Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Sio wote tuna uoga huo budaa, kwanza kujichua mbele yake ili iwe nini wakati mijulubeng ipo!!! Halafu ni suala la muda tu hiyo kulia katikati ya game ni mbaya mno na very soon kuna kijana wa ovyo atajipakulia minyama,
Wakirudisha naomba uni-tag🤣🤣🤣 Pole mkuu
Sijakurupuka kumjibu hivyo,kukaa na ntu humpendi nyumba moja ni hatari,ndio chanzo cha vifo vitokanavyo na mapenzi,imagine hiyo mwanamke ndio anakupikia chakula,akiamua kukuwekea sumu au uchawi wake unekwisha,utakufa na yeye apumue vizuri.Mkuu umekosea sana kushauri hivyo.
Hakuna popote, iwe mabaraza ya usuluhishi kwa 'mwenyekiti', ya kata ama mahakamani utasikia mtu anawashauri wanandoa 'ondoka' kwa urahisi namna hiyo.
Wadhani hiyo 'ondoka' mhusika haifahamu, kwa nini mpaka sasa yupo na wanaendelea na maisha?
Kwa nini anatafuta ushauri badala ya kujichukulia maamuzi?
Nadhani kwa kuwa sote tunaelekea kuwa ni wazee, yanapokuja kwako mashauri yahusuyo ndoa, yakupasa ureflex brain yako sawasawa, wanasema kukaza fuvu ili uweze kutoa maamuzi ama ushauri usioumiza ama kuegemea upande na kuonesha mapungufu yako.
Masuala ya ndoa hayatakiwi kushauri kwa kutumia malezo ya upande mmoja.
Huyo 'mtuhumiwa' ilitakiwa naye tumsikilize ndiyo tueweze kutoa ushauri wa maana.
Vinginevyo haiwezekani, ni kupoteza tu muda.
Good advicePole sana kwa yote uliyopitia. Inaonekana umepitia kipindi kigumu sana na ni kawaida kabisa kuhisi maumivu na chuki baada ya kupitia hali kama hiyo. Hapa kuna mambo machache ambayo unaweza kuzingatia:
Kujipa Muda: Ni muhimu kujipa muda wa kuponya majeraha yako ya kihisia. Hii inaweza kuchukua muda mrefu na ni sawa kabisa.
Kuzungumza na Mtaalamu: Kuzungumza na mshauri wa ndoa au mtaalamu wa saikolojia kunaweza kusaidia sana. Wanaweza kukusaidia kuelewa hisia zako na kukupa mbinu za kukabiliana nazo.
Kujieleza: Usijizuie kuzungumza na mume wako kuhusu jinsi unavyohisi. Ni muhimu yeye kuelewa maumivu yako na jinsi hali ilivyokuathiri.
Kujitunza: Hakikisha unajitunza mwenyewe kwa kufanya mambo unayopenda na yanayokufurahisha. Hii inaweza kusaidia kupunguza msongo wa mawazo.
Kusamehe: Kusamehe ni mchakato mgumu na unahitaji muda. Hata hivyo, kusamehe hakumaanishi kusahau au kurudi kwenye hali ile ile. Ni kuhusu kuachilia mzigo wa chuki ili uweze kuendelea na maisha yako kwa amani.
Kufikiria Upya Mahusiano: Kama bado unaona ni vigumu kuendelea na mahusiano, inaweza kuwa muhimu kufikiria upya kama ndoa hiyo inakupa furaha na amani unayostahili.
Kumbuka, hisia zako ni halali na ni muhimu kuziheshimu. Usijilaumu kwa jinsi unavyohisi. Kama unahitaji msaada zaidi, usisite kutafuta msaada wa kitaalamu.
Kunà binadàmu wapumbavu sana.Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Sawa mkuuWakirudisha naomba uni-tag
Huu ni ushauri bora sana, kuongezea hapo ni kumtanguliza Mungu ktk hilo na kila mara kusoma na kujifunza maandiko yana tuasa nini ktk maisha yetu ya kila siku.Pole sana kwa yote uliyopitia. Inaonekana umepitia kipindi kigumu sana na ni kawaida kabisa kuhisi maumivu na chuki baada ya kupitia hali kama hiyo. Hapa kuna mambo machache ambayo unaweza kuzingatia:
Kujipa Muda: Ni muhimu kujipa muda wa kuponya majeraha yako ya kihisia. Hii inaweza kuchukua muda mrefu na ni sawa kabisa.
Kuzungumza na Mtaalamu: Kuzungumza na mshauri wa ndoa au mtaalamu wa saikolojia kunaweza kusaidia sana. Wanaweza kukusaidia kuelewa hisia zako na kukupa mbinu za kukabiliana nazo.
Kujieleza: Usijizuie kuzungumza na mume wako kuhusu jinsi unavyohisi. Ni muhimu yeye kuelewa maumivu yako na jinsi hali ilivyokuathiri.
Kujitunza: Hakikisha unajitunza mwenyewe kwa kufanya mambo unayopenda na yanayokufurahisha. Hii inaweza kusaidia kupunguza msongo wa mawazo.
Kusamehe: Kusamehe ni mchakato mgumu na unahitaji muda. Hata hivyo, kusamehe hakumaanishi kusahau au kurudi kwenye hali ile ile. Ni kuhusu kuachilia mzigo wa chuki ili uweze kuendelea na maisha yako kwa amani.
Kufikiria Upya Mahusiano: Kama bado unaona ni vigumu kuendelea na mahusiano, inaweza kuwa muhimu kufikiria upya kama ndoa hiyo inakupa furaha na amani unayostahili.
Kumbuka, hisia zako ni halali na ni muhimu kuziheshimu. Usijilaumu kwa jinsi unavyohisi. Kama unahitaji msaada zaidi, usisite kutafuta msaada wa kitaalamu.
Ningempa ushauri huo huo, bila kujali jinsia. Kila mtu anastahili nafasi ya kuponya na kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maisha yake. Kuachana ni uamuzi mkubwa ambao unahitaji kufanywa kwa umakini na baada ya kutafakari kwa kina.Angekua mwanaume ungempa huu ushauri??
Heee. Atakufa kabla ya siku. Kama huwezi samehe, aachane naye.Kha! Katika wajinga duniani wee ni nambari one
Basi usubirie kufa kwa stress.Tunamiaka 6 ya kuishi kiukweli tumewekeza ninamiaka 38 kweli niondoke nikaanze wapi? hapo ndio nawaza tu
Watu hawajua kwamba ,hapa duniani hakuna mtu atakayekupa furaha isipokuwa wewe mwenyewe. Unaishi kwa mateso kwa sababu sababu ya kiumbe ambaye ameamua kwa maksudi kukusaliti.Kabisa cute...hata ukipata watoto kama ndoa inakuletea maumivu Kila siku ni Bora ukimbie....kisichochako si chako tu
Namshangaa. Ngoja afe kwa stress. Watakaoumia ni watoto wake ,wazazi na ndugu zake. Hao wengine siku unazikwa baada ya wiki wanakusahau, na huyo mume anavuta kifaa kingine chap.Unajikaza nini huku hupendi,si uondoke.
By the way tunauza mikaa na dawa za panya kwa bei ya jumla.
Hatutoi ushauri.