Baada ya mapokezi ya Mbowe kudoda Hai, Shaka Hamdu Shaka atikisa Arusha

Shaka????

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Kukaa nae karibu mnaona aibu, mtoto heluwa heluwaaa
 
Sikjua kumbe kulikuwa na mashindano,
Viroboto vidudu vya ajabu sana.
 
Basi utakuwa unajihusisha na zile shughuli za Shaka! Zile zilikuwa zinampeleka wakati wa Likizo Mombasa na Lamu. [emoji2957][emoji2957]
😀😀😀 Naona hoja hakuna kabisa tena,

Mmebaki kutukana na kudhalilisha tu
 
Sasa hii taarifa yako mbona ipo biased?

onyesha hizo boda boda tatu za Mbowe hai?


acha kukimbia kimbia kama unahalisha harafu maji ya kuchamba huna!!
 
Baki hukohuko chooni hadi umalize kuharisha
 
Waliompokea Mbowe wametoka nchi nzima lakini hawafiki elfu moja
 
Hui ndo unafiki SASA

Ila teuzi ndo zinaisha
 
Acha kujitoa ufahamu.

CCM ni ya wakulima na wafanyakazi.

Yaani watanzania wote wakiwemo na wanafunzi.

CCM hoyeeeeeeeeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…