Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni picha za zamani,
Hao CCM wameletwa kutokea mikoa ya Pwani. Wanalipwa padiem na hela za kuingizwa ukumbini.UWT ndio CCM yenyewe ninayoizungumzia
😀😀😀 Naona hoja hakuna kabisa tena,Basi utakuwa unajihusisha na zile shughuli za Shaka! Zile zilikuwa zinampeleka wakati wa Likizo Mombasa na Lamu. [emoji2957][emoji2957]
Bwashee hata mapokezi ya kamanda tuliambiwa nyama choma zitakuwepo, tena bure!Hayo yalikuwa mapokezi ya UWT na ubwabwa ulipikwa.
Sasa hii taarifa yako mbona ipo biased?===
Tunaposema CCM ni chama dola na itaitawala Tanzania kwa miaka mingi ijayo tunamaana ya mambo kama haya,
Wakati Mkt wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe akipokelewa na bodaboda chache pamoja na mabaunsa watatu jimboni Hai,
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi Mhe Shaka Hamdu Shaka amepokelewa na maelfu ya watu jijini Arusha,
Ukweli ni kwamba mpaka naandika makala hii Chama cha Mapinduzi ndio Chama kinachopendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania kuliko chama chochote Tanzania,
Ushahidi ni hizi ziara za viongozi hawa wawili wa Kitaifa mmoja akitua Arusha ( Ugenini ) mwingine akitua jimboni kwake alikozaliwa,
Angalia hii video ya Mhe Shaka Hamdu Shaka mpaka mwisho kisha linganisha na msafara ule wa bodaboda chache za kukodi zilizompokea Mkt wa CHADEMA jimboni kwake Hai,ni aibu,
View attachment 2157297
Baki hukohuko chooni hadi umalize kuharisha===
Tunaposema CCM ni chama dola na itaitawala Tanzania kwa miaka mingi ijayo tunamaana ya mambo kama haya,
Wakati Mkt wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe akipokelewa na bodaboda chache pamoja na mabaunsa watatu jimboni Hai,
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi Mhe Shaka Hamdu Shaka amepokelewa na maelfu ya watu jijini Arusha,
Ukweli ni kwamba mpaka naandika makala hii Chama cha Mapinduzi ndio Chama kinachopendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania kuliko chama chochote Tanzania,
Ushahidi ni hizi ziara za viongozi hawa wawili wa Kitaifa mmoja akitua Arusha ( Ugenini ) mwingine akitua jimboni kwake alikozaliwa,
Angalia hii video ya Mhe Shaka Hamdu Shaka mpaka mwisho kisha linganisha na msafara ule wa bodaboda chache za kukodi zilizompokea Mkt wa CHADEMA jimboni kwake Hai,ni aibu,
View attachment 2157297
Hui ndo unafiki SASA===
Tunaposema CCM ni chama dola na itaitawala Tanzania kwa miaka mingi ijayo tunamaana ya mambo kama haya,
Wakati Mkt wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe akipokelewa na bodaboda chache pamoja na mabaunsa watatu jimboni Hai,
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi Mhe Shaka Hamdu Shaka amepokelewa na maelfu ya watu jijini Arusha,
Ukweli ni kwamba mpaka naandika makala hii Chama cha Mapinduzi ndio Chama kinachopendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania kuliko chama chochote Tanzania,
Ushahidi ni hizi ziara za viongozi hawa wawili wa Kitaifa mmoja akitua Arusha ( Ugenini ) mwingine akitua jimboni kwake alikozaliwa,
Angalia hii video ya Mhe Shaka Hamdu Shaka mpaka mwisho kisha linganisha na msafara ule wa bodaboda chache za kukodi zilizompokea Mkt wa CHADEMA jimboni kwake Hai,ni aibu,
View attachment 2157297
Ya Mbowe walichinja ng'ombe kuvutia watuHayo yalikuwa mapokezi ya UWT na ubwabwa ulipikwa.
Pole kwa kufiwa ,usipo acha unafiki laana itatafuna familia nzima.Ya Mbowe walichinja ng'ombe kuvutia watu