Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 720
- 1,995
Sometimes ni kazi kumwelewa binadamu yukoje rafiki.Huyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.
Hapo Masanja kadanganya nini na wapi?
Kasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana.
Ukimuuliza huo umeme ukikamilika atapinga kuutumia? Siasa nyingine za kishenzi shezi tu.
Si aeleze mipango yao mbadala ya kuruletea umeme utakaokuwa na bei nafuu zaidi ya huo wa Rufiji?
Ila kwakuwa hakuna sera mbadala, kaamua amshambulie mtu binafsi
Ni kiwewe cha kushindwa..Shida ni moja kwa Abbas, yeye sio mtaalamu na wala hana uelewa wowote na mambo ya uchumi, halafu anajibu maswali ya kiuchumi kichwa kichwa.
Yaani Abbas ameonyesha ni mweupe kichwani sijawahi kuona.
Shida ya watu kama hawa ambao wana nafasi nyeti kama hizi hawasomi vitabu wala kufanya research kabla kupeleka jambo public...Shida ni moja kwa Abbas, yeye sio mtaalamu na wala hana uelewa wowote na mambo ya uchumi, halafu anajibu maswali ya kiuchumi kichwa kichwa.
Yaani Abbas ameonyesha ni mweupe kichwani sijawahi kuona.
Jamaa anakera sana. Halafu kutwa kupanga foleni kwenye media kuwaeleza uongo na wenyewe wanaitika tuuShida ni moja kwa Abbas, yeye sio mtaalamu na wala hana uelewa wowote na mambo ya uchumi, halafu anajibu maswali ya kiuchumi kichwa kichwa.
Yaani Abbas ameonyesha ni mweupe kichwani sijawahi kuona.
We ulitaka aseme sh ngapi kwa mfano ...Kwa siku za hivi karibuni msemaji mkuu wa serikali amekuwa akitoa takwimu za upotoshaji mkubwa hasa baada pia ya jana kuhutubia vyombo vya habari na kusema kuwa kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2020 pato la Tanzania limefikia shilingi za kitanzania TRILIONI 122.5! Sijui kwanini anajiita "Dokta" Hassan Abbas. Haelewi hata maana ya "TRILIONI"
Mkuu labda hii taarifa inawalenga mazuzu wenzake wa ccmJana mtu wa CCM anayejiita mchungaji wa Mungu, Masanja Mkandamizaji aliweka picha za mradi wa umeme wa maji huko Lesotho na kuuita wa Stiglers Gorge.
View attachment 1530629
Hiyo ndiyo picha ya Masanja ya jana.
Sasa leo msemaji mkuu wa serikali ameisifia serikali ya awamu ya tano kwa upanuzi wa kiwanda cha ASAS Dairies huku akiita kama juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kuongeza ajira na unywaji wa maziwa nchini. Hiki ni kiwanda cha mtu binafsi na serikali haihusiki nacho kwa namna yoyote ile zaidi ya muwekezaji huyo kulipa kodi pale anapouza na kuagiza bidhaa. Kazi kweli kweli!
View attachment 1530634
Kwa siku za hivi karibuni msemaji mkuu wa serikali amekuwa akitoa takwimu za upotoshaji mkubwa hasa baada pia ya jana kuhutubia vyombo vya habari na kusema kuwa kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2020 pato la Tanzania limefikia shilingi za kitanzania TRILIONI 122.5! Sijui kwanini anajiita "Dokta" Hassan Abbas. Haelewi hata maana ya "TRILIONI"
Mwigulu (MADILU) alikuwa kwenye process za kuusaka tena uwaziri. Msamehe bureMwigulu Nchemba aliwahi kupost picha za Reli za Kenya na kudai ni za Tanzania.... Kuna thread nilianzisha kumkanusha