huu utaratibu wa kutoa bastola misiban unaanza kukua kwa kasi bila kufatwa kwa sheria nlienda msiba mmoja tarme baada ya mazshi nljua nko somalia jamaa kama 8 walitoa bastola na kuanza kupga hewan wakijbizana kwamba nan yake inakishindo hata ambae ukumzania kama ana bastola nae anatoa anapga juu ni kama sifa sasa baada ya mazshi watu kupga rsas juu hii inapelekea watu kuazmana bastola mjin na kuja kuvimba nazo vijijin kwenye misiba hii kitu n hatar sana vyombo vnavyo husika vchukue hatua