Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ule hatuukushabikia.U dictator ndio unauona leo?
Mbona kitambo ulikiwepo sema wewe haujakuathiri moja kwa moja kama ilivo leo.
Nakumbuka fulani aliwahi kutoa kauli ya kupumzika siasa 2025, alichofanya "mwenye nchi" leo ni kuonesha yeye binafsi anavyoiwaza 2025 na ameshanogewa na cheo, ndio maana alikuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzake 2025 ni zamu yao.
Mengi ya maneno aliyotoa kumjibu mwenzake leo ni mihemko tu na kuchamba kama zilivyo tabia za wanawake wengi, lakini hana hoja yoyote ya msingi.
Kwa hii kauli yake ya leo inawezekana akaamsha vita ya chini chini ambayo hatajua ukubwa wake na miongoni mwa adui zake watakuwa hao wanaompigia vigelegele leo.
Kimbaumbau akasomee tasnia ya uchawi.Tulia nampenda ila hawezi kuwa Spika
Kutesa kwa zamuTukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I migh end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Mkuu naomba nitofautiane na wewe...ninavyowaelewa wanawake akisema sana ujue amesamehe.
..hivyo naamini kwa dhati Maza amemsamehe Ndugai.
Ndio.....Unajua kusoma?
Si mmeambiwa mafuta yamepunguzwa kuanzia shilingi mbili na kuendelea? Umesahau? (haya si mazuri hata kidogo)Badala ya Rais kutugusa wananchi tunaoumia na mfumuko wa bei, tozo, low wages, under employment, land alienation, yeye anaendekeza malumbano na mkuu mwenzake wa mhimili?
Kweli anatakiwa ajue kuwa amesimama pale kama Rais ambayo ni taasisi....Hivyo ni unavyowaelewa wewe mkuu.
Urais ni Taasisi, law hiyo unadhani Mama ametoka front na kusema aliyoyasema bila go ahead ya "engine " zake kina Mohamed Mchèngerwa??
Ijueni mitaa wakuu
NaaamMkuu,
Hebu jifunze kuelewa zaidi ya kisemwacho.
Yule mgogo anaambiwa aondoke pale.
iHakika mkuu.....
Kwa hili linaloendelea ni wazi hata "msutwaji" kimoyo moyo anatamani KATIBA mpya......
Kwani ni jambo jipya? Mbona Magufuli kashambulia sana na hamkupaza sauti?Kwanini Rais amshambulie mkuu mwenzake wa mhimili directly kiasi cha leo jamani?
Huu ni udictator wa wazi wazi.
Kwa akili zako, watu walinyamaza?Kwan ni jambo jipya? Mbona Magufuli kashambulia sana na hamkupaza sauti?
Hizo pesa zinaenda chadema kwenye saccos ya Mbowe…!!!