Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali

Hiyo ya Tulia, Tulia mwenyewe ana wakati mgumu.
 
Watu mahiri huzungumzia hoja na sio watu..ukitaka kua mahiri tafakari hoja ya ndugai..juu ya serikali
Ni kweli usemalo.

Issue ni kwamba kwa ndugai hakukuwa na hoja yoyote ile. Ameshiriki kikamilifu kwenye mikopo mikubwa na mibovu kuliko huu, Leo ndio awe na hoja juu ya mikopo???

Sometimes mpumbavu anatakiwa ajibiwe sawasawa na upumbavu wake.

Just kujibu swali la Paskali ni kwamba, Ndugai anatakiwa ajiuzulu tu kama ana akili angalau kidogo
 
VP Mlengwa Mkuu Leo alipewa mualiko kwenye kikao kile akasusa au la?? Sikumuona au ni macho yangu??

Kuna Somo kubwa sana la kujifunza hasa Kwa wale waliopo Madarakani hivi sasa. Hakuna ajuae kesho yake.

Mimi ningemshauri aachie kile kijiti kwani hawa wa Upande wa pili wamejipamga vyakutosha. Mle mle mjengoni kuna wale kumi na kenda ndio kitakua kitanzi chake. Ameshaandaliwa mtu wakutoa hoja dhidi yao. Nafikiri mnanielewa.
 
Ndugai ajiuzulu atake asitake, hata kulazimishwa alazimishwe
Mpiga zumari wa Dikteta..ati "atake asitake"..
neneleakes-happy.gif
 
Ktk cku alizokosea leo katia fora,kiongoz lazma uwe na kifua
Napingana na wewe mkuu.

Unless kama hujawahi kuwa kwenye management. Hili suala alilolifanya Leo ni zuri na kubwa sana kwa ajili ya manufaa mapana ya taifa hili.

Lazima kuna mazingira yakitokea kiongozi usimame ukemee tena hadharani.

Wewe unadhani zile adhabu za viboko kadhaa in public ni makosa yale?? Kwani mwenye kuadhibiwa alishindwa kuadhibiwa in private?? Why done in public???
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali

MAGOGONI MODERN TAARAB
Wametoa Album Mpya ina Ngoma Sita zote Kali
1.Mtu na akili yako unahoji tozo na Mkopo
2.Stress za 2025
3.Serikali ya Mpito
4. Watakao kusumbua ni Shati ya Kijani wenzio
5.Kuna Mawaziri Mmeanza Makundi Makundi yenu
6.Kuna watu nitawapumzisha Wakajiandae 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa bunge ana-haki na ni wajibu wake kikatiba kuihoji na kuisimamia serikali hiyo ndio Demokrasia, swala kwamba anataka urais ni swala binafsi ... alichokifanya ndivyo inavyotakiwa iwe, hatuwezi kua na serikali ambayo inajifanyia tu inachotaka bila ya watu ku-argue. Tatizo ni kwamba nyie CCM huo sio utamaduni wenu. Kosa alilofanya ni kurudi kuomba msamaha hapa amesababisha adharaulike na atukanwe , angeshikilia msimamo wake kwanza kwa muda fulani, angerudi kwa njia nyingine lakini sio hii ya NIMEKOSA MIMI, nimekosa sana.
 
MAGOGONI MODERN TAARAB
wametoa Album Mpya ina Ngoma Sita zote Kali
1.Mtu na akili yako unahoji tozo na Mkopo
2.Stress za 2025
3.Serikali ya Mpito
4. Watakao kusumbua ni Shati ya Kijani wenzio
5.Kuna Mawaziri Mmeanza Makundi Makundi yenu
6.kuna watu nitawapumzisha Wakajiandae 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtunzi ni Marashi ya Karafuu.
 
Kwa akili yangu ndogo kabisa pengine kuliko akili zote sijashawisha hoja ya ndugai ilikua ni homa ya uchaguzi mkuu 2025, ile ilikua hoja ya kizalendo iliokua haijafungwa na chama au nafasi ya cheo.

Nani asiye jua kwa deni hili miaka 10 ijao litakuwa na uzito wa namna gani ikiwa bado nia ya kukopa bado ipo?

Hio miradi wanayokopea nani anayejua itaanza kutoa faida lini ili iweze kulipia deni la mkopo?

Huu mzigo wa hili deni litabebwa barabara na wananchi huku wao wakiwa hawapo madarakani na pengine duniani.

Itakuja kukumbukwa kauli ya ndugai wakati mwafaka,tuombe tu uzima.

Pamoja na mapungufu mengi mno ya ndugai lakini kwa statement hii kutoka kwa rais ni amekosewa heshima sana tena sana! Tumpe pole na kumpa moyo kwa kipindi hiki lakini ajifunze kuongea kwa staha na pia ikimpendeza awaachie nafasi yao na chama chao.
 
Mimi nadhani mtu wetu yuko sahihi inatakiwa akomae nao tu,
Na aendelee tu.

Issue ni kwamba haya kayaona Leo tu?? Issue ni kwamba huyu lililomsukuma ni hilo la "2025" na sio huo uzalendo sijui upumbavu gani mnaotaka kusema anao.

Hiyo press yake ya kuomba radhi umeiona mkuu??
 
Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.

Hiyo hela inaenda wapi?

Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Yani maswali ni mengi sana kiukweli.
 
..I thought alitakiwa ashughulikie kimya-kimya.

..amenikumbusha Mwalimu wangu wa shule ya msingi.

..wakati mwingine alikuwa ananisema mpaka naona bora anichape mambo yaishe.🤣
Sometimes kimya kimya haisaidii sheikh wangu.

Kwani yeye Ndugai alishindwa kupata taarifa zaidi za ule mkopo huko chamani?? Hebu jiulize nchi inafikaje kukopa bila "mhimili" kuwa na taarifa?? Nani amechangia nchi kufika huko?? Si yeye huyu huyu Ndugai??? Sasa Leo anahoji nini??

Anatumika na tunajua
 
Ni kweli usemalo.

Issue ni kwamba kwa ndugai hakukuwa na hoja yoyote ile. Ameshiriki kikamilifu kwenye mikopo mikubwa na mibovu kuliko huu, Leo ndio awe na hoja juu ya mikopo???

Sometimes mpumbavu anatakiwa ajibiwe sawasawa na upumbavu wake.

Just kujibu swali la Paskali ni kwamba, Ndugai anatakiwa ajiuzulu tu kama ana akili angalau kidogo
Unachosema ni sahihi kweli ameshiriki kweny mikopo mingi lakin huu wa sasa imebidi aseme sababu haikuwahi kutokea uko nyuma kwamba serikali inachukua tozo na bado imeenda kukopa tena kwa lengo moja tu.., nini sababu ya kuchukua tozo zetu sasa kama wataenda kukopa tena na baadae sisi wananchi ndo tunaolipa deni la mkopo tena...
 
Back
Top Bottom