Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi 100%Nguvu yao iko kwenye kupingapinga na kuandamana sio ushawishi wa hoja.
Bahati mbaya zote Mama Samia amezi- tackle effectively kupitia mtindo wake wa uongozi na miradi lukuki ya maendeleo inayoonekana hata kwa mwananchi wa kawaida.
Anhaa, kumbe mmoja alikuwa jijini na mwingine jimboni, na bado unawalinganisha. Sawa basi... Mhe Freeman Mbowe akipokelewa na bodaboda chache pamoja na mabaunsa watatu jimboni Hai,
... Mhe Shaka Hamdu Shaka amepokelewa na maelfu ya watu jijini Arusha,
😆😆😆Hii ndio ametikisa arusha 🤣
🤣 🤣 🤣 nimecheka sana naapa!
Malori kutoka;
arumeru
Usa river
kikatiti
Oldonyo sambu
Monduli
😄
😄 😄 😄