Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Katika siku alizokosea leo katia fora, kiongozi lazima uwe na kifua
Nakumbuka fulani aliwahi kutoa kauli ya kupumzika siasa 2025, alichofanya "mwenye nchi" leo ni kuonesha yeye binafsi anavyoiwaza 2025 na ameshanogewa na cheo, ndio maana alikuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzake 2025 ni zamu yao.

Mengi ya maneno aliyotoa kumjibu mwenzake leo ni mihemko tu na kuchamba kama zilivyo tabia za wanawake wengi, lakini hana hoja yoyote ya msingi.

Kwa hii kauli yake ya leo inawezekana akaamsha vita ya chini chini ambayo hatajua ukubwa wake na miongoni mwa adui zake watakuwa hao wanaompigia vigelegele leo.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali

Nyumbani kwa ndugu wa marehemu hapakaliki, wananyukana😀

Ndo mjue MBOWE SIYO GAIDI, kusingizia watu uongo lazima hiyo dhambi iwatafune na sisi tunasema iwatafune

Mkimalizana na Faru Ndugai mshughulike na Jaji Mkuu wa Michongo, Profesa wa Michongo Ibrahim Juma
 
..ninavyowaelewa wanawake akisema sana ujue amesamehe.

..hivyo naamini kwa dhati Maza amemsamehe Ndugai.
Mkuu naomba nitofautiane na wewe.

Mama ameona liwalo na liwe, "tone" ya maneno yake haioneshi kuwa yupo tayari kusamehe ndiyo maana kalileta hadharani.

Anaeleza kuwa hakutegemea hilo toka kwa "wa kijani" mwenzake na yote ni kisa uchu wa "2025".

There is some serious trouble brewing in paradise aisee.
 
"It is dangerous to be right when the government is wrong" Voltaire

Kiufupi huyu mwanadishi wa kifaransa anajaribu kuonyeasha kuwa ni hatari pale mtu anapokua sahihi halafu serikali inakosea.

Mimi nadhani mtu wetu yuko sahihi inatakiwa akomae nao tu, kwa nafasi yake au kama mwananchi wa kawaida anayo haki ya kuhoji anapoona mambo meusi na ingekua tamu sana kama angekuja kutumia hii kwenye jukwaa lake.

Natamani nione siku moja kila nguzo ifanye kazi yake bila kuingiliwa na nguzo nyingine ili tuone ile check n balance yenyewe
 
Badala ya Rais kutugusa wananchi tunaoumia na mfumuko wa bei, tozo, low wages, under employment, land alienation, yeye anaendekeza malumbano na mkuu mwenzake wa mhimili?
Si mmeambiwa mafuta yamepunguzwa kuanzia shilingi mbili na kuendelea? Umesahau? (haya si mazuri hata kidogo)
 
Hivyo ni unavyowaelewa wewe mkuu.

Urais ni Taasisi, law hiyo unadhani Mama ametoka front na kusema aliyoyasema bila go ahead ya "engine " zake kina Mohamed Mchèngerwa??

Ijueni mitaa wakuu
Kweli anatakiwa ajue kuwa amesimama pale kama Rais ambayo ni taasisi....
 
Back
Top Bottom