekuja kutumia hii kwenye jukwaa lake.
Natamani nione siku moja kila nguzo ifanye kazi yake bila kuingiliwa na nguzo nyingine ili tuone ile check n balance yenyewe