Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

LOOK AT THIS DRAMA, MASHEIKH, WANACHUO, WACHUNGAJI.... HOW WAMAWEZA JI ORGANIZE KABLA HAWAJAWA ORGANIZED? WANAJUAJE RATIBA YA low_wa sIR, KWAMBAA ATAKUWEPO THESE DAYS? NAONA DALILI ZA WATU KUPUNGUZA IMANI KWA MAKUNDI YOTE YANAYOTUMIKA KUFANYA MICHEZO HII... KWA IMANI YANGU MUNGU HATA KAA KIMYA JUU YA HAWA LAZIMA AISHUSHE GHADHABU YAKE.. KWA UBATILI WANAOUFANYA KWA UOVU WA UFISADI NA KUCHIKIZA... HAKIKA MUNGU ANAWACHUNGULIA TOKA MBINGUNI, KWA KUWA HAKUNA MMOJA KATI YAO MWENYE MAARIFA ATAWAPITILIZA WAO NA VIZAZI VYAO, HUWEZI KUIGIZA KWENYE MAMBO AMBAYO NI SERIOUS

Nasikia wameongozwa na 'NYOTA YA MASHARIKI' mkuu!! Hii nchi vichekesho vingi!!
 
Ma Sheikh, wanafunzi wa UDOM na sasa wachungaji. Ni dhahiri ni vitu vimeratibiwa kwa ustadi mkubwa sana. Siku akitoswa na Kamati Kuu ya ccm, atapata kifaduro siku hiyo hiyo.

Urais kwa gharama yoyote hautapatikana kwa namna yoyote!
 
Haa ha ha...hakuna aliyewakusanya..imetokea tu wote tuka mikoa tofauti wamegonga leo kwa Lowassa.

Kweli wanatufanya machizi.Hii movie mwisho wake ni kifo cha Sterling.
Nimecheka hadi basi. Tena sterling atauwa mchana kweupe maana movie ya Enzi Za nuhu anaweka sokoni Enzi Za digitali - kachelewa ( amini amini nami nawaambieni atauwawa huku kaangukia pua)
 
Ma Sheikh, wanafunzi wa UDOM na sasa wachungaji. Ni dhahiri ni vitu vimeratibiwa kwa ustadi mkubwa sana. Siku akitoswa na Kamati Kuu ya ccm, atapata kifaduro siku hiyo hiyo.

Urais kwa gharama yoyote hautapatikana kwa namna yoyote!
we need to know the director of this drama, never seen on the earth,,, mtu hakujui atoke kwake, aache mkewe na mvua hii, aache yote, aje kwako kukuletea pesa na kukuomba uwe kiongozi wake kwa wema upi alio nao, hakika yupo mratibu wa haya maigizo
 
attachment.php


Najisikia aibu kuitwa mkristo kama viongozi wenyewe ndio hawa ?.
 
Ma Sheikh, wanafunzi wa UDOM na sasa wachungaji. Ni dhahiri ni vitu vimeratibiwa kwa ustadi mkubwa sana. Siku akitoswa na Kamati Kuu ya ccm, atapata kifaduro siku hiyo hiyo.

Urais kwa gharama yoyote hautapatikana kwa namna yoyote!
Ustawi gani ndg hapo kwa mtu mwenye akili pana Ustadi kweli. Mi kinachoniuma ni jamii ilivyofikia Hali mbaya hii jamii ya watanzania siyo kabisa
 
Lowassa Aachwe mlisema hakubaliki sasa nchi inawaumbua mnaanza kujamba tulieni January kichwani mweupe eti awe Rais yani huruma Za Jakaya kukubeba na weupe wako unajiona obama,waalimu asilimia karibu 74 tumeamua Lowassa nyuma haturudi

Wewe unajiita Mwalimu, hilo ni jina lako halisi au ni Mwalimu kwa taaluma? Kama una taaluma ya ualimu na unafundisha watoto wetu, haishangazi elimu yetu kuwa hoi bin taaban.

Vv
 
Duh hawa wachungaji mbona wametoka pande tofauti za nchi na wamekutana kwa Lowassa kwa wakati moja?

Naona nyota ya mashariki imewaongoza!!

"MFALME AMEZALIWA WAPI? NIELEKEZENI NAMI NIPATE KUMSUJUDIA"

Hii nchi iko hoi kwa sarakasi
Mungu naomba umpende zaidi Lowasa kwani anaweza leta majanga kabla hatujafika nchi ya ahadi
 
we need to know the director of this drama, never seen on the earth,,, mtu hakujui atoke kwake, aache mkewe na mvua hii, aache yote, aje kwako kukuletea pesa na kukuomba uwe kiongozi wake kwa wema upi alio nao, hakika yupo mratibu wa haya maigizo

Harafu angalia picha yenyewe. Wanatoka wilaya tofauti ndani ya Tanzania. Wamekutana vipi ghafla Dodoma kwenda kwa mheshimiwa. Ile ya Masheikh, mratibu ni Juma Athuman Kapuya. Bila shaka ataifufua Akudo Sound EL akishinda urais. urais haupatikani kwa njia rahisi!
 
Back
Top Bottom