Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali

Kaka Paskali, naona umeshindwa kukaa kimya kama ulivyoahidi! Mungu akupe nguvu urejee tena!! Nime-miss Maswali fikirishi
 
Kuna maneno yaliyotumiwa na hso WanaCCM kumjibu Mh Ndugai ambayo hayana heshima na staha. Mh Rais alitakiwa asiwasifie kijumla jumla angejitenga nayo.

Lakini ndio hivyo siasa hukevya usipo kuwa makini. What goes around comes around iko siku isiyojulikana yatamrudi.

Tukiacha unafiki Mh Rais yeye mwenyewe alimjibu Spika kwa umahiri mkubwa na Gavana wa BoT akaongezea icing sugar kwenye keki ya respond ya Mh Rais. Hebu jaribu kufikiria maneno ya yule Mzanzibar wa Njombe yale yameandaa mazingira hatarishi ya kubomolewa CCM siku za mbeleni yatakapotumiwa kama rejea.
Hakuna kitu.

CCM haitobomolewi na issue ndogo kama hii.

Yule Mzanzibar wa Njombe alijua alilokuwa akilifanya hahahaahahahah.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali

Kwanza nikiri kuwa nilikuwa nasubiri uzi wako kuhushu kauli ya mama, pili sahau kuhusu jamaa kujiuzuru labda wamtimue na tatu inawezekana jamaa yako aliongea vile kwakuwa kuna homa ya 2025 lakini sio lazima awe yeye labda ni mtu wa timu yake anautaka ambae ni dini ya mama.

NB: Ulitahadharisha kuhusu majina yasitajwe lakini wewe umetaja majina kibao, mara julius mara jahkaya nk
 
Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.

Hiyo hela inaenda wapi?

Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima

Hizo pesa zinaenda Chadema kwenye saccos ya Mbowe…!!!
 
Jambo muhimu sana ni kwamba Mama keshawajua maadui zake "Kijani", sisi Wapinzani tukitimiziwa hoja zetu yaani Katiba Mpya hatuna maneno.

stylin.gif
 
Hakuna kitu.

CCM haitobomolewa na issue ndogo kama hii.

Yule Mzanzibar wa Njombe alijua alilokuwa akilifanya hahahaahahahah.

Ngoja mikutano ya hadhara ya Siasa ianze ndio utanielewa. Leo kapotezea suala ka mfumuko wa bei pamoja na kwamba Mh Ummy alilihighlight kwenye vifaa vya ujenzi.
 
Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.

Hiyo hela inaenda wapi?

Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Mama alishataadharishwa kuwa upinzani mkubwa ataupata toka wavaa mashati ya kijani na sasa anajionea
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali
Tulia nampenda ila hawezi kuwa Spika
 
Hahaaaa!!!!!hakika ile nafasi ni tamu na maza kashanogewa
Mama amehemukwa, nafikiri hii nafasi alikuwa anaisubiria kwa hamu sana na ameitendea haki....

Sasa hivi kila atakaeinua mdomo juu ya mama itaonekana ni joto la 2025, nilichofurahi Mama anawajua maadui zake.

Jamaa yetu jana ilibidi akanushe sio kuomba radhi, Sasa ameomba radhi na kichambo kapewa juu....

Mama kaita CCM nchi nzima imsaidie kumchamba Jamaa yetu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna vita kubwa sana inayoendelea ndani ya CCM kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Unayoyaona haya kwenye ulimwengu wetu wa nyama yameanzia kwenye ulimwengu wa Rohoo.

Spika Ndugai yamemkuta anawasimamisha bungeni Gwajima na wezeka kutetea kauli za Serikali. Leo hii yamemkuta kwake hata jukwaa la kwenda kujitetea hana,
Mwezake Gwajima anaongea na waumini wake kanisani Ndugai hata wabunge wake akiamuwa kuwaita ili hajitetea watamkataa.
Haya maisha Rafik wa kweli utamjua kwenye matatizo
Naomba Mungu hiyo vita uko CCM iendelee iwe kubwa sana mpaka wafikie hatua ya kutoana uhai
 
Back
Top Bottom