Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Huyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.

Hapo Masanja kadanganya nini na wapi?
Kasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana.

Ukimuuliza huo umeme ukikamilika atapinga kuutumia? Siasa nyingine za kishenzi shezi tu.

Si aeleze mipango yao mbadala ya kuruletea umeme utakaokuwa na bei nafuu zaidi ya huo wa Rufiji?
Ila kwakuwa hakuna sera mbadala, kaamua amshambulie mtu binafsi
Sometimes ni kazi kumwelewa binadamu yukoje rafiki.

Masanja amepost picha na maelezo kidogo ambapo, hatujui anaelezea itakavyokuwa au vipi. Tayari tumeshanyanyuka naye kumparua.
 
Itagika kipindi vyombo vya habari bitaandika "kiingozi fulani afanikiwa kunya keki, ni nzuri sana"
 
Shida ni moja kwa Abbas, yeye sio mtaalamu na wala hana uelewa wowote na mambo ya uchumi, halafu anajibu maswali ya kiuchumi kichwa kichwa.

Yaani Abbas ameonyesha ni mweupe kichwani sijawahi kuona.
Shida ya watu kama hawa ambao wana nafasi nyeti kama hizi hawasomi vitabu wala kufanya research kabla kupeleka jambo public...

Katibu mkuu anafanya siasa uongo uongo...
 
Asasi mwenyewe amekubali biashara yake iwe sehemu ya siasa kuanzia siasa za Iringa hadi za nchi nzima. Labda amejiandaa baada ya huyu anayemtumia akiondoka itakuwaje kwa biashara zake. Makosa makubwa sana kuhusisha biashara na siasa ya moja kwa moja.
 
Shida ni moja kwa Abbas, yeye sio mtaalamu na wala hana uelewa wowote na mambo ya uchumi, halafu anajibu maswali ya kiuchumi kichwa kichwa.

Yaani Abbas ameonyesha ni mweupe kichwani sijawahi kuona.
Jamaa anakera sana. Halafu kutwa kupanga foleni kwenye media kuwaeleza uongo na wenyewe wanaitika tuu
 
Chadem na nyie tupostien maendeleo yenu basi au nyie sio waendelezaji
 
Wachungaji uchwara hawa, nae unakuta anamkandia nabii tito kuwa amechizika
 
Kwani wapi kasema serikali imepanua au mimi ndo sijui kusoma?
Au huo upanuzi haujatokea katika miaka hii mitano?
Serikali ingemkandamiza Asas angeweza?
 
Kwa siku za hivi karibuni msemaji mkuu wa serikali amekuwa akitoa takwimu za upotoshaji mkubwa hasa baada pia ya jana kuhutubia vyombo vya habari na kusema kuwa kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2020 pato la Tanzania limefikia shilingi za kitanzania TRILIONI 122.5! Sijui kwanini anajiita "Dokta" Hassan Abbas. Haelewi hata maana ya "TRILIONI"
We ulitaka aseme sh ngapi kwa mfano ...
 
Jana mtu wa CCM anayejiita mchungaji wa Mungu, Masanja Mkandamizaji aliweka picha za mradi wa umeme wa maji huko Lesotho na kuuita wa Stiglers Gorge.
View attachment 1530629
Hiyo ndiyo picha ya Masanja ya jana.

Sasa leo msemaji mkuu wa serikali ameisifia serikali ya awamu ya tano kwa upanuzi wa kiwanda cha ASAS Dairies huku akiita kama juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kuongeza ajira na unywaji wa maziwa nchini. Hiki ni kiwanda cha mtu binafsi na serikali haihusiki nacho kwa namna yoyote ile zaidi ya muwekezaji huyo kulipa kodi pale anapouza na kuagiza bidhaa. Kazi kweli kweli!
View attachment 1530634

Kwa siku za hivi karibuni msemaji mkuu wa serikali amekuwa akitoa takwimu za upotoshaji mkubwa hasa baada pia ya jana kuhutubia vyombo vya habari na kusema kuwa kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2020 pato la Tanzania limefikia shilingi za kitanzania TRILIONI 122.5! Sijui kwanini anajiita "Dokta" Hassan Abbas. Haelewi hata maana ya "TRILIONI"
Mkuu labda hii taarifa inawalenga mazuzu wenzake wa ccm
 
Back
Top Bottom