Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Kwa mfululizo huu, tusipoteze rasilimali zetu kwa uchaguzi. Hebu tupiganie viti vingi vya ubunge na udiwani, huko kwenye urais labda tumwachie Lipumba azurure bure.

Karibuni ACT, Karibuni CHADEMA
 

Igiza na wewe tuone,mji wenyewe umekushinda hadi utegemee dada yako akupe pesa.
 
kwa hiyo hata wewe Hassan Wenger nawe ulifaidika kimaslahi ndio maana unapiga debe kwa sana?
 
hamna wachungaji hao matapeli tu, jana sheikh wa bagamoyo amewakana ma sheikh ubwabwa walienda kutega nyama choma kwa lowassa
 
kama mlishindwa kuwavua gamba hawa hawa wanaotumia nguvu za maigizo na ambao wamekosa uadilifu, mtawezaje kuwazuia leo hii kwa maneno yale yale mliyotumia wakati imetangazwa chama kinajivua gamba mheshimiwa?
 
Hii nchi wenye akili za misukule ni wengi kuliko wenye utashi wa kibinadamu.
 

watu wanachukua pesa zake si hazina shughuli,lakini hao wote hakuna wa kumpigia kura,kama ccm watamchagua
 
sijui huko atakuwa ametoa sadaka kiasi gani kusababisha kila mchungaji kuacha kanisa lake na kuandamana kwa ajili ya kushinikiza Lowasa agombee urais?
 
Hawa wachungaji toka kona zote za nchi ni lini walikutana wakaafikiana kuwa mgombea anayefaa ni huyo! Hii ni zaidi ya usanii, ni hatari sana. Vyombo vya usalama viamke.

Wewe umeamka umechukua hatua gani?

Utatulia tuu
 
Washehereshaji wa harusi (MC) huwa wanafanyaga mambo kama haya:;

1. Sasa ni zamu ya wakwe kwenda kumpa bwana na bibi harusi mkono wa heri.

2. Baada ya wakwe sasa watafuata mashangazi wa bwana harusi

3. Baada ya mashangazi sasa wanafuata wajomba wa bwana harusi

4. Sasa ni zamu ya wafanyakazi wenzake bwana harusi.

5 Bado list ni ndefu .....................................

 
Lowassa tunaomba uweke ratiba kamili ya makundi yote uliyopanga nayo kuja kupiga picha hapo dodoma Haya mambo ya kutuambia katika hali isiyo ya kawaida hatuyataki sisi siyo watoto wadogo.
 
Kuna wakulima 1000 nao wanataka waje,mwambie el awawezeshe nao waje dodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…